Kyara Atufigwe
Senior Member
- Mar 29, 2015
- 120
- 68
Habari wana jamvi,
Ni muda sasa umepita tangu Wizara ya Kilimo kupitia kwa Mhe Waziri Bashe kutangaza bei mpya ya mbolea nchini.
Tuliambiwa kuwa Bei hizo elekezi zitaanza kutumika kuanzia August 15. Binafsi nmefurahia sana hatua hii na natamani tufanikiwe kwenye hili.
Wadau tupeane mrejesho, nini kinaendelea mikoani kuhusu zoezi hili na changamoto zinazojitokeza.
Ni muda sasa umepita tangu Wizara ya Kilimo kupitia kwa Mhe Waziri Bashe kutangaza bei mpya ya mbolea nchini.
Tuliambiwa kuwa Bei hizo elekezi zitaanza kutumika kuanzia August 15. Binafsi nmefurahia sana hatua hii na natamani tufanikiwe kwenye hili.
Wadau tupeane mrejesho, nini kinaendelea mikoani kuhusu zoezi hili na changamoto zinazojitokeza.