geraldkowero1
JF-Expert Member
- Jul 5, 2014
- 1,838
- 647
Alikuwa anafanya siasa za kamera ya tv
Tusubiri raisi kabakiza viti viwili anaweza kumpa nafasi akiridhika nae.
Alikuwa anafanya siasa za kamera ya tv
Huyu mama alijipambanua kama mpambanaji dhidi ya ufisadi na kujizolea tuzo ya mwanamke jasiri zaidi lakini kwa mshangao wa wengi wapiga kura wamemzuia kuingia bungeni nini sababu za kuanguka kwake?
kwenye uzi kama huu le mutuz hawezi kuonekana
UKWELI NI HUU.
1/Chaguo la watu wa Same Mashariki lilikuwa ni Mama Kaboyeka toka mwaka 2005 ila mizengwe ya ndani CCM ndio ilikuwa ikimzuia asiwe mbunge.
2/Anne Kilango Mallecela hakuwahi kuishi Same kabla ya kuwa mbunge na hata baada ya kuwa Mbunge.
3/Anne Kilango alikuwa akipata Ubunge kwa kutumia Nguvu ya Pesa, umaarufu wa CCM, Vitisho vya kishirikina na Ujanja ujanja wa kuiba kura.
4/Kuanzia mwaka 2010 Anne Mallecela hakuwa tena mpambanaji dhidi ya Ufisadi, alikuwa kimya bungeni, akapewa na unaibu waziri wa Elimu katika serikali ya kipumbavu ya JK.
5/Mwisho kabisa, Anne Kilango na CCM walikuwa wamechokwa sana na wananchi wa Same Mashariki, na wakati huo huo CHADEMA alikuwa imeshamiri sana katika maeneo yote ya Same Mashariki, ndio maana CHADEMA wameshinda ubunge na kupata pia madiwani wengi hivyo hata halmashauri ya Same itaongozwa na CHADEMA.
Mkuu unashangaa. Siasa za bongo Ukiwa point A hufai kabisa wewe ni mchafu najisi (unfit for human consumption) lakini ukihamia point B wewe uko msafi halali kabisa! Jamaa alisema hawa jamaa nawajua vizuri sana ni wezi wa kura lakini msihofu nyinyi lindeni kura za wabunge lakini zangu (urais) niachieni mimi mwenyewe. Lakini baada ya kura jamaa akawa wa kwanza kupiga kelele kwamba ameibiwa kura. Jamani si alituambia tulinde za ubunge za urais tumwachie mwenyewe?
Mnaishi kichukichukiYeye na failia yake umeshamlipia kutibiwa/kufia India. Wewe utatibiwa/kufia wapi?
Huyu mama alijipambanua kama mpambanaji dhidi ya ufisadi na kujizolea tuzo ya mwanamke jasiri zaidi lakini kwa mshangao wa wengi wapiga kura wamemzuia kuingia bungeni nini sababu za kuanguka kwake?
Magufuli atamteua kwenye zile nafasi 9