Nini kimeipata Tanzania na CCM

Nini kimeipata Tanzania na CCM

Don’t punish that little girl, have mercy; ni katoto kapuuzi tu ambako kanastahili onyo kwanza.

What happened ni ile serikali iliyokuwa inatuonya kwanza usiende huko.
...
Watakwambia wao hawapokei maelekezo yako ila ushauri wako wameupokea
 
Back in the days, wakati najiunga JF kwa kufuata mkumbo; nilikuwa namtukana raisi wa muda huo JK.

Being me, sikosi haters; kulikuwa na mods wana re-type posts zangu nionekane siwezi hata kuandika.

Lakini uwezi zuia uwezo, na vichwa vya CCM vilkuwa vinapita humu; vinaona uwezo.

Na pengine wahusika wakatuuza; it doesn’t matter.

Nilicho onywa na wenye mamlaka, tukosoe japo inauma; lakini usitutukane viongozi. Na hao watu baadae baadhi yao nimekutana nao ana kwa ana.

Sasa najiuliza watu wale, walinzi wa chama waliokuwa na patient ya kutoa onyo kwa vijana wapo wapi leo.

Kale ka _Niffer kweli ni kakukipa kesi ya uhaini, miaka yake yeye sisi tulikuwa tunaonywa.

Matusi yangu ya leo ni mtu mzima najua risk ninazochukua.

But what happened na ile serikali ya malezi iliyoturekebisha sisi namna ya kuikosoa serikali tuwe vijana wema.

Kale ka Niffer kweli ni kaahini kama kangekuwa katoto kako au kamefanya makosa.

Let’s not make a mistake Niffer ningeweza kumzaa, so is Mangę ni age ya mtoto wake wa kwanza.

Don’t punish that little girl, have mercy; ni katoto kapuuzi tu ambako kanastahili onyo kwanza.

What happened ni ile serikali iliyokuwa inatuonya kwanza usiende huko.
Tuliambiwa tumevaniwa na wageni na ndio hao waliofanya yao. Sasa kwanini wasikamate hao wageni mkuu nakuwapa hizo kesi
 
Tuliambiwa tumevaniwa na wageni na ndio hao waliofanya yao. Sasa kwanini wasikamate hao wageni mkuu nakuwapa hizo kesi
...
Wageni ndio hao waliofikishwa mahakamani? ingawa hawajasema wanatokea nchi gani mpaka leo ila itakua aliwataja KMKM kimtindo mtindo, KMKM si unaijua wanatoka wapi?
 
Kama umesoma mada yangu, sisi tulikuwa tunaonywa kwanza tukivuka mipaka mara ya kwanza; katika umri wetu.

Mimi nimeanza ku-comment JF Nifffer akiwa anavya diapers. Na nilipewa huruma ya ujinga, kupitia maonyo acha matusi tutakuumiza.

Kosoa usitukane.

Leo hii binafsi nina haki ya kupambana na mafisadi kwa sababu nina akili timamu ya ugomvi ninao nunua na haya majizi, sio tena ule.

Sasa haka ka Niffer nakaona kama mimi ambae CCM na vyombo vya usalama wa wakati ule.

Ambao walikuwa wanatuonya kwanza.

Unajua hako ka Niffer pamoja na umaarufu wake ni katoto ambacho sidhani kama kamefikisha hata miaka.

Niffer ni mtoto mdogo sana, pamoja na mafanikio yake. Ni katoto ka kukaonya.

We got that privilege in our days, at that age ‘hey yo unavuka’ tena tumeuzwa na akina Maxence Melo wenyewe.

You think it’s easy being me, ndio kwanza hawa watu walioniuza kwao wakawa wananitafuta nikawafanyie kazi.

Ka Niffer ni katoto hilo serikali ya leo ielewe japokuwa imejaa watu wapuuzi.
Nime clear doubt 🧐 kumbe Kuna kuuzana..?!
Ndio maana Kila nikiandika nafuta kuna mambo nilitaka kuya andika kwa herufi kubwa ngoja niachane nayo Nina familia changa..
 
Nime clear doubt 🧐 kumbe Kuna kuuzana..?!
Ndio maana Kila nikiandika nafuta kuna mambo nilitaka kuya andika kwa herufi kubwa ngoja niachane nayo Nina familia changa..
Wahusika wakikutaka kuuzwa sio kazi, inategemea wewe ni nani kwenye jamiii au unaiva vipi nao.

JF inalinda vigogo wa serikali au wachangiaji ambao uongozi wa value kwao.

Vinginevyo wanakugawa, bure tuż
 
Wahusika wakikutaka kuuzwa sio kazi, inategemea wewe ni nani kwenye jamiii au unaiva vipi nao.

JF inalinda vigogo wa serikali au wachangiaji ambao uongozi wa value kwao.

Vinginevyo wanakugawa, bure tuż
...
Hili ukilisema waziwazi kidogo hapo hujaeleweka kiongozi umesema kwamba wanawaelekezea bunduki na risasi watu ambao sio viongozi sio vigogo au hawana value yoyote humu JF ndio umemaanisha hivyo? Maana yako sio salama kwa watu wengine isipokua vigogo na viongozi?
 
Kama umesoma mada yangu, sisi tulikuwa tunaonywa kwanza tukivuka mipaka mara ya kwanza; katika umri wetu.

Mimi nimeanza ku-comment JF Nifffer akiwa anavya diapers. Na nilipewa huruma ya ujinga, kupitia maonyo acha matusi tutakuumiza.

Kosoa usitukane.

