Nini kimeipata Tanzania na CCM

Nini kimeipata Tanzania na CCM

Mayor Quimby

JF-Expert Member
Joined
Mar 13, 2021
Posts
6,750
Reaction score
14,491
Back in the days, wakati najiunga JF kwa kufuata mkumbo; nilikuwa namtukana raisi wa muda huo JK.

Being me, sikosi haters; kulikuwa na mods wana re-type posts zangu nionekane siwezi hata kuandika.

Lakini uwezi zuia uwezo, na vichwa vya CCM vilkuwa vinapita humu; vinaona uwezo.

Na pengine wahusika wakatuuza; it doesn’t matter.

Nilicho onywa na wenye mamlaka, tukosoe japo inauma; lakini usitutukane viongozi. Na hao watu baadae baadhi yao nimekutana nao ana kwa ana.

Sasa najiuliza watu wale, walinzi wa chama waliokuwa na patient ya kutoa onyo kwa vijana wapo wapi leo.

Kale ka _Niffer kweli ni kakukipa kesi ya uhaini, miaka yake yeye sisi tulikuwa tunaonywa.

Matusi yangu ya leo ni mtu mzima najua risk ninazochukua.

But what happened na ile serikali ya malezi iliyoturekebisha sisi namna ya kuikosoa serikali tuwe vijana wema.

Kale ka Niffer kweli ni kaahini kama kangekuwa katoto kako au kamefanya makosa.

Let’s not make a mistake Niffer ningeweza kumzaa, so is Mangę ni age ya mtoto wake wa kwanza.

Don’t punish that little girl, have mercy; ni katoto kapuuzi tu ambako kanastahili onyo kwanza.

What happened ni ile serikali iliyokuwa inatuonya kwanza usiende huko.
 
Back in the days, wakati najiunga JF kwa kufuata mkumbo; nilikuwa namtukana raisi wa muda huo JK.

Being me, sikosi haters; kulikuwa na mods wana re-type posts zangu nionekane siwezi hata kuandika.

Lakini uwezi zuia uwezo, na vichwa vya CCM vilkuwa vinapita humu; vinaona uwezo.

Na pengine wahusika wakatuuza; it doesn’t matter.

Nilicho onywa na wenye mamlaka, tukosoe Jalu inauma; lakini usitutukane viongozi. Na hao watu baadae baadhi yao nimekutana nao ana kwa ana.

Sasa najiuliza watu wale, walinzi wa chama waliokuwa na patient ya kutoa onyo kwa vijana wapo wapi leo.

Kale ka _Niffer kweli ni kakukipa kesi ya uhaini, miaka yake yeye sisi tulikuwa tunaonywa.

Matusi yangu ya leo ni mtu mzima najua risk ninazochukua.

But what happened na ile serikali ya malezi iliyoturekebisha sisi namna ya kuikosoa serikali tuwe vijana wema.

Kale ka Niffer kweli ni kaahini kama kangekuwa katoto kako au kamefanya makosa.

Let’s not make a mistake Niffer ningeweza kumzaa, so is Mangę ni age ya mtoto wake wa kwanza.

Don’t punish that little girl, have mercy; ni katoto kapuuzi tu ambako kanastahili onyo kwanza.

What happened ni ile serikali iliyokuwa inatuonya kwanza usiende huko.
1762697029079.jpg
 
Ka Mange kalianza hivyohivyo. Wacha wakifinye mapema kajifunze kudeal na biashara yake badala ya kuwa mwanaharakati.
Miaka yetu kwa umri wake, wahusika walikuwa wanatuonya kwanza; usiende huko.

Kwa kuelewa tulikuwa naive and stupid; at that age.
 
Kumuita Niffer katoto kapuuzi ni tusi.

Kama kutukana ni kosa, basi isiwe kwa viongozi tu.

Huna busara yeyote ya kutoa lecture hapa kuhusu matusi.
Kama umesoma mada yangu, sisi tulikuwa tunaonywa kwanza tukivuka mipaka mara ya kwanza; katika umri wetu.

