Acha ushamba. Kama hujui vitu kaa kimya. Nchi zote zilizoendelea Public Transport ni mali ya umma na inaendeshwa na mashirika ya umma. England Amerika, Germany, Japan hata Ufaransa kote ni hivyo hivyo na ndiyo maana inaitwa Public Transport.
Ukichukua nchi kama ujerumani Railway system (Deutsche Bahn) yao asilimia kubwa iko mikononi mwa serikali na inaendeshwa vizuri tu. Jiulize kwa nini wao waweze lakini sisi tushindwe? Kubali kuwa sisi bado tuko katika stage ya unyama. Hatuja kamilika kuitwa binadam. Binadam hujifunza na kuzingatia yale aliyo jifunza. Lakini sisi ngozi nyeusi sijui kama tunastahili kuwa na sifa za kuitwa binadam hasa ukizingatia watu wengine kama wewe wenye fikra ambazo ni za kuihaibisha humanity.
Unaandika mambo ambayo unadhani unayajua kumbe ni pumba tu. Nenda Ulaya na Amerika ukaone jinsi gani miradi ya umma inaendeshwa na serikali zao, badala ya kupayuka payuka kauli zisizo zieleqa undani wake.
Acha tabia ya kuwapumbaza watu wengine. Kama wewe mshamba wa kuelewa vitu basi endelea kubaki na ushamba wako. Usidhani wengine wote nao wako kama wewe. Huo ni ufalah kuandika uzushi wa mambo usiyo yajua na kuilaumu serikali ambayo inajitahidi kwa hali na mali kuweka manzingira ya wananchi wake katika hali nzuri na wakati huo huo kudumisha usalama wetu.
Nchi nyingi za Ulaya zina historia ndefu sana kiutawala kwani wana Experience kubwa sana ya maisha , wakati nchi nyingi za kiafrika ikiwemo Tanzania bado ni nchi changa. Miaka takribani 55 toka tupate Uhuru na kujitegemea wenyewe ni mda mfupi sana wa kuweza kuanza kupanua wigo wa maisha yetu. Tuko katika process.
Nyie kama bado ni wanyama na mna akili za kinyama basi endeleeni kubaki wanyama. Hamwezi kila matatizo ambayo yanasababishwa na wazembe, makupe na wapenda utajiri wa dezo mkailaumu serikali. Serikali nimejitahidi sana tena kuukamilisha huu mradi, kwani ulikuwa una sua sua tu katika awamu zilizopita, lakini kama mit ambaye anajali shida zenu nyie bado mnalalamika.
Kwa mtu mwenye akili timamu angewapa lawama watu walio pewa mamlaka ya kusimamia na kuendesha huo mradi na sio kiongozi wa serikali kuu.
Naomba nikuulize swali moja; Mtoto ambaye wazazi wake wanamjali na kumpeleka shule na asipofanya vizuri huko shuleni, utawalaum wazazi wake?
Sent using
Jamii Forums mobile app