Asilimia 70 ya msafara wa Rais Samia nchini India ni Wasanii, akina Steve Nyerere

BLACK MOVEMENT

JF-Expert Member
Mar 11, 2020
2,712
6,515
Huwezi amini asililia 70 ya watu walio ambatana na Raisi ni wasanii wa Bongo Movies na comedian kama Steve Nyerere.

Yaani sio hata kuwapeleka wakulima wakajifunze Kilimo au Wafanyabiashara hapana ni wasanii wamejaza ndege. Hawa sujajua wameenda kukutana na wakima Mituni Chakarabot au la.

Kuna tetesi kwamba ni sehemu ya kuandaa kikosi kazi cha kampeni yake 2025 hivyo Wasanii wananda kutalii kupata exposure na kula Perdiem za nchi hii.

Kumbuka kuna uhaba wa Dola ya Marekani hadi sasa.
 
Huwezi amini asililia 70 ya watu walio ambatana na Raisi ni wasanii wa Bongo Movies na comedian kama Steve Nyerere.

Yaani sio hata kuwapeleka wakulima wakajifunze Kilimo au Wafanyabiashara hapana ni wasanii wamejaza ndege. Hawa sujajua wameenda kukutana na wakima Mituni Chakarabot au la.

Kuna tetesi kwamba ni sehemu ya kuandaa kikosi kazi cha kampeni yake 2025 hivyo Wasanii wananda kutalii kupata exposure na kula Perdiem za nchi hii.

Kumbuka kuna uhaba wa Dola ya Marekani hadi sasa.
Hiyo 70% uliipataje ndugu? Una orodha nzima ya walioambatana na Rais? Nyie nyumbu mnavyolipiaga chopa mamilioni huku mkishindwa kununua dawa ya kusafisha choo cha ufipa huwa mnabugudhiwa?
 
Huwezi amini asililia 70 ya watu walio ambatana na Raisi ni wasanii wa Bongo Movies na comedian kama Steve Nyerere.

Yaani sio hata kuwapeleka wakulima wakajifunze Kilimo au Wafanyabiashara hapana ni wasanii wamejaza ndege. Hawa sujajua wameenda kukutana na wakima Mituni Chakarabot au la.

Kuna tetesi kwamba ni sehemu ya kuandaa kikosi kazi cha kampeni yake 2025 hivyo Wasanii wananda kutalii kupata exposure na kula Perdiem za nchi hii.

Kumbuka kuna uhaba wa Dola ya Marekani hadi sasa.
Yaani sio hata kuwapeleka wakulima wakajifunze Kilimo au Wafanyabiashara hapana ni wasanii wamejaza ndege. Hawa sijajua wameenda kukutana na wakina Mituni Chakarabot au la,.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwezi amini asililia 70 ya watu walio ambatana na Raisi ni wasanii wa Bongo Movies na comedian kama Steve Nyerere.

Yaani sio hata kuwapeleka wakulima wakajifunze Kilimo au Wafanyabiashara hapana ni wasanii wamejaza ndege. Hawa sujajua wameenda kukutana na wakima Mituni Chakarabot au la.

Kuna tetesi kwamba ni sehemu ya kuandaa kikosi kazi cha kampeni yake 2025 hivyo Wasanii wananda kutalii kupata exposure na kula Perdiem za nchi hii.

Kumbuka kuna uhaba wa Dola ya Marekani hadi sasa.
Kuna tetesi kwamba ni sehemu ya kuandaa kikosi kazi cha kampeni yake 2025 hivyo Wasanii wananda kutalii kupata exposure na kula Perdiem za nchi hii.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwezi amini asililia 70 ya watu walio ambatana na Raisi ni wasanii wa Bongo Movies na comedian kama Steve Nyerere.

Yaani sio hata kuwapeleka wakulima wakajifunze Kilimo au Wafanyabiashara hapana ni wasanii wamejaza ndege. Hawa sujajua wameenda kukutana na wakima Mituni Chakarabot au la.

Kuna tetesi kwamba ni sehemu ya kuandaa kikosi kazi cha kampeni yake 2025 hivyo Wasanii wananda kutalii kupata exposure na kula Perdiem za nchi hii.

Kumbuka kuna uhaba wa Dola ya Marekani hadi sasa.
steve nyerere ni asilimia ngapi?

wengine ni akina nani kwa mfano?
 
Back
Top Bottom