GE2025 Nini kimesababisha CCM kujitokeza watia nia wengi nafasi za udiwani na ubunge?

GE2025 Nini kimesababisha CCM kujitokeza watia nia wengi nafasi za udiwani na ubunge?

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
16,247
Reaction score
16,169
Tangu ujio wa uchaguzi wa vyama vingi mwaka 1995, CCM haikuwahi kuwa na wetu wengi waliojitokeza kutafuta nafasi ya chama ya kuteuliwa kuwa wagombea katika nafasi za ubunge na udiwani kama ilivyo sasa kwenye uchaguzi wa 2025.

Nini kimechagiza watu wengi kujitokeza safari hii kuomba nafasi ya kugombea ubunge na udiwani kwenye uchaguzi wa 2025?

Je, ni kuongezeka kwa demokrasia nchini na ndani ya chama sasa kuliko zamani?
Je, ni kuongezeka kwa mafao ya ubunge na udiwani sasa kuliko zamani?
Je, ni uwezekano mkubwa wa mgombea kupita na kuwa mbunge au diwani sasa kuliko zamani?
Au nini?
 
Jamani maswali mengine mnaulizaga kana kwamba hamna akili ya kuona vitu vya kawaida.
Ukipata nags ya kuiwakilisha cam kwenye nafasi ya ubunge na udiwani una 100% kupata hiyo nafasi.
Hiyo ndio sababu kuu ya ccm kuwa na wagombea wengi kwenye nafasi za uwakilishi.
Hamna sababu nyingine
 
Ni kinyume chake ukilinganisha na 2020.Watiania wa mwaka huu ni kama nusu ya watiania wa 2020.
Mbona namba za watia nia zinaonekana kuwa juu 2020 tofauti na sasa?
2020 watia nia ubunge walikua zaidi ya 6000
Screenshot_20250728-160212_1.jpg


Mwaka huu 2025, watia nia ni zaidi ya 4000
Screenshot_20250728-160333_1.jpg
 
Tangu ujio wa uchaguzi wa vyama vingi mwaka 1995, CCM haikuwahi kuwa na wetu wengi waliojitokeza kutafuta nafasi ya chama ya kuteuliwa kuwa wagombea katika nafasi za ubunge na udiwani kama ilivyo sasa kwenye uchaguzi wa 2025.

Nini kimechagiza watu wengi kujitokeza safari hii kuomba nafasi ya kugombea ubunge na udiwani kwenye uchaguzi wa 2025?

Je, ni kuongezeka kwa demokrasia nchini na ndani ya chama sasa kuliko zamani?
Je, ni kuongezeka kwa mafao ya ubunge na udiwani sasa kuliko zamani?
Je, ni uwezekano mkubwa wa mgombea kupita na kuwa mbunge au diwani sasa kuliko zamani?
Au nini?
Sio kweli, 2020 watia nia walikua wengi kuliko mwaka huu 2025
 
Kwa Nafasi Ya Ubunge Ni Kwasababu Ya Uhakika Wa Kugegedana Mjengoni (we Kwa Chura Za Waheshimiwa Wale,na Udom Girls) Nani Ataki Fursa Hizo?

Wengine Wanaenda Bcoz Wanapenda Milio Ya Kugonga Meza,milio Yake Inawafariji Kama Makada Wa Chama,na Akigonga Meza Tu Kwa Mwezi Ni Malipo Ya Tsh Mil 19 Na Mav8 Bure,mbunye Bwerere.

Kidogo Madiwani,wanaweza Wakawa Na Mipango Ya Kuwatumikia Wananchi Coz Tunaishi Nao Vichochoroni,ila Mihuri Wanaitumia Vibaya,na Nguvu Yake Ni Kubwa Mitaani,kwenye Biashara,deals Nk
 
Kwa Nafasi Ya Ubunge Ni Kwasababu Ya Uhakika Wa Kugegedana Mjengoni (we Kwa Chura Za Waheshimiwa Wale,na Udom Girls) Nani Ataki Fursa Hizo?

Wengine Wanaenda Bcoz Wanapenda Milio Ya Kugonga Meza,milio Yake Inawafariji Kama Makada Wa Chama,na Akigonga Meza Tu Kwa Mwezi Ni Malipo Ya Tsh Mil 19 Na Mav8 Bure,mbunye Bwerere.

