Nasari asiwe na haraka yoyote kwani matatizo ya arumeru mashariki ni ya zaid ya miaka 50,na yeye kutokuapishwa sio tatizo,nashangaa kwa nini Nasari hakuapishwa ubunge tangi 2011,Mzee Sumary mpaka anafariki alikuwa haja apishwa kuwa mbunge sababu alikuwa mahututi,Mi nafikiri itungwe sheria kama mtu asipo apishwa ndani ya siku 60 baada ya kikao cha kwanza awe amepoteza ubunge na aliyeshika nafasi ya pili aapishwe.NASARI BIG UP