Nini kinaendelea Ngorongoro?

Nini kinaendelea Ngorongoro?

How mbunge akamatwe bila kufuata taratibu na kupotea siku kadhaa hajulikani alipo alafu wote tunakaa kimya? Hata wabunge wenzake? Vyombo vya habari? Wananchi wake? Kama ni mhalifu si zipo njia za kisheria?

Kama mbunge anaweza kupotea ghafla namna hii vipi raia wa kawaida? Mkuu wa nchi ameunda hadi tume ya haki jinai na kuapa kuhakikisha mapendekezo yanafanyiwa kazi. Sasa mambo gani haya?
Hakuna lililopotezewa hapa, ukosefu wa kupata taarifa kwa wakati ndio sababu ya ukimya.
 
Mbona sikuelewi? "Tumepotezea" kwa vipi?!

Sijanyamaza makusudi, sina taarifa za kinachoendelea Ngorongoro ndio maana.

By the way, mimi siishi Ngorongoro, hivyo siwezi kujua yote yanayomhusu mbunge wao, nategemea habari kama wewe unavyotegemea kuzipata JF.
Niliwahi sema huko nyuma kwamba waTanzania tunaongozwa na mihemko alafu tunasahau mazima baada ya muda mfupi tunadandia kingine.

Ilitokea loliondo, ikaja ngorongoro, then ikahamia kwa Dugange ajiuzulu, ghafla ripoti ya CAG ikaibuka then kwa Sasa upepo ukahamia kwa Dp World!! Believe me Leo hii Diamond platnumz akisema anajiunga kwenye siasa awe mbunge attention yote itahamia huko na tutasahau kabisa bandari!!

Ni nchi ya ajabu sana hii
 
Niliwahi sema huko nyuma kwamba waTanzania tunaongozwa na mihemko alafu tunasahau mazima baada ya muda mfupi tunadandia kingine.

Ilitokea loliondo, ikaja ngorongoro, then ikahamia kwa Dugange ajiuzulu, ghafla ripoti ya CAG ikaibuka then kwa Sasa upepo ukahamia kwa Dp World!! Believe me Leo hii Diamond platnumz akisema anajiunga kwenye siasa awe mbunge attention yote itahamia huko na tutasahau kabisa bandari!!

Ni nchi ya ajabu sana hii
Ulichokiandika hapa ni tafsiri yako, haki yako.

Lakini kwangu nina mtazamo tofauti kabisa, hasa kwa hili la bandari tulilokaa nalo kwa zaidi ya miezi miwili, na halioneshi dalili ya kupoa mpaka majibu ya maana yapatikane.

Usiishi kwa mazoea, hasa kama suala linalojadiliwa linahusu rasilimali za watanganyika.
 
Tuanze kuuliza sehemu nyingine walikochagua kuweka makazi ili kama kujiondokea kwenda burundi au kwingine tuanzage mapema kabisa.
 
Wakuu,

Huko Ngorongoro yanasemwasemwa mengi huko X na bahati mbaya vyombo vya habari havitoi taarifa za kinachoendelea. Mbunge wa huko inasemekana amekamatwa mpaka sasa haijulikani alipo na bahati mbaya kila mtu, kila chombo cha habari na taasisi zingine ikiwemo Bunge na wabunge wenyewe wako kimya.

Haya mambo yatolewe ufafanuzi nini kinaendelea, kwanini mwakilishi wa wananchi hajulikani alipo mpaka sasa. Vyombo vya habari na wana habari wanakiri kila kukicha kuwa wapo huru lakini tunaona jinsi habari zingine wanavyoziepuka!

Tunasubiri tena waraka wa TEC tuone wanachanganya dini na siasa? Nini kinaendelea Ngorongoro?
Hii Nchi inamilikiwa na watu wachache sana.., wanaobaki ni bendela.
 
Wakuu,

Huko Ngorongoro yanasemwasemwa mengi huko X na bahati mbaya vyombo vya habari havitoi taarifa za kinachoendelea. Mbunge wa huko inasemekana amekamatwa mpaka sasa haijulikani alipo na bahati mbaya kila mtu, kila chombo cha habari na taasisi zingine ikiwemo Bunge na wabunge wenyewe wako kimya.

Haya mambo yatolewe ufafanuzi nini kinaendelea, kwanini mwakilishi wa wananchi hajulikani alipo mpaka sasa. Vyombo vya habari na wana habari wanakiri kila kukicha kuwa wapo huru lakini tunaona jinsi habari zingine wanavyoziepuka!

Tunasubiri tena waraka wa TEC tuone wanachanganya dini na siasa? Nini kinaendelea Ngorongoro?
 

