Mndwyika.wetu
JF-Expert Member
- Jul 15, 2012
- 652
- 829
Nnavyojua michoro ilibadilika,kwa kutumia mchoro wa kwanza wenye ghorofa tatu mkadarasi alikua amekamilisha Kazi kubwa ya awali,kwa bahari mabaya ilikuja kugundulika hela isingepatika ya kukamilisha ghorofa tatu hivyo kuamriwa kwanza upya tena..mchoro wa kwanza ulikua mpka na round about juu...kwa hiyo kikubwa kilichokwamisha ni kubadilika kwa michoro,na ukosefu wa pesa.
Mbona tunaambiwa serikali ina hela nyingi sana