kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 17,649
- 21,856
Ukisikia kupigwa tobo ndohuko
Hakuna lililopotezewa hapa, ukosefu wa kupata taarifa kwa wakati ndio sababu ya ukimya.How mbunge akamatwe bila kufuata taratibu na kupotea siku kadhaa hajulikani alipo alafu wote tunakaa kimya? Hata wabunge wenzake? Vyombo vya habari? Wananchi wake? Kama ni mhalifu si zipo njia za kisheria?
Kama mbunge anaweza kupotea ghafla namna hii vipi raia wa kawaida? Mkuu wa nchi ameunda hadi tume ya haki jinai na kuapa kuhakikisha mapendekezo yanafanyiwa kazi. Sasa mambo gani haya?
Kwa cmnt za jamaa huyu akienda huko ngorongoro anaweza asirudiMbunge anasakwaje? Yani mbunge makazi yake jimboni na bungeni anasakwaje hajulikani alipo. We jamaa unazinguaga sana
Niliwahi sema huko nyuma kwamba waTanzania tunaongozwa na mihemko alafu tunasahau mazima baada ya muda mfupi tunadandia kingine.Mbona sikuelewi? "Tumepotezea" kwa vipi?!
Sijanyamaza makusudi, sina taarifa za kinachoendelea Ngorongoro ndio maana.
By the way, mimi siishi Ngorongoro, hivyo siwezi kujua yote yanayomhusu mbunge wao, nategemea habari kama wewe unavyotegemea kuzipata JF.
Ulichokiandika hapa ni tafsiri yako, haki yako.Niliwahi sema huko nyuma kwamba waTanzania tunaongozwa na mihemko alafu tunasahau mazima baada ya muda mfupi tunadandia kingine.
Ilitokea loliondo, ikaja ngorongoro, then ikahamia kwa Dugange ajiuzulu, ghafla ripoti ya CAG ikaibuka then kwa Sasa upepo ukahamia kwa Dp World!! Believe me Leo hii Diamond platnumz akisema anajiunga kwenye siasa awe mbunge attention yote itahamia huko na tutasahau kabisa bandari!!
Ni nchi ya ajabu sana hii
Hii Nchi inamilikiwa na watu wachache sana.., wanaobaki ni bendela.Wakuu,
Huko Ngorongoro yanasemwasemwa mengi huko X na bahati mbaya vyombo vya habari havitoi taarifa za kinachoendelea. Mbunge wa huko inasemekana amekamatwa mpaka sasa haijulikani alipo na bahati mbaya kila mtu, kila chombo cha habari na taasisi zingine ikiwemo Bunge na wabunge wenyewe wako kimya.
Haya mambo yatolewe ufafanuzi nini kinaendelea, kwanini mwakilishi wa wananchi hajulikani alipo mpaka sasa. Vyombo vya habari na wana habari wanakiri kila kukicha kuwa wapo huru lakini tunaona jinsi habari zingine wanavyoziepuka!
Tunasubiri tena waraka wa TEC tuone wanachanganya dini na siasa? Nini kinaendelea Ngorongoro?
Betina kanisani aliachiwa benchi peke yake.Akaanza kucheza Nyaniiiiiiiii Nyani wee ninakupentaaaaa,,Nyaniiiiiiii . hapo alikuwa anameimbia DP World ,,,,,HoneyiiiiKimbaumbau Tulia yuko kimya wakati mbunge wake yupo korokoroni bila kosa!
Upelelezi unaendeleaKwahiyo mkitaka?
Wakuu,
Huko Ngorongoro yanasemwasemwa mengi huko X na bahati mbaya vyombo vya habari havitoi taarifa za kinachoendelea. Mbunge wa huko inasemekana amekamatwa mpaka sasa haijulikani alipo na bahati mbaya kila mtu, kila chombo cha habari na taasisi zingine ikiwemo Bunge na wabunge wenyewe wako kimya.
Haya mambo yatolewe ufafanuzi nini kinaendelea, kwanini mwakilishi wa wananchi hajulikani alipo mpaka sasa. Vyombo vya habari na wana habari wanakiri kila kukicha kuwa wapo huru lakini tunaona jinsi habari zingine wanavyoziepuka!
