aahh wapi dhambi nyingine hata Mungu mwenyewe huwa anashangazwa nazo ... yaani anashangaa huyu mtendaji ameweza vipi kufanya ubaya wa namna hii !!?Hahahahaaa sasa kienda huko atasafishika na dhambi hizo mkuu?
Aisee huyo mtu mikono yake imejaa damu tupuKuratibu kifo cha Sengodo Mvungi.
Una uhakika bi. Clinton na Lowassa hawakushinda kura za wananchi ?!Kwahiyo wewe unaamini Mungu anaweza kusema jambo na kisha mwanadamu na shetani wakazuia?
Refer kwa Daud aliyepingwa na Sauli asiwe mfalme lakini neno likasimama.
Kuna video inaonyesha TB.Joshua akimtabiria Lowasa kuwa atang'oa kiti cha urais 2015. Huyuhuyu pia alimtabiria Clinton. Torati 18:18-21. Inasema mtu akitabiri jambo na halijatimia Hugo hajatumwa na Mungu. Haijalishi kuwa lipo alilowahi kutabiri na likatokea.
Uwaziri kukosa, rais kukosa, anaombe kazi kwa musibaHabarini wanajamvi
Jana nikiwa nimekaa naangalia chanel yangu pendwa ya Emanuel Tv inayomilikiwa na mtumishi wa mungu Tb Joshua, nilipata mshtuko kidogo kumuona waziri wa zamani wa Mambo ya ndani Dr MWIGULU NCHEMBA akiwa ndani ya kanisa na akionekana mtu mwenye shida kubwa akiwa anasubili huduma ya mtumishi wa mungu.
Nilijiuliza maswali mengi lakini moja ni nikajiuliza huyu mtu nini kimempata hadi ameenda kwa Tb Joshua? tumezoea kuona watu wanaoenda kule ni watu wenye matatizo mazito.
Je, huyu mwenzetu nini kimempata?
Msomi kama Mwigulu hastahili kabisa kuamini katika muujiza hata kidogoHabarini wanajamvi
Jana nikiwa nimekaa naangalia chanel yangu pendwa ya Emanuel Tv inayomilikiwa na mtumishi wa mungu Tb Joshua, nilipata mshtuko kidogo kumuona waziri wa zamani wa Mambo ya ndani Dr MWIGULU NCHEMBA akiwa ndani ya kanisa na akionekana mtu mwenye shida kubwa akiwa anasubili huduma ya mtumishi wa mungu.
Nilijiuliza maswali mengi lakini moja ni nikajiuliza huyu mtu nini kimempata hadi ameenda kwa Tb Joshua? tumezoea kuona watu wanaoenda kule ni watu wenye matatizo mazito.
Je, huyu mwenzetu nini kimempata?
Mkuu siku ukimuona anahudumiwa pze uje ufukue hili kaburi tumchek alikuwa na mapepo gani maana si kwa roho mbaya vile.Habarini wanajamvi
Jana nikiwa nimekaa naangalia chanel yangu pendwa ya Emanuel Tv inayomilikiwa na mtumishi wa mungu Tb Joshua, nilipata mshtuko kidogo kumuona waziri wa zamani wa Mambo ya ndani Dr MWIGULU NCHEMBA akiwa ndani ya kanisa na akionekana mtu mwenye shida kubwa akiwa anasubili huduma ya mtumishi wa mungu.
Nilijiuliza maswali mengi lakini moja ni nikajiuliza huyu mtu nini kimempata hadi ameenda kwa Tb Joshua? tumezoea kuona watu wanaoenda kule ni watu wenye matatizo mazito.
Je, huyu mwenzetu nini kimempata?
Mkuu nimelipenda jibu lako la ok kwa hawa vilaza.
kwahiyo yesu yupo nigeria