Nini kinaendelea Ngorongoro?

Nini kinaendelea Ngorongoro?

Wakuu,

Huko Ngorongoro yanasemwasemwa mengi huko X na bahati mbaya vyombo vya habari havitoi taarifa za kinachoendelea. Mbunge wa huko inasemekana amekamatwa mpaka sasa haijulikani alipo na bahati mbaya kila mtu, kila chombo cha habari na taasisi zingine ikiwemo Bunge na wabunge wenyewe wako kimya.

Haya mambo yatolewe ufafanuzi nini kinaendelea, kwanini mwakilishi wa wananchi hajulikani alipo mpaka sasa. Vyombo vya habari na wana habari wanakiri kila kukicha kuwa wapo huru lakini tunaona jinsi habari zingine wanavyoziepuka!

Tunasubiri tena waraka wa TEC tuone wanachanganya dini na siasa? Nini kinaendelea Ngorongoro?
Shida Wamasai ni wanafiki sana, mno sio watu wa kusaidiwa wala kutetewa, oamoja na kusulubiwa kote still huambii kitu kuhusu CCM yao hio.

Wamasai kuliko uwatetee bora ukatetea hata Wezi.

Nimekaa na Wamasai nawajua walivyo vigeu geu, ni watu wasio kuwa na msimamo katika Taifa hili. Unaweza anza kuwatetea na baadae wakakugeuka wewe unaye watetea
 
Cc denooJ tumeshapotezea hili mara hii? Yaani hamna hata mwenye habari? Kwa staili hii serikali itatuchukulia serious kweli kwenye suala la bandari?
Mbona sikuelewi? "Tumepotezea" kwa vipi?!

Sijanyamaza makusudi, sina taarifa za kinachoendelea Ngorongoro ndio maana.

By the way, mimi siishi Ngorongoro, hivyo siwezi kujua yote yanayomhusu mbunge wao, nategemea habari kama wewe unavyotegemea kuzipata JF.
 
Shida Wamasai ni wanafiki sana, mno sio watu wa kusaidiwa wala kutetewa, oamoja na kusulubiwa kote still huambii kitu kuhusu CCM yao hio.

Wamasai kuliko uwatetee bora ukatetea hata Wezi.

Nimekaa na Wamasai nawajua walivyo vigeu geu, ni watu wasio kuwa na msimamo katika Taifa hili. Unaweza anza kuwatetea na baadae wakakugeuka wewe unaye watetea
Umeishi nao wapi mkuu?
 
Back
Top Bottom