Mimi nimeanza ku-comment JF Nifffer akiwa anavya diapers. Na nilipewa huruma ya ujinga, kupitia maonyo acha matusi tutakuumiza.

Kosoa usitukane.

Leo hii binafsi nina haki ya kupambana na mafisadi kwa sababu nina akili timamu ya ugomvi ninao nunua na haya majizi, sio tena ule.

Sasa haka ka Niffer nakaona kama mimi ambae CCM na vyombo vya usalama wa wakati ule.

Ambao walikuwa wanatuonya kwanza.

Unajua hako ka Niffer pamoja na umaarufu wake ni katoto ambacho sidhani kama kamefikisha hata miaka.

Niffer ni mtoto mdogo sana, pamoja na mafanikio yake. Ni katoto ka kukaonya.

We got that privilege in our days, at that age ‘hey yo unavuka’ tena tumeuzwa na akina Maxence Melo wenyewe.

You think it’s easy being me, ndio kwanza hawa watu walioniuza kwao wakawa wananitafuta nikawafanyie kazi.

Ka Niffer ni katoto hilo serikali ya leo ielewe japokuwa imejaa watu wapuuzi.
 
Yule dogo kamtukana nani? Mnaweza kutuwekea hapa matusi aliyotukana achen usengerema nyie maccm mnasema niffer katukana haya sawa hamsemi ni matusi gani..kum.amae zenu bora tuwe vitani tu kuliko amani ya ki.senge hii aman ili majiz na matakataka toka zanzibar kututawala na kujinufaisha.
 
Yule dogo kamtukana nani? Mnaweza kutuwekea hapa matusi aliyotukana achen usengerema nyie maccm mnasema niffer katukana haya sawa hamsemi ni matusi gani..kum.amae zenu bora tuwe vitani tu kuliko amani ya ki.senge hii aman ili majiz na matakataka toka zanzibar kututawala na kujinufaisha.
Wanasema kacheza mziki wa Nywinywinywi hivyo huo ni uhaini.
 
Mimi nimeanza ku-comment JF Nifffer akiwa anavya diapers.
Uongo.

Jamvi hili, lililoanzishwa 2006, halikuwepo wakati Niffer anavaa diapers. Niffer is way older than this jamvi. Hujatoa comments hapa wakati Niffer anavaa diapers.

Kwa hiyo unajiongelea tu mambo yasiyo na ukweli ili kujifurahisha tu. Hupaswi kuchukuliwa seriousIly.

Kama matusi ni mabaya basi iwe hivyo kwa kila raia, sio kwa viongozi tu. Hapaswi mtu yeyote kutukanwa. Acha kumbananga na kumtindigana Niffer. You can't tie her shoes.

Eti mara ya kwanza aonywe. Halafu mara ya pili iweje, apigwe mawe ? Logic zako mbovu.
 
Uongo.

Jamvi hili, lililoanzishwa 2006, halikuwepo wakati Niffer anavaa diapers. Niffer is way older than this jamvi. Hujatoa comments hapa wakati Niffer anavaa diapers.

Kwa hiyo unajiongelea tu mambo yasiyo na ukweli ili kujifurahisha tu. Hupaswi kuchukuliwa seriousIly.

Kama matusi ni mabaya basi iwe hivyo kwa kila raia, sio kwa viongozi tu. Hapaswi mtu yeyote kutukanwa. Acha kumbananga na kumtindigana Niffer. You can't tie her shoes.

Eti mara ya kwanza aonywe. Halafu mara ya pili iweje, apigwe mawe ? Logic zako mbovu.
Unatakiwa kumjua Niffer, ajaibuka tu out of the blue.

Historia yake ya mwaka aliokuwa UDSM hadi ana dropout university it’s in the public knowledge.

Hako ni katoto, walau kwa umri wangu.

Sio kuandika ujinga kutoka kichwani kwako na kutaka watu tuanze kujibizana nonsense.
 
Back
Top Bottom