Leo hii binafsi nina haki ya kupambana na mafisadi kwa sababu nina akili timamu ya ugomvi ninao nunua na haya majizi, sio tena ule.

Sasa haka ka Niffer nakaona kama mimi ambae CCM na vyombo vya usalama wa wakati ule.

Ambao walikuwa wanatuonya kwanza.

Unajua hako ka Niffer pamoja na umaarufu wake ni katoto ambacho sidhani kama kamefikisha hata miaka.

Niffer ni mtoto mdogo sana, pamoja na mafanikio yake. Ni katoto ka kukaonya.

We got that privilege in our days, at that age ‘hey yo unavuka’ tena tumeuzwa na akina Maxence Melo wenyewe.

You think it’s easy being me, ndio kwanza hawa watu walioniuza kwao wakawa wananitafuta nikawafanyie kazi.

Ka Niffer ni katoto hilo serikali ya leo ielewe japokuwa imejaa watu wapuuzi.
Kama hao ndiyo waliyo kuuza basi JF ain't safe.
 
We got that privilege in our days, at that age ‘hey yo unavuka’ tena tumeuzwa na akina @Maxence Melo wenyewe.

You think it’s easy being me, ndio kwanza hawa watu walioniuza kwao wakawa wananitafuta nikawafanyie kazi.
...
Noted: itabidi nianze kutembea kwaa hatua ...
 
...
Hili ukilisema waziwazi kidogo hapo hujaeleweka kiongozi umesema kwamba wanawaelekezea bunduki na risasi watu ambao sio viongozi sio vigogo au hawana value yoyote humu JF ndio umemaanisha hivyo? Maana yako sio salama kwa watu wengine isipokua vigogo na viongozi?
Soma post vizuri sio kuniwekea maneno.

Japo sijasema unayokusudia. Kama kutaka kujua msimamo wangu kwa Samia ni genge lake la wahuni wauwaji.

Ili tusiende back and forth kwenye hiyo hoja Samia ni shetani.

Sasa tujikite kwenye serikali inayotaka kuumiza watoto kwa makosa madogo; ndio msingi wa mada.
 
Kama kutaka kujua msimamo wangu kwa Samia ni genge lake la wahuni wauwaji.

Ili tusiende back and forth kwenye hiyo hoja Samia ni shetani.

Sasa tujikite kwenye serikali inayotaka kuumiza watoto kwa makosa madogo; ndio msingi wa mada.
...
Soma tena hapo nilipoweka bold
 
Wahusika wakikutaka kuuzwa sio kazi, inategemea wewe ni nani kwenye jamiii au unaiva vipi nao.

JF inalinda vigogo wa serikali au wachangiaji ambao uongozi wa value kwao.

Vinginevyo wanakugawa, bure tuż
Hili nilikua na doubt nalo Asante kwa kuni thibitishia.
 
wanachadema wamekua wakionyesha vitendo vya utovu wa nidhamu kipindi hiki isivyo kawaida
Nyerere hakuwa chadema ila alivaa gwanda za kaki sometimes ..Kua chadema sio uasi au uhaini.

Mtu ambae hakufanya vizuri kwenye elimu yake ya ordinary level..usimtegemee akafanya makubwa akipewa dhamana kubwa kubwa kuliko uwezo wake wa uelewa na ufahamu.

Kama TAIFA tumerudi nyuma kama tupo Karne ya 16 kwanini tumefika tulipo tuanzie hapo.

Kama TAIFA tumekubari akili ndogo itawale akili kubwa hii haikubariki kwa watu wote wanao itakia mema nchi yetu ya tanzania

Tuweke picha za walio fariki kwa kutofikiwa na madaktari wakati wa lock down na machafuko?!

Mzee wangu mwenyewe almanusra atutoke sababu ya lock down na machafuko huko mkoani unadhani hili jambo halitengenezi chuki na uasi moyoni mwa watu??!

Tafakarii
 
Back in the days, wakati najiunga JF kwa kufuata mkumbo; nilikuwa namtukana raisi wa muda huo JK.

Being me, sikosi haters; kulikuwa na mods wana re-type posts zangu nionekane siwezi hata kuandika.

Lakini uwezi zuia uwezo, na vichwa vya CCM vilkuwa vinapita humu; vinaona uwezo.

Na pengine wahusika wakatuuza; it doesn’t matter.

Nilicho onywa na wenye mamlaka, tukosoe japo inauma; lakini usitutukane viongozi. Na hao watu baadae baadhi yao nimekutana nao ana kwa ana.

Sasa najiuliza watu wale, walinzi wa chama waliokuwa na patient ya kutoa onyo kwa vijana wapo wapi leo.

Kale ka _Niffer kweli ni kakukipa kesi ya uhaini, miaka yake yeye sisi tulikuwa tunaonywa.

Matusi yangu ya leo ni mtu mzima najua risk ninazochukua.

But what happened na ile serikali ya malezi iliyoturekebisha sisi namna ya kuikosoa serikali tuwe vijana wema.

Kale ka Niffer kweli ni kaahini kama kangekuwa katoto kako au kamefanya makosa.

Let’s not make a mistake Niffer ningeweza kumzaa, so is Mangę ni age ya mtoto wake wa kwanza.

Don’t punish that little girl, have mercy; ni katoto kapuuzi tu ambako kanastahili onyo kwanza.

What happened ni ile serikali iliyokuwa inatuonya kwanza usiende huko.
Hata haka nako eti ni kahaini. Roho imeniuma kweli nilipokaona. Nadhani nitakaoa haka kama hawatakanyonga. Ila Samia jamani kha!

20251107_210244.jpg
 
Back
Top Bottom