Nini kinazikuta biashara za wasanii?

Ambition plus

JF-Expert Member
Feb 23, 2018
6,063
11,109
Aje washika dau???

Nimekaa najiuliza kuna wasanii walikuja na bidhaa kede kede lakini zimeishia wapi ama wana fail wapi?

King kiba alikuja na energy drink (more fire)mwana FA (perfume),Diamond chibu perfume,diamond karanga n.k

Shida ni nini?Na mbona hizi bidhaa hazionrkani mitani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom