buhabi
Member
- Dec 14, 2013
- 23
- 13
Wakuu nimekuwa natafakar kwa makin sana,naona kuna dalili kuu mbili
Endapo ukawa watachukua nchi october ni kwa sababu kuu moja,jk atakua amewasaidia sana ,maana bila mchakato wa katiba vyama hivi visingefikiria hata kuungana
Nakama UKAWA wakipigwa chini october,basi ni dhahiri mgogoro mkubwa sana na huenda ukawa mwisho wa Ukawa tena
Ccm itakuwa na nguvu maradufu na hakutakuwa tena na mpinzan wa kuaminika kirahisi
Endapo ukawa watachukua nchi october ni kwa sababu kuu moja,jk atakua amewasaidia sana ,maana bila mchakato wa katiba vyama hivi visingefikiria hata kuungana
Nakama UKAWA wakipigwa chini october,basi ni dhahiri mgogoro mkubwa sana na huenda ukawa mwisho wa Ukawa tena
Ccm itakuwa na nguvu maradufu na hakutakuwa tena na mpinzan wa kuaminika kirahisi