Nini Kimeikumba UDSM? Universities bora afrika 2018

Nini Kimeikumba UDSM? Universities bora afrika 2018

Duh!, hopefully the future of our Country won't reflect the shrinking rank of our education system, i.e our top Uni.
 
mojawapo ya sifa za ranking kuwa juu ni uwepo wa maprofesa wengi. jamaa kachukua maprofesa karibia wote pale wamebaki madoctor tu. hadi inatia huruma. profesa badala ya kufundisha anaenda kuwa mwanasiasa.
Idadi ya maprofesa sidhani kama ni kigezo chenye uzito. Kinachoangaliwa hasa naamini ni quality ya utafiti unaofanyika na machapisho, kazi ambayo hata madokta (PhDs) wanaweza kuifanya vizuri tu. Chuo kinakuwa cited mara ngapi katika peer reviewed journals za kimataifa katika tanzu mbalimbali n.k. Hata uwe na maprofesa elfu kama hawafanyi utafiti na kuchapisha kwenye peer reviewed journals za kimataifa ni kazi bure !!!

Na kuna vigezo vingine vidogo vidogo kama miundo mbinu, ubora wa maktaba, uwepo wa resources mbalimbali za kuwaendeleza wanafunzi, taasisi/idara zenye hadhi na mambo kama hayo.
 
Kwa Sasa UDSM inatumika kufundisha watu uoga, yaani nguvu nyingi inaelekezwa kuwajaza vijana uoga dhidi ya serikali, watu hawafundishwi namna ya kufikiri na kutatua matatizo na changamoto katika jamii.

UDSM inakufa taratibu kabisa
 
Shughuli. Kwa hiyo hata kama mtu ana taaluma zake na moyo wa kufundisha inabidi kunyenyekea kwanza Serikali.
Weather they like it or not.
 
Chuo gani icho kinazalisha PHDs wanaogopa kwenda Ulaya kuongea kizungu. Chuo gan kinazaliza maprofessor wasioelmika kama lipumba????
 
Tatizo ni siasa siasa siasa kwenye maswala ya elimu elimu elimu
 
Chuo cha UD, baada ya kuvunjwa vunjwa na kutoa matawi mengi kimepoteza uwezo wa kushika nafasi zake za juu katika rankings hizo. Sio kwamba ubora wake wa kitaaluma umepungua. La hasha.
UD ya zamani ilikuwa inajumuisha colleges nyingi kama vile Ardhi, Muhimbili, CoET, Mkwawa, MUCE nk.
Chuo cha UD, baada ya kuvunjwa vunjwa na kutoa matawi mengi kimepoteza uwezo wa kushika nafasi zake za juu katika rankings hizo. Sio kwamba ubora wake wa kitaaluma umepungua. La hasha.
UD ya zamani ilikuwa inajumuisha colleges nyingi kama vile Ardhi, Muhimbili, CoET, Mkwawa, MUCE nk.
UNISA kuna baadhi ya course nacho wamekivunja kama UDSM tena muda mrefu mbona wao wapo top ten
 
kwa wanafunzi wa kaliba ya NONDO unafikiri kuna taaluma hapo...

watu ambao hata hawajui ni nini kimewapeleka hapo chuoni
 
Chuo cha UD, baada ya kuvunjwa vunjwa na kutoa matawi mengi kimepoteza uwezo wa kushika nafasi zake za juu katika rankings hizo. Sio kwamba ubora wake wa kitaaluma umepungua. La hasha.
UD ya zamani ilikuwa inajumuisha colleges nyingi kama vile Ardhi, Muhimbili, CoET, Mkwawa, DUCE nk.
UDOM INA COLLEGE NYINGI TUU TENA KUBWA KAMA NANE HIVI LAKIN INAZIDI KUPANDA SIKU HADI SIKU HAISHUKI CHINI JAPO UDSM KITANZANIABYA KWANZA YENYEW IMEKUA YA PILI LAKIN MIAKA MIWILI NYUMA ILIKUA KWA TZ UDOM INASHIKA NAFAS YA MBALI LAKIN INAZID KUSOGEA MBELE TUU. SO KUGAWANYIKA COLLEGES SIO SABAB MKUU
 
Unajua wametumia kigezo gank ku rank mkuu??
This uniRank page features the 2018 African University Ranking of the top 200 officially recognized higher-education institutions in Africa meeting the following uniRank selection criteria:

  • being accredited, licensed and/or chartered by the appropriate higher education-related organization in each country
  • offering at least four-year undergraduate degrees (Bachelor degrees) and/or postgraduate degrees (Master or Doctoral degrees)
  • delivering courses predominantly in a traditional face-to-face, non-distance education format
kwa mujibu wa waliofanya hiyo ranking mkuu.
Top Universities in Tanzania | 2018 Tanzanian University Ranking
unaweza kupitia hapa pia kwa TZ ranking.
 
Chuo cha UD, baada ya kuvunjwa vunjwa na kutoa matawi mengi kimepoteza uwezo wa kushika nafasi zake za juu katika rankings hizo. Sio kwamba ubora wake wa kitaaluma umepungua. La hasha.
UD ya zamani ilikuwa inajumuisha colleges nyingi kama vile Ardhi, Muhimbili, CoET, Mkwawa, DUCE nk.
Jibu hili limebeba ufasaha mkubwa.
 
Point hii...huyo jamaa wanamuita Dr na siyo prof nilushawai skia kadhia yake. Nafkiri yupo pale makeniksi coet. Lakini udsm wana hizo mambo sana. Unaweza pata masters nje lkini ukija wanakwambia hawaitambui mpka sijui uitetee sijui ufanye vitu gani ilishawau kumkuta assistance lecturer mmoja pale
Dr Lwambuka RIP Dr. walimbania uprofessor mpaka mwisho wa maisha yake daah UDSM siyo aisee
 
Chuo cha UD, baada ya kuvunjwa vunjwa na kutoa matawi mengi kimepoteza uwezo wa kushika nafasi zake za juu katika rankings hizo. Sio kwamba ubora wake wa kitaaluma umepungua. La hasha.
UD ya zamani ilikuwa inajumuisha colleges nyingi kama vile Ardhi, Muhimbili, CoET, Mkwawa, DUCE nk.
Kweli
 
Point hii...huyo jamaa wanamuita Dr na siyo prof nilushawai skia kadhia yake. Nafkiri yupo pale makeniksi coet. Lakini udsm wana hizo mambo sana. Unaweza pata masters nje lkini ukija wanakwambia hawaitambui mpka sijui uitetee sijui ufanye vitu gani ilishawau kumkuta assistance lecturer mmoja pale
Assistance lecturer = assistant lecturer
 
Back
Top Bottom