Nini kimemsibu Anne Kilango?

Nini kimemsibu Anne Kilango?

Mama alishapoteza umaarufu kwa kukubali kurubuniwa,hakika watanzania tulimpend sana lkn wajanja wachache wakampenda zaidi
 
Huyu mama alijipambanua kama mpambanaji dhidi ya ufisadi na kujizolea tuzo ya mwanamke jasiri zaidi lakini kwa mshangao wa wengi wapiga kura wamemzuia kuingia bungeni nini sababu za kuanguka kwake?

sababu za kuanguka kwake anazijua @le kubwaz
yuko humu humu ndani.
 
Last edited by a moderator:
OK;Nikiwa kama mwenyeji wa jimbo la same mashariki kosa kubwa ambalo amelifanya ni kutotekeleza Mradi wa kiwanda cha kusindikia Tangawizi na ahadi nyingi ambazo ameshindwa kutekeleza sasa wameamua wampeleke Bungeni Naghenjwa
 
MAKOSA YAKE
1.Kushindwa kukamisha kiwanda cha kusindika Tangawizi

2.Huduma na miundombinu mibovu hakuna alichotekeleza madaraja,barabara mbovu kuliko mfano. Na makosa mengine ya kujisahau km vile yy ndio yy hakuna mwingine
 
UKWELI NI HUU.
1/Chaguo la watu wa Same Mashariki lilikuwa ni Mama Kaboyeka toka mwaka 2005 ila mizengwe ya ndani CCM ndio ilikuwa ikimzuia asiwe mbunge.

2/Anne Kilango Mallecela hakuwahi kuishi Same kabla ya kuwa mbunge na hata baada ya kuwa Mbunge.

3/Anne Kilango alikuwa akipata Ubunge kwa kutumia Nguvu ya Pesa, umaarufu wa CCM, Vitisho vya kishirikina na Ujanja ujanja wa kuiba kura.

4/Kuanzia mwaka 2010 Anne Mallecela hakuwa tena mpambanaji dhidi ya Ufisadi, alikuwa kimya bungeni, akapewa na unaibu waziri wa Elimu katika serikali ya kipumbavu ya JK.

5/Mwisho kabisa, Anne Kilango na CCM walikuwa wamechokwa sana na wananchi wa Same Mashariki, na wakati huo huo CHADEMA alikuwa imeshamiri sana katika maeneo yote ya Same Mashariki, ndio maana CHADEMA wameshinda ubunge na kupata pia madiwani wengi hivyo hata halmashauri ya Same itaongozwa na CHADEMA.

Huu.....ni....ukweli....mtupu....usio .....tiliwa shaka....Kule ndio home,hawataki hata kumsikia chaguo la ndugu zangu ni KABOYOKA NAGHENJWA MB.SAME MASHARIKI
 
mwanae alikua busy kupiga kampeni kwenye kiblog uchwara chake......mosha n mama yke wote chali chezea kampeni za ukawa,lemutuz yuko anamliwaza mosha mana ndio kazi yke
 
Mkuu unashangaa. Siasa za bongo Ukiwa point A hufai kabisa wewe ni mchafu najisi (unfit for human consumption) lakini ukihamia point B wewe uko msafi halali kabisa! Jamaa alisema hawa jamaa nawajua vizuri sana ni wezi wa kura lakini msihofu nyinyi lindeni kura za wabunge lakini zangu (urais) niachieni mimi mwenyewe. Lakini baada ya kura jamaa akawa wa kwanza kupiga kelele kwamba ameibiwa kura. Jamani si alituambia tulinde za ubunge za urais tumwachie mwenyewe?

Hivi hadhi ya kinyesi chooni ni sawa na kinyesi hicho hicho shambani?
 
Huyu mama alijipambanua kama mpambanaji dhidi ya ufisadi na kujizolea tuzo ya mwanamke jasiri zaidi lakini kwa mshangao wa wengi wapiga kura wamemzuia kuingia bungeni nini sababu za kuanguka kwake?

Wote waliomchongea lowassa mafuriko... Kaanza Kilango, Kaja Sendeka na Mahakamani tunamalizia na Mwakyembe.
 
alishindwa kuiba vijana walikuwa macho usiku kucha kama Iringa Mjini, Ukawa waliokubali kulala na kuhesabu kura kwa mara ya pili wote walianguka, chezea Misisiem, inataka ujasiri wa kukesha
 
Back
Top Bottom