HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 72,939
- 102,696
Choice variablesNani kasema hajulikani wakati katiwa Mbaroni na Polisi baada ya kusakwa Kwa siku kadhaa?
Choice variablesNani kasema hajulikani wakati katiwa Mbaroni na Polisi baada ya kusakwa Kwa siku kadhaa?
Mbunge alihamasisha mauajiKimbaumbau Tulia yuko kimya wakati mbunge wake yupo korokoroni bila kosa!
Polisi watumie bunduki hadi kielewekeBaada ya kufadhili Vijana kukata mapanga waandishi alitokomea kusikojikikana Hadi akasakwa
Nenda kule uwateteeNgorongoro hali sio shwari kabisa kuna mambo mbalimbali yanayoendelea huko ya uvunjifu wa haki za binadamu
Moto unaowaka Ngorongoro hakuna tofauti na DP world sema issue ya Ngorongoro hatujaipa airtime
Ni wakati sasa watanzania tupaze sauti kwa kuendelea kuandika mitandaoni hali halisi ya Ngorongoro na tusiwategemee waandishi wa habari waliokambishwa asali
Ngorongoro hali sio shwari kabisa.
Vizuri kabisaHuko Ngorongoro ni mwendo kamata, weka ndani, peleka kusikojulikana, piga, vunja maboma ya wamasai na piga marufuku kutoa habari!
Jamaa nikikusoma between the lines nakuona unataka sana hili la DPW liishie hewani, ndio maana upo kimya sana kuhusu hilo jambo, mimi naamini haki ya watanganyika ipo tu.Sawa Mimi nitakukumbusha tu wakati ukifika.
In wapinzani emineno ?!. Jomaneko okine !! Akya gimauparo jomanang'o jotelo .Hivi ule wimbo wa upinzani wa mama anaupiga mwingi bado unasikika huko kwenu?
Siko peke yangu tunaenda wengi na tunaliwasha soon hii itakuwa zaidi ya DP world mtahara nasemaNenda kule uwatetee
Angalia familia yako kuliko kutetea usivyojuaSiko peke yangu tunaenda wengi na tunaliwasha soon hii itakuwa zaidi ya DP world mtahara nasema
Kuna genocide ya kimya kimya inaendelea ngorongoroHuko Ngorongoro ni mwendo kamata, weka ndani, peleka kusikojulikana, piga, vunja maboma ya wamasai na piga marufuku kutoa habari!
Karibuni sana waarabuWatu wameshakula hela ya waarabu sasa ni mwendo wa kukabidhi
Wakuu,
Huko Ngorongoro yanasemwasemwa mengi huko X na bahati mbaya vyombo vya habari havitoi taarifa za kinachoendelea. Mbunge wa huko inasemekana amekamatwa mpaka sasa haijulikani alipo na bahati mbaya kila mtu, kila chombo cha habari na taasisi zingine ikiwemo Bunge na wabunge wenyewe wako kimya.
Haya mambo yatolewe ufafanuzi nini kinaendelea, kwanini mwakilishi wa wananchi hajulikani alipo mpaka sasa. Vyombo vya habari na wana habari wanakiri kila kukicha kuwa wapo huru lakini tunaona jinsi habari zingine wanavyoziepuka!
Tunasubiri tena waraka wa TEC tuone wanachanganya dini na siasa? Nini kinaendelea Ngorongoro?