Nini Kimeikumba UDSM? Universities bora afrika 2018

Nini Kimeikumba UDSM? Universities bora afrika 2018

Chuo cha UD, baada ya kuvunjwa vunjwa na kutoa matawi mengi kimepoteza uwezo wa kushika nafasi zake za juu katika rankings hizo. Sio kwamba ubora wake wa kitaaluma umepungua. La hasha.
UD ya zamani ilikuwa inajumuisha colleges nyingi kama vile Ardhi, Muhimbili, CoET, Mkwawa, MUCE nk.
Naamini hiyo ni hoja ya msingi, ila nakumbuka kilikuwa katika nafasi nzuri hata baada ya hapo, kuanzia ile migomo kiliyumba kidogo pia nadhani hi teua teua ya maprof na madokta tena wale nguli kufanya kazi za siasa ni kitu cha kuangalia pia!
 
vipi, nasikia hata kukubalika kuwa prof pale ni kazi kubwa sana.
kuna jamaa pale coet nasikia alikuwa prof huko ulaya lkn alivykuja pale wakamkazia kuwa hakidhi viwango. Labda urasimu wa uprofeseshwaji nao unachangia. Kwani hakuna utamaduni wa kukuza kizazi kipya kichukue nafazi za nao wanaoenda siasani au serikalini.
Alichukulia Germany alikua department za Civil engineering
 
vipi, nasikia hata kukubalika kuwa prof pale ni kazi kubwa sana.
kuna jamaa pale coet nasikia alikuwa prof huko ulaya lkn alivykuja pale wakamkazia kuwa hakidhi viwango. Labda urasimu wa uprofeseshwaji nao unachangia. Kwani hakuna utamaduni wa kukuza kizazi kipya kichukue nafazi za nao wanaoenda siasani au serikalini.
Point hii...huyo jamaa wanamuita Dr na siyo prof nilushawai skia kadhia yake. Nafkiri yupo pale makeniksi coet. Lakini udsm wana hizo mambo sana. Unaweza pata masters nje lkini ukija wanakwambia hawaitambui mpka sijui uitetee sijui ufanye vitu gani ilishawau kumkuta assistance lecturer mmoja pale
 
UDSM ni 'much know' sana.
Hata mchango wake kwa taifa imeshuka sana!!!
Majuzi nilimwona JK akilalama kutokana na tafiti za chuo chake kutoleta tija kwa jamii.
Majengo mapya yana nyufa, kisha 'wapambana' na Nondo.
Ee siasa ishia Ubungo, usiingie UDSM, na ukiingia kwa bahati mbaya usikae na kuweka himaya.
 
Hata hv bado elimu bure wala tusilaumu vyuo vyetu tulaumu misingi yetu ambapo tunashindwa kutofautisha siasa na taaluma
 
Chuo cha UD, baada ya kuvunjwa vunjwa na kutoa matawi mengi kimepoteza uwezo wa kushika nafasi zake za juu katika rankings hizo. Sio kwamba ubora wake wa kitaaluma umepungua. La hasha.
UD ya zamani ilikuwa inajumuisha colleges nyingi kama vile Ardhi, Muhimbili, CoET, Mkwawa, MUCE nk.
Ubora wa chuo unatokana na projects, research na shughuli recognizable wanazozifanya.
Unataka kunambia hakuna tena hizo vitu baada ya hivyo vyuo vingine kumeguka?
 
Ukiritimba wa hawa wazee wa zamani kama wakoloni umesababisha vyuo vikongwe kukosa hata walimu.
Hili linavikumba vyuo vingi ambavyo waliweka elimu ya kubaniana ndio mtaji wao.
MUHAS ni wahanga wakubwa sana wa hili.
Unakuta department ina professors wote wamestaafu na wanaofuata wote ni lecturers tu.
Inaonesha kulikuwa hakuna ukuzwaji wa generation inayofuata.
Ndio yale mambo ya 'am the only professor in this department'

Na mtu anatembea barabarani na kujisifu kwa ujinga huo.
Wenzetu wanasifiwa na kujisifu kwa kuzalisha wengi wanaofanana naye sisi tunajisifu kwa kuwa peke yako.
 
Kuboresha majengo na facilities za kufundishia, ila kikubwa hii tabia ya kuteua maprof na madokta kwenda kupiga domo majukwaani humo ikomeshwe!

Kama hujafanya research usipende kuingiza hoja mradi utilize Nyege zako za Kisiasa. Wakubwa Hawa Sio wajinga kiasi hicho.
 
Chuo cha UD, baada ya kuvunjwa vunjwa na kutoa matawi mengi kimepoteza uwezo wa kushika nafasi zake za juu katika rankings hizo. Sio kwamba ubora wake wa kitaaluma umepungua. La hasha.
UD ya zamani ilikuwa inajumuisha colleges nyingi kama vile Ardhi, Muhimbili, CoET, Mkwawa, MUCE nk.
Mkwawa na muce ni vitu viwili tofauti ?
 
Ahahahhahahahhaha
Kama chuo kinahangaika na watoa taarifa za nyufa za majengo yake na kuwasimamisha wanafunzi kwa maelekezo ya walioko juu huo ubora utatokea kwenye nini
Wakati wenzao wanafanya tafiti za kitaaluma wao wapo busy kuchunguza nani anampinga na kumkosoa Rais wamfukuze. Chuo chenyewe ndio mtaji wa wanasiasa wa hovyo waliokosa misimamo.
Kama Kabudi, Mpango, Kitila, Muhongo, Luoga, Maboko, Mgaya, Ndalichako, Tulia....njoo kwa wahitimu wake Rais, Mwigulu, Lipumba, Chenge wanatokea hapo, ni chizi tu ndio anaweza kukiweka top 3
Ahahh!hahahhahahah
Kama chuo kinahangaika na watoa taarifa za nyufa za majengo yake na kuwasimamisha wanafunzi kwa maelekezo ya walioko juu huo ubora utatokea kwenye nini
Wakati wenzao wanafanya tafiti za kitaaluma wao wapo busy kuchunguza nani anampinga na kumkosoa Rais wamfukuze. Chuo chenyewe ndio mtaji wa wanasiasa wa hovyo waliokosa misimamo.
Kama Kabudi, Mpango, Kitila, Muhongo, Luoga, Maboko, Mgaya, Ndalichako, Tulia....njoo kwa wahitimu wake Rais, Mwigulu, Lipumba, Chenge wanatokea hapo, ni chizi tu ndio anaweza kukiweka top 3
ahahahahhahahhah huyu jamaa mkorofi sana
 
Back
Top Bottom