Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,230
- 6,471
- Thread starter
- #301
Acha tu, daaaahhMagufuli amestaafishwa kibabe sana
Acha tu, daaaahhMagufuli amestaafishwa kibabe sana
Sisi wazalendo wa kweri bado tunaumizwa na kifo cha magufury, ila wenye roho mbaya wanafurahia teuzi tu.Acha tu, daaaahh
Kwani mwendazake mwenyewe anasemaje?Sisi wazalendo wa kweri bado tunaumizwa na kifo cha magufury, ila wenye roho mbaya wanafurahia teuzi tu.
Kasena akifufuka ataanza viboko na mashangazi wa rais wenuKwani mwendazake mwenyewe anasemaje?
The late was the Father, Uncle , Grand father, Friend and good enough was President to our Nation. Jaribu kuangalia ni kwa kiasi gani watu wameumia kwa msiba wake.Umefurahi?
Watu wameumia au wewe ndo unaumia..?The late was the Father, Uncle , Grand father, Friend and good enough was President to our Nation. Jaribu kuangalia ni kwa kiasi gani watu wameumia kwa msiba wake.
There's no way you can rejoice for this big lost to the Nation, unless you are unfit upstairs.
Remember, this is not our home. Neither me nor else could stay alive forever.
Gentleman get busy enjoy your life 🥂 🥂
Mashangazi nao wamesemajeKasena akifufuka ataanza viboko na mashangazi wa rais wenu
Watapasua korosho kwa mabomuMashangazi nao wamesemaje
Asante Mungu Baba kwa muujiza huu.Utukufu na ukuu ni wako, mwendazake alivuka mipaka.Kwa hili la Mwendazake!niseme tu mungu anatukumbusha kuwa wanyenyekevu wenye masikio ya mwilini na rohoni!!!Watu ni mungu mwenyewe usiwatende vibaya!!
😂😂 Maombi yamejibiwaKwanza kabisa naomba Mungu atujaalie tusifike hata mwaka mmoja kabla ya hili janga kutuondokea. Mungu mwenyewe ndie anaejuwa vya kuliondosha. Mungu ana njia nyingi!
Naomba unielekeze kanisa lako 😂Asipotoka Mungu atamtoa kwa aibu!
Tunapohudhuria mazishi ya binadamu yeyote huwa tunaingia na huzuni hasa pale mwili wake unaposhushwa kabulini na hatimaye kufukiwa.Watu wameumia au wewe ndo unaumia..?
Unafikiri Farao na jeshi lake (maadui wa watu wa Mungu) walipokufa kwa kughalifishwa na maji ya bahari ya Shamu, Israel aliumia na kusikitika..?
No, way. Walifurahi kwa sababu watesi wao waliuliwa na Mungu mwenyewe...
Ndivyo ilivyo sisi Watanzania leo. We are happy kwa sababu watesi wetu kwa kuanzia na Mtesi mkuu has been eliminated, he is out of the equation...!
Mungu kaona jela hapatoshiMagufuli anapaswa kwenda jela baada ya 2025, hawezi kufanya Uhalifu mkubwa hivi dhidi ya raia halaf aachwe tu akakae Chato, stahili yake ni jela period!
sio kweli kwa binadamu wote,Tunapohudhuria mazishi ya binadamu yeyote huwa tunaingia na huzuni hasa pale mwili wake unaposhushwa kabulini na hatimaye kufukiwa.
Huyo pia alikuwa ni mwenzetu, so in anyhow tuliingiwa na huzuni kwa kuwa hakutakuwa na nafasi ya kuoana naye tena.
Haijalishi aliumiza au kutesa wangapi lakini mwili wake ulipoingizwa kabulini, we all got sad kwa kuwa ndiyo mwisho wa kumwona in this beautiful Planet.
Let's enjoy life as we go older and perish accordingly 🥂🥂
Kafa kifo Cha aibu Sana, dharula na fedheha.Hata wanafiki hawakupata taarifa kumuombea afya Asante Mungu Baba kwa Suluhusio kweli kwa binadamu wote,
watu hawa kama akina Iddi Amini waliimbiwa nyimbo kwamba
"Iddi Amini akifa mimi siwezi kulia
nitamtupa kagera awe chakula cha mamba.
Embu chukulia wewe ni mmoja kati ya wafanyabiashara ambao akaunti imefungwa kutokana na maelezo yake huyo marehemu
na kufanya wafanyabiashara washindwe kufanya transcation na hata kupelekea wengine kufilisika.
Juzi niliona clip watu wanamzika nadhani mtu aliyekuwa na tabia kama za jiwe
walichofanya waombolezaji ni kulitupa jeneza ndani ya kaburi refu ambapo jeneza lilienda kuanguka kama limesimama sijui kichwa chini miguu juu wakamzika hivyohivyo huku wakimzomea marehemu jiwe alistahili kuzikwa hivyo
😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂😂😂 Maombi yamejibiwa
Amen....😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
Tumshukuru Mungu kwa hili kwa kweli!