Attachments

  • facebook_video_1692774220244.mp4
    1.5 MB
Wakuu,

Huko Ngorongoro yanasemwasemwa mengi huko X na bahati mbaya vyombo vya habari havitoi taarifa za kinachoendelea. Mbunge wa huko inasemekana amekamatwa mpaka sasa haijulikani alipo na bahati mbaya kila mtu, kila chombo cha habari na taasisi zingine ikiwemo Bunge na wabunge wenyewe wako kimya.

Haya mambo yatolewe ufafanuzi nini kinaendelea, kwanini mwakilishi wa wananchi hajulikani alipo mpaka sasa. Vyombo vya habari na wana habari wanakiri kila kukicha kuwa wapo huru lakini tunaona jinsi habari zingine wanavyoziepuka!

Tunasubiri tena waraka wa TEC tuone wanachanganya dini na siasa? Nini kinaendelea Ngorongoro?
Nafikiri Waraka umegusa mpaka mbugani huko,karejee kusoma vizuri.
 
Wenyeji wanasema waarabu wamejaa ngorongoro kuchimba madini ya pozzolana na ruby.wananchi wametakiwa kuondoka kwa lazima ili waarabu wa neemeke.hakuna cha uhifadhi tena
 
Wakuu,

Huko Ngorongoro yanasemwasemwa mengi huko X na bahati mbaya vyombo vya habari havitoi taarifa za kinachoendelea. Mbunge wa huko inasemekana amekamatwa mpaka sasa haijulikani alipo na bahati mbaya kila mtu, kila chombo cha habari na taasisi zingine ikiwemo Bunge na wabunge wenyewe wako kimya.

Haya mambo yatolewe ufafanuzi nini kinaendelea, kwanini mwakilishi wa wananchi hajulikani alipo mpaka sasa. Vyombo vya habari na wana habari wanakiri kila kukicha kuwa wapo huru lakini tunaona jinsi habari zingine wanavyoziepuka!

Tunasubiri tena waraka wa TEC tuone wanachanganya dini na siasa? Nini kinaendelea Ngorongoro?
Tulia yeye yupo kule Mbeya anatetea Mkataba wa Bandari badala ya kusimamia heshima ya Mhimili wa Bunge.

Tuna Spika wa aina yake kuwahi kutokea.
 
Wakuu,

Huko Ngorongoro yanasemwasemwa mengi huko X na bahati mbaya vyombo vya habari havitoi taarifa za kinachoendelea. Mbunge wa huko inasemekana amekamatwa mpaka sasa haijulikani alipo na bahati mbaya kila mtu, kila chombo cha habari na taasisi zingine ikiwemo Bunge na wabunge wenyewe wako kimya.

Haya mambo yatolewe ufafanuzi nini kinaendelea, kwanini mwakilishi wa wananchi hajulikani alipo mpaka sasa. Vyombo vya habari na wana habari wanakiri kila kukicha kuwa wapo huru lakini tunaona jinsi habari zingine wanavyoziepuka!

Tunasubiri tena waraka wa TEC tuone wanachanganya dini na siasa? Nini kinaendelea Ngorongoro?
Alifanya/sema je/nini!??
 
Ngorongoro hali sio shwari kabisa kuna mambo mbalimbali yanayoendelea huko ya uvunjifu wa haki za binadamu

Moto unaowaka Ngorongoro hakuna tofauti na DP world sema issue ya Ngorongoro hatujaipa airtime

Ni wakati sasa watanzania tupaze sauti kwa kuendelea kuandika mitandaoni hali halisi ya Ngorongoro na tusiwategemee waandishi wa habari waliokambishwa asali

Ngorongoro hali sio shwari kabisa.
 
Wakuu,

Huko Ngorongoro yanasemwasemwa mengi huko X na bahati mbaya vyombo vya habari havitoi taarifa za kinachoendelea. Mbunge wa huko inasemekana amekamatwa mpaka sasa haijulikani alipo na bahati mbaya kila mtu, kila chombo cha habari na taasisi zingine ikiwemo Bunge na wabunge wenyewe wako kimya.

Haya mambo yatolewe ufafanuzi nini kinaendelea, kwanini mwakilishi wa wananchi hajulikani alipo mpaka sasa. Vyombo vya habari na wana habari wanakiri kila kukicha kuwa wapo huru lakini tunaona jinsi habari zingine wanavyoziepuka!

Tunasubiri tena waraka wa TEC tuone wanachanganya dini na siasa? Nini kinaendelea Ngorongoro?
Huko Ngorongoro ni mwendo kamata, weka ndani, peleka kusikojulikana, piga, vunja maboma ya wamasai na piga marufuku kutoa habari!
 
Back
Top Bottom