SinaMdaa
Member
- Jul 11, 2023
- 37
- 78
Habarini wakuu, natumaini mu wazima.
Moja Kwa Moja kwenye mada,
Kadri siku zikienda najikuta hili swali liendelea kuwa na uhalisia,kwamba nini Lengo la formal education Kwa nyakati hizi ikiwa haitatui matatizo iliyopaswa kuyatatua .
Kama Elimu ilipaswa kuanda watu wenye udhubutu na maarifa ya kuleta mabadiliko chanya kwenye jamii mbona wasioenda shule ndio wanaplay party kubwa kwenye hilo.
Kama Elimu ilipaswa kuanda watu wenye nidhamu ya kazi mbn wasioenda shule ndio wapo vizuri kwenye ilo kushow up early and everyday kwenye kazi wasioenda shule ndio wapo vizuri kwenye hili
Kama Elimu iliwekwa kuwaanda watu kuwa waajiriwa kujipatia kipato kuendesha maisha Yao ya kila siku mbona hii imepitwa na Wakati kitambo sana ,,since namna wazee wetu walikuwa wanajipatia kipato miaka ya 90's kurudi sio sawa na miaka hii watu wanajiingia kipato Kwa njian ambazo hazijawahi tarajiw
Moja Kwa Moja kwenye mada,
Kadri siku zikienda najikuta hili swali liendelea kuwa na uhalisia,kwamba nini Lengo la formal education Kwa nyakati hizi ikiwa haitatui matatizo iliyopaswa kuyatatua .
Kama Elimu ilipaswa kuanda watu wenye udhubutu na maarifa ya kuleta mabadiliko chanya kwenye jamii mbona wasioenda shule ndio wanaplay party kubwa kwenye hilo.
Kama Elimu ilipaswa kuanda watu wenye nidhamu ya kazi mbn wasioenda shule ndio wapo vizuri kwenye ilo kushow up early and everyday kwenye kazi wasioenda shule ndio wapo vizuri kwenye hili
Kama Elimu iliwekwa kuwaanda watu kuwa waajiriwa kujipatia kipato kuendesha maisha Yao ya kila siku mbona hii imepitwa na Wakati kitambo sana ,,since namna wazee wetu walikuwa wanajipatia kipato miaka ya 90's kurudi sio sawa na miaka hii watu wanajiingia kipato Kwa njian ambazo hazijawahi tarajiw