Yaani wewe nikikuona tu kwenye arguments fulani yoyote najua nyuma yako yapo maslahi ya Mwarabu!! Mwarabu kwako ni DiniAtapelekwa kwani shida nini?
Yaani wewe nikikuona tu kwenye arguments fulani yoyote najua nyuma yako yapo maslahi ya Mwarabu!! Mwarabu kwako ni DiniAtapelekwa kwani shida nini?
Ngumu kusahaulika!!!!tutasahau kabisa bandari!!
Kwahiyo kama haya yote yanatokea kwa wakati mmoja wewe ungependa tujikite kwenye lipi?Niliwahi sema huko nyuma kwamba waTanzania tunaongozwa na mihemko alafu tunasahau mazima baada ya muda mfupi tunadandia kingine.
Ilitokea loliondo, ikaja ngorongoro, then ikahamia kwa Dugange ajiuzulu, ghafla ripoti ya CAG ikaibuka then kwa Sasa upepo ukahamia kwa Dp World!! Believe me Leo hii Diamond platnumz akisema anajiunga kwenye siasa awe mbunge attention yote itahamia huko na tutasahau kabisa bandari!!
Ni nchi ya ajabu sana hii
Yaani mbunge achochee vijana kupiga waandishi wa habari, vyombo vya dola vinafanya kazi yake, unataka Spika afanyeje. Yeye anapewa tu taarifa, mtu wako tunae, period. Tatizo kuna watu wapuuzi sana wakishindwa kujenga hoja wanakimbilia mabavu mwisho wanaishia kutumbukia kwenye jinai.Tulia yeye yupo kule Mbeya anatetea Mkataba wa Bandari badala ya kusimamia heshima ya Mhimili wa Bunge.
Tuna Spika wa aina yake kuwahi kutokea.
Samia, Kikwete gangs. Kuwakomoa WatanganyikaWakuu,
Huko Ngorongoro yanasemwasemwa mengi huko X na bahati mbaya vyombo vya habari havitoi taarifa za kinachoendelea. Mbunge wa huko inasemekana amekamatwa mpaka sasa haijulikani alipo na bahati mbaya kila mtu, kila chombo cha habari na taasisi zingine ikiwemo Bunge na wabunge wenyewe wako kimya.
Haya mambo yatolewe ufafanuzi nini kinaendelea, kwanini mwakilishi wa wananchi hajulikani alipo mpaka sasa. Vyombo vya habari na wana habari wanakiri kila kukicha kuwa wapo huru lakini tunaona jinsi habari zingine wanavyoziepuka!
Tunasubiri tena waraka wa TEC tuone wanachanganya dini na siasa? Nini kinaendelea Ngorongoro?
Tuwe na follow up kujua jambo linaishaje sio kudandia matukio. Kwa staili hii ndio maana Samia anapotezea maoni yetu maana anajua kesho likiibuka jambo jingine mfano Lissu akijiunga CCM basi watasahau yote na kuanza kujadili Hilo mwezi mzima.Kwahiyo kama haya yote yanatokea kwa wakati mmoja wewe ungependa tujikite kwenye lipi?
Si tupo mkuu, kufikia December tutakua tumesahau tuko busy kujadili Diamond kumrudia Zari!!Ngumu kusahaulika!!!!
Loliondo WAMEUZA.Wakuu,
Huko Ngorongoro yanasemwasemwa mengi huko X na bahati mbaya vyombo vya habari havitoi taarifa za kinachoendelea. Mbunge wa huko inasemekana amekamatwa mpaka sasa haijulikani alipo na bahati mbaya kila mtu, kila chombo cha habari na taasisi zingine ikiwemo Bunge na wabunge wenyewe wako kimya.
Haya mambo yatolewe ufafanuzi nini kinaendelea, kwanini mwakilishi wa wananchi hajulikani alipo mpaka sasa. Vyombo vya habari na wana habari wanakiri kila kukicha kuwa wapo huru lakini tunaona jinsi habari zingine wanavyoziepuka!
Tunasubiri tena waraka wa TEC tuone wanachanganya dini na siasa? Nini kinaendelea Ngorongoro?
Sawa Mimi nitakukumbusha tu wakati ukifika.Ulichokiandika hapa ni tafsiri yako, haki yako.
Lakini kwangu nina mtazamo tofauti kabisa, hasa kwa hili la bandari tulilokaa nalo kwa zaidi ya miezi miwili, na halioneshi dalili ya kupoa mpaka majibu ya maana yapatikane.
