Mayor Quimby
JF-Expert Member
- Mar 13, 2021
- 6,750
- 14,491
Back in the days, wakati najiunga JF kwa kufuata mkumbo; nilikuwa namtukana raisi wa muda huo JK.
Being me, sikosi haters; kulikuwa na mods wana re-type posts zangu nionekane siwezi hata kuandika.
Lakini uwezi zuia uwezo, na vichwa vya CCM vilkuwa vinapita humu; vinaona uwezo.
Na pengine wahusika wakatuuza; it doesn’t matter.
Nilicho onywa na wenye mamlaka, tukosoe japo inauma; lakini usitutukane viongozi. Na hao watu baadae baadhi yao nimekutana nao ana kwa ana.
Sasa najiuliza watu wale, walinzi wa chama waliokuwa na patient ya kutoa onyo kwa vijana wapo wapi leo.
Kale ka _Niffer kweli ni kakukipa kesi ya uhaini, miaka yake yeye sisi tulikuwa tunaonywa.
Matusi yangu ya leo ni mtu mzima najua risk ninazochukua.
But what happened na ile serikali ya malezi iliyoturekebisha sisi namna ya kuikosoa serikali tuwe vijana wema.
Kale ka Niffer kweli ni kaahini kama kangekuwa katoto kako au kamefanya makosa.
Let’s not make a mistake Niffer ningeweza kumzaa, so is Mangę ni age ya mtoto wake wa kwanza.
Don’t punish that little girl, have mercy; ni katoto kapuuzi tu ambako kanastahili onyo kwanza.
What happened ni ile serikali iliyokuwa inatuonya kwanza usiende huko.
Being me, sikosi haters; kulikuwa na mods wana re-type posts zangu nionekane siwezi hata kuandika.
Lakini uwezi zuia uwezo, na vichwa vya CCM vilkuwa vinapita humu; vinaona uwezo.
Na pengine wahusika wakatuuza; it doesn’t matter.
Nilicho onywa na wenye mamlaka, tukosoe japo inauma; lakini usitutukane viongozi. Na hao watu baadae baadhi yao nimekutana nao ana kwa ana.
Sasa najiuliza watu wale, walinzi wa chama waliokuwa na patient ya kutoa onyo kwa vijana wapo wapi leo.
Kale ka _Niffer kweli ni kakukipa kesi ya uhaini, miaka yake yeye sisi tulikuwa tunaonywa.
Matusi yangu ya leo ni mtu mzima najua risk ninazochukua.
But what happened na ile serikali ya malezi iliyoturekebisha sisi namna ya kuikosoa serikali tuwe vijana wema.
Kale ka Niffer kweli ni kaahini kama kangekuwa katoto kako au kamefanya makosa.
Let’s not make a mistake Niffer ningeweza kumzaa, so is Mangę ni age ya mtoto wake wa kwanza.
Don’t punish that little girl, have mercy; ni katoto kapuuzi tu ambako kanastahili onyo kwanza.
What happened ni ile serikali iliyokuwa inatuonya kwanza usiende huko.