Nini kinamliza mwanamke kitandani?

Nini kinamliza mwanamke kitandani?

Status
Not open for further replies.
Asikudanganye mtu hakuna roho kongwe... Ni aina ya mapenzi yenu mtakavyo amua kupendana. Umeona ya michelle na Obama??.. Tatizo linaanza hapo mnapoanza kujifanya mmezoena sana kiasi kwamba yale mlikuwa mnafanya zamani mnaacha. Siku hizi sio ajabu kukuta wapenzi wamekaa pamoja lakini kila mtu yuko busy na simu yake whatsApp.. Hivi kuna raha zaidi ya kuwa karibu na umpendae??.. Trust me ni mapenzi yenu kuamua mnayaendesha vipi?..
Ile ni show to for political purposes.... Mrs alipotakiwa kutoa maoni juu ya kashfa ya mumewe na Monica Lewinsky Unajua alisemaje? My husband just want to see how ugly they are! Hivi kweli mwanamke anaweza kumruhusu mume wake afunuefunue wanawake kwa kisingizio cha kutaka kuona hao wanawake wengine ni wabaya kiasi gani? Hio alikuwa anampa mume wake political cover. Sikusema kwamba watu wanapogrow-up wanaacha kupendana bali nimesema kuna change in approach! Sawa mama eeh?
 
Wanadhania mapenzi ni ujanja ujanja wasifanye masihara na hisia u cant fake it... Hisia ni kitu kikubwa sana mnapokuwa mmependana kweli hisia zinakuja automatically. Lakini kidume anawaza ngono na kijike kinawaza pesa tu. Yaani kila mtu anawaza yake katu hamuwezi kuenjoy sababu hakuna chemistry baina yenu badala ya kufanya mapenzi mnajikuta mnafanya biashara. Mapenzi bila Mahaba ni kazi bure.
Ulikua wapi jasnira

Naona Sasa hii ni KASI yenye KASI
Inaelekea mna ukoo na Senior Miss chagga
 
Ulikua wapi jasnira

Naona Sasa hii ni KASI yenye KASI
Inaelekea mna ukoo na Senior Miss chagga
Mimi mkongwe sana tu humu sema jukwaa langu kuu ni la siasa huku nakuja kwa emergency kuweka mambo sawa.
 
Wanadhania mapenzi ni ujanja ujanja wasifanye masihara na hisia u cant fake it... Hisia ni kitu kikubwa sana mnapokuwa mmependana kweli hisia zinakuja automatically. Lakini kidume anawaza ngono na kijike kinawaza pesa tu. Yaani kila mtu anawaza yake katu hamuwezi kuenjoy sababu hakuna chemistry baina yenu badala ya kufanya mapenzi mnajikuta mnafanya biashara. Mapenzi bila Mahaba ni kazi bure.
Nimekuota
 
Baada yakuona huu uzi umeleta maswali mengi kuhusu vibamia,,,,


Sasa tumia fursa hii kujitambua au kumtambua ulienae kama nikibamia, ni medium sized au ni large ddu
 
005ab4135288c442df21f4c9ced916b4.jpg
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom