Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,590
- 8,718
Karibu mwaka mmoja tangu mradi wa Ubungo Interchange uanze, hadi sasa hakuna kazi ya maana iliyofanyika, kwani hata site clearence ambayo ni kazi ya kufanya wiki mbili tu katika hali ya kawaida hadi sasa haijakamilika .
Contractor wa kichina wanasuasua sana kufika site na hata hakuna dalili yeyote ya kufanya kazi sana sana kuna vibarua wachache tu wa kitanzania wanaonekana na majembe yao.
Tunaomba kujua kuna nini kinaendelea kati ya WORLD BANK na Serikali?
Contractor wa kichina wanasuasua sana kufika site na hata hakuna dalili yeyote ya kufanya kazi sana sana kuna vibarua wachache tu wa kitanzania wanaonekana na majembe yao.
Tunaomba kujua kuna nini kinaendelea kati ya WORLD BANK na Serikali?