Nini kinaendelea kwa Muna love?

Nini kinaendelea kwa Muna love?

Mtoto alikua ananyonya kidole
Akashauriwa amuweke plasta,akaweka baadae pakavilia maji pale kwa kidole akamtoa plasta,yule mtoto kile kidole akaanza kukinyonya Tena,ndo kimekua cheusi kimemletea madhara pia inasemekana kuna uwezekano wa kukatwa vidole yule mtoto Kwa kua vimekua vyeusi tii like vimeingia sumu
But how??? Unajua nashangaa yani kidole kibadilike ghafla tuu kisa,plasta...
Namuhurumia yule mtt anavyolia nyiee
 
Hata kama ana maagano yamkini anatamani kutoka na inamchanganya sana,Mungu akufanyie wepesi dada.
 
Siamini km kweli katoa kafara hii dunia ina mambo sana majaribu yanawakuta watu makubwa mnoo Kwa watoto,siwezi kommenti kwenye hili
Mimi niliuguza mwanangu sina hamu ,lau kama ningekua tajiri wangesema nataka kutoa kafara nashukuru amepona ila wanaadamu ni wabaya mnooo
Huyo Hawa Mussa ukute mchawi ndo yeye,huwezi mfata mtu anaeuguza mwanawe na alifiwa na mwanawe ukamuambia maneno mazito km hayo,iwe kweli au siyo kweli hata kama rafiki yake alipaswa atafute njia nzuri kumfariji
Mtoto anauma jamani Yarraii...viatu vya Munnah havitoshi kabisa na huyo Munna Hana huo utajiri wa kutisha kutoa kafara siwezi msemea ila sitaki kuamini kama anaweza fanya hvyo maana nae anahangaika na maisha kama sisi labda hyo kwenda kwa waganga kufanya upuuzi wao kusafisha nyota na mvuto ila jamani Kafara mwehh sio kitu kidogo atiii
Na simlaumu kuposti IG hii dunia kila mtu ana namna yakupata relief ktk mambo yake ndo maana wengine wanaleta JF ili kupata faraja ktk mioyo yao
Mungu amponye mtoto wake.
Umeongea kama watu 100 Lakin n mtu mmoja umeongea congratulations my best
 
Na wewe kwanini umeleta huku? Si ungemwambia hukohuko Instagram. Sasa unakataa nini, unafanya nini?
Huku ni jukwaa la celebrities, umbea, ukweli, vioja, soga zooote zinaruhusiwa......kuna shida?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom