Nini kimemsibu Anne Kilango?

Nini kimemsibu Anne Kilango?

Alijisahau.wamemkumbusha kwamba wananchi ndio mabosi wake.
 
Kasikazini mara hii hawakutaka ujinga, baada ya kutukanwa muda mrefu wakaamua kusafisha
 
Wapare hawapendi dharau kabisa hata uwajengee kila mtu gotofa ila ukishawadharau basi kwisha,
Daniele Yona aliwakuta wananchi wapo kwenye msaragambo akawapita bila kuwasalimia . Muulizeni kilichomkuta
 
Katika watu ambao sikutegemea watashindwa ni pamoja na huyu mama sijui tu ilikuwaje
 
huyu mama alijipambanua kama mpambanaji dhidi ya ufisadi na kujizolea tuzo ya mwanamke jasiri zaidi lakini kwa mshangao wa wengi wapiga kura wamemzuia kuingia bungeni nini sababu za kuanguka kwake?

'Vita ya ufisadi haipigwi vita kwa maneno ni kwa Vitendo' Dr.Oseah
 
Alipigwa chini tangu kura za maoni akajifanya kiboko watu wakamtoa kwa lazima
 
Kuna yule mtoto wake kubwa jinga flani hivi yupo humu jf akusaidie majibu!
 
Huyu mama alijipambanua kama mpambanaji dhidi ya ufisadi na kujizolea tuzo ya mwanamke jasiri zaidi lakini kwa mshangao wa wengi wapiga kura wamemzuia kuingia bungeni nini sababu za kuanguka kwake?

Mkuu kuanguka kwa Anna Kilango kumechangiwa kwa kiasi kikubwa na upungu wa le mutuz mitandaoni.
 
Aibu sana hii...mtu wanayemchukia na kumbeza akiwa ccm sasa wamvhague mtu huyo huyo akiwa chadema?
Bonge la aibu.
Ndo hayo hayo yamekosesha watu urais na uspika.

aliruka madarasa ya awali au? sentesi zako hazieleweki, kwa ufupi unaandika kama unavyoongea!
 
Yule mama, watu walikuwa wanamlia timimg tu! Huwezi kuolewa Dodoma, unaishi na Mume wako huko, halafu uwakilishe wananchi wa Same (wapare), ambao ulishawaka kwa kuolewa na mgogo! Never .... ndio maana tumemkata!
 
Yule mama, watu walikuwa wanamlia timimg tu! Huwezi kuolewa Dodoma, unaishi na Mume wako huko, halafu uwakilishe wananchi wa Same (wapare), ambao ulishawaka kwa kuolewa na mgogo! Never .... ndio maana tumemkata!
Huna akili nzuri
 
ukiangalia vizuri hata majimbo mawili ya Upareni yaliyochukuliwa na CCM uchaguzi haukuwa halali
 
Back
Top Bottom