Atapelekwa kwani shida nini?Sasa kama mnao ushahidi si mpelekeni mahakamani?
Ngoja tumhoji kwanza, mahakamani tutampeleka tu.Sasa kama mnao ushahidi si mpelekeni mahakamani?
Mwalimu , Mwalimu, nimekuita mara mbiliAmefungiwa na jimama la kimbulu hapo mto wa mbu nendeni mkamcheki![]()



hajui na yeye ndio anauliza 🤣🤣🤣Sasa na wewe badala ya kutuletea hicho kinachoendelea umeleta maneno matupu.
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Wewe unaonaje!Hivi Samia ni rais wa watz au ni rais wa waarabu
Nipo mkuu ndo nimetoka darasaniMwalimu , Mwalimu, nimekuita mara mbili![]()
Shida Wamasai ni wanafiki sana, mno sio watu wa kusaidiwa wala kutetewa, oamoja na kusulubiwa kote still huambii kitu kuhusu CCM yao hio.Wakuu,
Huko Ngorongoro yanasemwasemwa mengi huko X na bahati mbaya vyombo vya habari havitoi taarifa za kinachoendelea. Mbunge wa huko inasemekana amekamatwa mpaka sasa haijulikani alipo na bahati mbaya kila mtu, kila chombo cha habari na taasisi zingine ikiwemo Bunge na wabunge wenyewe wako kimya.
Haya mambo yatolewe ufafanuzi nini kinaendelea, kwanini mwakilishi wa wananchi hajulikani alipo mpaka sasa. Vyombo vya habari na wana habari wanakiri kila kukicha kuwa wapo huru lakini tunaona jinsi habari zingine wanavyoziepuka!
Tunasubiri tena waraka wa TEC tuone wanachanganya dini na siasa? Nini kinaendelea Ngorongoro?
Kwann sio jimama la kimbulu Karatu!Nipo mkuu ndo nimetoka darasani
Mbona sikuelewi? "Tumepotezea" kwa vipi?!Cc denooJ tumeshapotezea hili mara hii? Yaani hamna hata mwenye habari? Kwa staili hii serikali itatuchukulia serious kweli kwenye suala la bandari?
Umeishi nao wapi mkuu?Shida Wamasai ni wanafiki sana, mno sio watu wa kusaidiwa wala kutetewa, oamoja na kusulubiwa kote still huambii kitu kuhusu CCM yao hio.
Wamasai kuliko uwatetee bora ukatetea hata Wezi.
Nimekaa na Wamasai nawajua walivyo vigeu geu, ni watu wasio kuwa na msimamo katika Taifa hili. Unaweza anza kuwatetea na baadae wakakugeuka wewe unaye watetea