Tunasubiri tena waraka wa TEC tuone wanachanganya dini na siasa? Nini kinaendelea Ngorongoro?
Nafikiri Waraka umegusa mpaka mbugani huko,karejee kusoma vizuri.Wakuu,
Huko Ngorongoro yanasemwasemwa mengi huko X na bahati mbaya vyombo vya habari havitoi taarifa za kinachoendelea. Mbunge wa huko inasemekana amekamatwa mpaka sasa haijulikani alipo na bahati mbaya kila mtu, kila chombo cha habari na taasisi zingine ikiwemo Bunge na wabunge wenyewe wako kimya.
Haya mambo yatolewe ufafanuzi nini kinaendelea, kwanini mwakilishi wa wananchi hajulikani alipo mpaka sasa. Vyombo vya habari na wana habari wanakiri kila kukicha kuwa wapo huru lakini tunaona jinsi habari zingine wanavyoziepuka!
Tunasubiri tena waraka wa TEC tuone wanachanganya dini na siasa? Nini kinaendelea Ngorongoro?
Duuuh !Kwani Wamaasai wa Ngorongoro thamani yao sawa na wakojani.
Tulia yeye yupo kule Mbeya anatetea Mkataba wa Bandari badala ya kusimamia heshima ya Mhimili wa Bunge.Wakuu,
Huko Ngorongoro yanasemwasemwa mengi huko X na bahati mbaya vyombo vya habari havitoi taarifa za kinachoendelea. Mbunge wa huko inasemekana amekamatwa mpaka sasa haijulikani alipo na bahati mbaya kila mtu, kila chombo cha habari na taasisi zingine ikiwemo Bunge na wabunge wenyewe wako kimya.
Haya mambo yatolewe ufafanuzi nini kinaendelea, kwanini mwakilishi wa wananchi hajulikani alipo mpaka sasa. Vyombo vya habari na wana habari wanakiri kila kukicha kuwa wapo huru lakini tunaona jinsi habari zingine wanavyoziepuka!
Tunasubiri tena waraka wa TEC tuone wanachanganya dini na siasa? Nini kinaendelea Ngorongoro?
Alifanya/sema je/nini!??Wakuu,
Huko Ngorongoro yanasemwasemwa mengi huko X na bahati mbaya vyombo vya habari havitoi taarifa za kinachoendelea. Mbunge wa huko inasemekana amekamatwa mpaka sasa haijulikani alipo na bahati mbaya kila mtu, kila chombo cha habari na taasisi zingine ikiwemo Bunge na wabunge wenyewe wako kimya.
Haya mambo yatolewe ufafanuzi nini kinaendelea, kwanini mwakilishi wa wananchi hajulikani alipo mpaka sasa. Vyombo vya habari na wana habari wanakiri kila kukicha kuwa wapo huru lakini tunaona jinsi habari zingine wanavyoziepuka!
Tunasubiri tena waraka wa TEC tuone wanachanganya dini na siasa? Nini kinaendelea Ngorongoro?
Huko Ngorongoro ni mwendo kamata, weka ndani, peleka kusikojulikana, piga, vunja maboma ya wamasai na piga marufuku kutoa habari!Wakuu,
Huko Ngorongoro yanasemwasemwa mengi huko X na bahati mbaya vyombo vya habari havitoi taarifa za kinachoendelea. Mbunge wa huko inasemekana amekamatwa mpaka sasa haijulikani alipo na bahati mbaya kila mtu, kila chombo cha habari na taasisi zingine ikiwemo Bunge na wabunge wenyewe wako kimya.
Haya mambo yatolewe ufafanuzi nini kinaendelea, kwanini mwakilishi wa wananchi hajulikani alipo mpaka sasa. Vyombo vya habari na wana habari wanakiri kila kukicha kuwa wapo huru lakini tunaona jinsi habari zingine wanavyoziepuka!
Tunasubiri tena waraka wa TEC tuone wanachanganya dini na siasa? Nini kinaendelea Ngorongoro?