Kidogo Madiwani,wanaweza Wakawa Na Mipango Ya Kuwatumikia Wananchi Coz Tunaishi Nao Vichochoroni,ila Mihuri Wanaitumia Vibaya,na Nguvu Yake Ni Kubwa Mitaani,kwenye Biashara,deals Nk
Sawa sawa

Ova
 
Ni kazi ambayo Haina elimu yaani lasaba na ukiwa na mali nazo ni qualification za kuingia, sio lazima uwajibike kwa wananchi,
 
Jamani maswali mengine mnaulizaga kana kwamba hamna akili ya kuona vitu vya kawaida.
Ukipata nags ya kuiwakilisha cam kwenye nafasi ya ubunge na udiwani una 100% kupata hiyo nafasi.
Hiyo ndio sababu kuu ya ccm kuwa na wagombea wengi kwenye nafasi za uwakilishi.
Hamna sababu nyingine
Kwanini wana uhakika wa 💯 kushinda Sasa kuliko huko nyuma?
 
Tangu ujio wa uchaguzi wa vyama vingi mwaka 1995, CCM haikuwahi kuwa na wetu wengi waliojitokeza kutafuta nafasi ya chama ya kuteuliwa kuwa wagombea katika nafasi za ubunge na udiwani kama ilivyo sasa kwenye uchaguzi wa 2025.

Nini kimechagiza watu wengi kujitokeza safari hii kuomba nafasi ya kugombea ubunge na udiwani kwenye uchaguzi wa 2025?

Je, ni kuongezeka kwa demokrasia nchini na ndani ya chama sasa kuliko zamani?
Je, ni kuongezeka kwa mafao ya ubunge na udiwani sasa kuliko zamani?
Je, ni uwezekano mkubwa wa mgombea kupita na kuwa mbunge au diwani sasa kuliko zamani?
Au nini?
Mfumo mbovu Wa uchaguzi ambapo hata kilaza anajua anaweza kuwa Mbunge

Kutokana Na mfumo mbovu Wa CCM chini YA tume huru (tume mbovu) imejengwa taswira kuwa hata akili mbovu anaweza kuwa Mbunge Na wengi wanataka ubunge Sio Kwa ajili YA kutumikia wananchi Bali

Kwa ajili YA kushibisha mafumbo uao
 
Tangu ujio wa uchaguzi wa vyama vingi mwaka 1995, CCM haikuwahi kuwa na wetu wengi waliojitokeza kutafuta nafasi ya chama ya kuteuliwa kuwa wagombea katika nafasi za ubunge na udiwani kama ilivyo sasa kwenye uchaguzi wa 2025.

Nini kimechagiza watu wengi kujitokeza safari hii kuomba nafasi ya kugombea ubunge na udiwani kwenye uchaguzi wa 2025?

Je, ni kuongezeka kwa demokrasia nchini na ndani ya chama sasa kuliko zamani?
Je, ni kuongezeka kwa mafao ya ubunge na udiwani sasa kuliko zamani?
Je, ni uwezekano mkubwa wa mgombea kupita na kuwa mbunge au diwani sasa kuliko zamani?
Au nini?
NJAA.....AJIRA...
 
Tumejiamulia wabunge wawe Mandondocha..alafu watunge sheria
kwanini wewe mwenye akili timamu usiwanie ubunge ukatunge sheria za vijana walale na kupewa mishahara tu, serikali ivue samaki na kuwapa watu wale, serikali ichimbe madini ipate fedha, serikali ilime mahindi na mpunga ili watu wasilie njaa, serikali, serikali, serikali........?
 
Mfumo mbovu Wa uchaguzi ambapo hata kilaza anajua anaweza kuwa Mbunge

Kutokana Na mfumo mbovu Wa CCM chini YA tume huru (tume mbovu) imejengwa taswira kuwa hata akili mbovu anaweza kuwa Mbunge Na wengi wanataka ubunge Sio Kwa ajili YA kutumikia wananchi Bali

Kwa ajili YA kushibisha mafumbo uao
kama ni hivyo mbona wewe hugombei, huutaki?
 
Back
Top Bottom