Usiishi kwa mazoea, hasa kama suala linalojadiliwa linahusu rasilimali za watanganyika.
Akili ikuingie kwamba jambo la kuhamisha watu huko linaendeshwa kibabe na si kwa hiari kama ilivyoripotiwa na vyombo vya habari. Na hii ndiyo tafsiri had mbunge kukamatwa baada ya kutofautiana nao.Wakuu,
Huko Ngorongoro yanasemwasemwa mengi huko X na bahati mbaya vyombo vya habari havitoi taarifa za kinachoendelea. Mbunge wa huko inasemekana amekamatwa mpaka sasa haijulikani alipo na bahati mbaya kila mtu, kila chombo cha habari na taasisi zingine ikiwemo Bunge na wabunge wenyewe wako kimya.
Haya mambo yatolewe ufafanuzi nini kinaendelea, kwanini mwakilishi wa wananchi hajulikani alipo mpaka sasa. Vyombo vya habari na wana habari wanakiri kila kukicha kuwa wapo huru lakini tunaona jinsi habari zingine wanavyoziepuka!
Tunasubiri tena waraka wa TEC tuone wanachanganya dini na siasa? Nini kinaendelea Ngorongoro?
Waandishi wa habari wa Jamvi ya habari walitumwa kwenda kuwashawishi wananchi wa Endulen kuhama.Wakuu,
Huko Ngorongoro yanasemwasemwa mengi huko X na bahati mbaya vyombo vya habari havitoi taarifa za kinachoendelea. Mbunge wa huko inasemekana amekamatwa mpaka sasa haijulikani alipo na bahati mbaya kila mtu, kila chombo cha habari na taasisi zingine ikiwemo Bunge na wabunge wenyewe wako kimya.
Haya mambo yatolewe ufafanuzi nini kinaendelea, kwanini mwakilishi wa wananchi hajulikani alipo mpaka sasa. Vyombo vya habari na wana habari wanakiri kila kukicha kuwa wapo huru lakini tunaona jinsi habari zingine wanavyoziepuka!
Tunasubiri tena waraka wa TEC tuone wanachanganya dini na siasa? Nini kinaendelea Ngorongoro?
WaTanganyika tulipata uhuru mapema, tena bure bila kuuhangaikia na kuumwagia damu. Hii imesababisha wananchi na viongozi wetu kutokujua thamani ya walichokipata.Wakuu,
Huko Ngorongoro yanasemwasemwa mengi huko X na bahati mbaya vyombo vya habari havitoi taarifa za kinachoendelea. Mbunge wa huko inasemekana amekamatwa mpaka sasa haijulikani alipo na bahati mbaya kila mtu, kila chombo cha habari na taasisi zingine ikiwemo Bunge na wabunge wenyewe wako kimya.
Haya mambo yatolewe ufafanuzi nini kinaendelea, kwanini mwakilishi wa wananchi hajulikani alipo mpaka sasa. Vyombo vya habari na wana habari wanakiri kila kukicha kuwa wapo huru lakini tunaona jinsi habari zingine wanavyoziepuka!
Tunasubiri tena waraka wa TEC tuone wanachanganya dini na siasa? Nini kinaendelea Ngorongoro?
Leo nimeona kwenye page ya Kitenge habari kuu ni wamasai kujeruhiwa na wanyama wakiwa machungani. Habari za kimitego kabisa ili ku justify sababu za kuwahamisha.Waandishi wa habari wa Jamvi ya habari walitumwa kwenda kuwashawishi wananchi wa Endulen kuhama.
Sasa inaonekana wamaasai wakausoma mchezo mapema.(wakiwa na Mbunge)
Waandishi wakaonywo kuondoka eneo hilo mapema kwa maana hakuna anayeitaka huduma yao. Ieleweke Jamii ya Ngorongoro inaamini wandishi wa habari wanatumika kupotosha yanayoendelea hapo Ngorongoro.
Hawa waandishi waliendelea kuwashawishi hawa vijana wa kimaasai mwisho wa siku wakatwangwa. Na Mbunge alikuwepo eneo hilo.
Hivyo connect dots.....Mongela anaamini mbunge ndiye aliyewatuma vijana.
Ni MBUNGE WA CCM NI MIONGONI MWA WALIOENDA DUBAI KULAMBA ASALI. Ndio maaana nakosa cha kusema.Ni Mbunge Wa Chama Gani Huyo?
Waambie Ndugu Zake Wawasiliane Na MWABUKUSI ,awape Makavu Line Wahusika.