Nini kinaendelea mkwamo Ubungo Interchange ?

Nini kinaendelea mkwamo Ubungo Interchange ?

Karibu mwaka mmoja tangu Mradi Wa Ubungo Exchange Uanze , hadi sasa hakuna kazi ya Maana iliyofanyika, kwani hata site clearence ambayo ni kazi ya kufanya wiki mbili tu katika hali ya kawaida hadi sasa. Haijakamilika .

Contractor wa Kichina wanasuasua sana kufika site na hata hakuna dalili yeyote ya kufanya kazi sana sana kuna vibarua wachache tu wa kitanzania wanaonekana na majembe yao.

Tunaomba kujua kuna nini kinaendelea kati ya WORLD BANK na Serikali?


Ma-snitch tls wamewaambia Word Bank wailipe kumkomoa Raisi wetu!
 
Ma-snitch tls wamewaambia Word Bank wailipe kumkomoa Raisi wetu!

World Bank hawafanyii kazi kwa kukomoa bali procedures na masharti
It’s so unfortunate kama tunanyimwa pesa kwa kushindwa kulipa watu fidia ambapo pengine tungetumia BILIONI 30 maximum
Kwenye miradi yote issue za fidiaa huwa ni jukumu la host kuna miradi mingi pia huko nyuma tumeikosa kwa ajili ya uzembe mfano mradi wa kujenga pale Bandarini nyuma ya saba saba ulihamishiwa Ethiopia
 
Kuna article niliiona IPPMEDIA ambayo inaonyesha kama walikurupuka kwenye maamuzi na kusahau mambo ya msingi lakini kama alivyosema Saint Ivuga nadhani hakuna pesa sasa wanaficha ukweli. Nitaitafuta nikiipata nitaweka hapa.

Govt explains why Ubungo flyover project has stalled


!
!
Niwaombe wizara ya miundombinu na wakandarasi simamieni mradi ukamilike. Sioni sababu mradi huu ukachukua mpaka miezi 30, wakati kuna usiku na kuna mchana. Hakuna sheria duniani inayokataza kufanya kazi usiku, angalau basi miezi 20.


Pia Kwenye Hiyo Article Alinukuliwa Akisema Fedha Zipo, Sasaaa
 
World Bank wamejitoa kufinance mradi wa kujenga interchange sasa hivi tunajenga kwa pesa yetu na ndo maana badala ya interchange inakua flyover.
 
Wazungu wamefungia hela zao baada ya kuona mnawavunjia hadi wasio na hatia. Wao wana moyo wa nyama...wameshindwa kuvumilia wameamua wale tu pesa yao kuliko kuwapa nyie and now imebaki story tu
 
Kulikua na architectural na structural adjustment due to the availability of land for project execution due to both political and social reasons.
Soon unaanza
 
Kwani huo mradi unagharimu kiasi gani, kumbuka tuna 1.5 t kama kianzio na mwizi akirudisha(assumption ziweibwa na siyo kutojulikama)
 
!
!
Niwaombe wizara ya miundombinu na wakandarasi simamieni mradi ukamilike. Sioni sababu mradi huu ukachukua mpaka miezi 30, wakati kuna usiku na kuna mchana. Hakuna sheria duniani inayokataza kufanya kazi usiku, angalau basi miezi 20.


Pia Kwenye Hiyo Article Alinukuliwa Akisema Fedha Zipo, Sasaaa
Ndugu hivi mpka leo hujajua tuna rais msanii na muongo?
 
World Bank wamejitoa kufinance mradi wa kujenga interchange sasa hivi tunajenga kwa pesa yetu na ndo maana badala ya interchange inakua flyover.
Wewe unajua maana ya inter change? Hahahahahaha....
 
Karibu mwaka mmoja tangu Mradi Wa Ubungo Exchange Uanze , hadi sasa hakuna kazi ya Maana iliyofanyika, kwani hata site clearence ambayo ni kazi ya kufanya wiki mbili tu katika hali ya kawaida hadi sasa. Haijakamilika .

Contractor wa Kichina wanasuasua sana kufika site na hata hakuna dalili yeyote ya kufanya kazi sana sana kuna vibarua wachache tu wa kitanzania wanaonekana na majembe yao.

Tunaomba kujua kuna nini kinaendelea kati ya WORLD BANK na Serikali?
Tunasubiria kuiba 3 trilllion mwaka wa fedha 2018,2019 tumalizie ujenzi,ovaaaa
 
Screenshot_2018-04-21-15-07-20.png
 
Mnakujaga na taarifa zenu za ajabu hivohivo baadae mnaumbuliwa mnabaki kutafuta maneno mengine aibu zitawaandama sana kipindi hiki ....Magu fanyakazi haya maneno ya hawa watu tumeshayoazoea hiki ni kipindi cha kazi tu maneno baadae
 
Kunawatu walivyo umbwa huwa wanashangilia kushindwa kwa mtu mwingine, hata kama hawafaidiki na kushindwa kwa hyo mtu...

Hii si tabia nzuri.
.
 
Karibu mwaka mmoja tangu mradi wa Ubungo Exchange uanze, hadi sasa hakuna kazi ya maana iliyofanyika, kwani hata site clearence ambayo ni kazi ya kufanya wiki mbili tu katika hali ya kawaida hadi sasa haijakamilika .

Contractor wa kichina wanasuasua sana kufika site na hata hakuna dalili yeyote ya kufanya kazi sana sana kuna vibarua wachache tu wa kitanzania wanaonekana na majembe yao.

Tunaomba kujua kuna nini kinaendelea kati ya WORLD BANK na Serikali?
Kazi za ujenzi huendaga taratibu, baada ya muda ndo utaiona structure halisi. Hata TAZARA ilianza hivi hivi na sasa inaelekea kukamilika, subira men.
 
Karibu mwaka mmoja tangu mradi wa Ubungo Exchange uanze, hadi sasa hakuna kazi ya maana iliyofanyika, kwani hata site clearence ambayo ni kazi ya kufanya wiki mbili tu katika hali ya kawaida hadi sasa haijakamilika .

Contractor wa kichina wanasuasua sana kufika site na hata hakuna dalili yeyote ya kufanya kazi sana sana kuna vibarua wachache tu wa kitanzania wanaonekana na majembe yao.

Tunaomba kujua kuna nini kinaendelea kati ya WORLD BANK na Serikali?
Hela watu waliungia Mkono viwanda!
 
Kawabomolea nyumba wakazi wa kimara unadhani atapona. Sasa hivi hata akitubu atakuwa anajisumbua tu. Huoni hata kuzindua kumepungua.

Bring beck our money
Nimekamilisha banda langu la kuku, nadhani jiwe atakuja kulizindua
 
Back
Top Bottom