Nini kinaendelea kwa Muna love?

Nini kinaendelea kwa Muna love?

Akafe mbele kigagula huyu
Si ndio yule alisema mtoto kauliwa na bodaboda sijui huko Dom?
 
Mtoto alikua wa casto na amefanana na casto sana hii kitu casto alinyamaza kimya hakusema lolote..ila hapana wanawake mna mambo yanatisha sana
Kwani aliolewa na nani?
Huyo casto alikua nani kwake?
 
Huyo Muna ni changudoa au, na background yake ikoje.....tuanzie hapa kwanza maana hawa watu wanakuwaga na vitu vingi sana nyuma ya pazia.
 
Kwa kumtizama kwa jicho la rohoni inaonekana ana mambo mengi ya giza mpenda ushirikina mjivuni anajua kujibanza kwenye wokovu lkn hawa ndo waliuza nafsi zao kwa lucifer
 
Siamini km kweli katoa kafara hii dunia ina mambo sana majaribu yanawakuta watu makubwa mnoo Kwa watoto,siwezi kommenti kwenye hili
Mimi niliuguza mwanangu sina hamu ,lau kama ningekua tajiri wangesema nataka kutoa kafara nashukuru amepona ila wanaadamu ni wabaya mnooo
Huyo Hawa Mussa ukute mchawi ndo yeye,huwezi mfata mtu anaeuguza mwanawe na alifiwa na mwanawe ukamuambia maneno mazito km hayo,iwe kweli au siyo kweli hata kama rafiki yake alipaswa atafute njia nzuri kumfariji
Mtoto anauma jamani Yarraii...viatu vya Munnah havitoshi kabisa na huyo Munna Hana huo utajiri wa kutisha kutoa kafara siwezi msemea ila sitaki kuamini kama anaweza fanya hvyo maana nae anahangaika na maisha kama sisi labda hyo kwenda kwa waganga kufanya upuuzi wao kusafisha nyota na mvuto ila jamani Kafara mwehh sio kitu kidogo atiii
Na simlaumu kuposti IG hii dunia kila mtu ana namna yakupata relief ktk mambo yake ndo maana wengine wanaleta JF ili kupata faraja ktk mioyo yao
Mungu amponye mtoto wake.
Huo mtandao wa kafara siku hizi unaweza ukaunganishwa bila hata kujua aidha na ndugu, mpenzi au marafiki wa karibu,,,,,mtu wa pembeni anatoa ila unaonekana wewe ndo umefanya hivyo
 
Huo mtandao wa kafara siku hizi unaweza ukaunganishwa bila hata kujua aidha na ndugu, mpenzi au marafiki wa karibu,,,,,mtu wa pembeni anatoa ila unaonekana wewe ndo umefanya hivyo
Nami nimehisi hivi
 
Yule mtoto Patrick aliyefariki alikuwa anakandikwa mapiko na mablack kwenye nywele hata miaka 5 sidhani kama alikuwa kafika.. mixer ma make ups na mapicha picha mengi mtandaoni.. hivi hayo makemikali hayana madhara kweli kwa watoto?
 
Sie twamuita mnafiki wa dini
Yule aliwahi sema anaendaga Kwa waganga ila kaacha na hawa wasanii wa bongo hizo ndo mambo zao...kuroga...Kuna yule mganga wa 'rudi Kwa bibi kinondoni', mwingine Yuko Magomeni mmemsahau jina,mbagala chemchem,nk,ila washirikina haswaaaaa....wengi wao km yupo asoroga sijui
Uwoya mwenyewe kisa Cha kuokoka ni alipigwa juju nusu afee..famasiara Nini!!!
Tuwaombee tu ila Muna ni mgonjwa wa akili pia maana anafanya vitu km kichaaa
Hapa umesema maana ujasiri wa Muna sio bure una kichaa ndani yake
 
Na wewe kwanini umeleta huku? Si ungemwambia hukohuko Instagram. Sasa unakataa nini, unafanya nini?
 
Huyu jamani si alifanya tummy tuck kidonda kikagoma kupona.Akaomboleza Mungu akamrehemu? Amezaa lini tena jamani..Eeh Mungu mponye mtoto wa Muna.Nyie acheni mzaha mtoto anauma.
 
Mungu amponye,kuuguza ni kitu kingine,nadhani anakuwa sana na stress ya kumpoteza kama yule wa kwanza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom