Mgeni wa Jiji
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 10,484
- 19,990
we jamaa hivi, Kuna tofauti kati ya MUCE na Mkwawa?
Labda alitaka maanisha DUCE maana MUCE ndio Mkwawa, ila hapo kwenye hoja ya kuwa UD imeshuka sababu imegawanywa namkatalia kabsa.
we jamaa hivi, Kuna tofauti kati ya MUCE na Mkwawa?
Naamini hiyo ni hoja ya msingi, ila nakumbuka kilikuwa katika nafasi nzuri hata baada ya hapo, kuanzia ile migomo kiliyumba kidogo pia nadhani hi teua teua ya maprof na madokta tena wale nguli kufanya kazi za siasa ni kitu cha kuangalia pia!Chuo cha UD, baada ya kuvunjwa vunjwa na kutoa matawi mengi kimepoteza uwezo wa kushika nafasi zake za juu katika rankings hizo. Sio kwamba ubora wake wa kitaaluma umepungua. La hasha.
UD ya zamani ilikuwa inajumuisha colleges nyingi kama vile Ardhi, Muhimbili, CoET, Mkwawa, MUCE nk.
Alichukulia Germany alikua department za Civil engineeringvipi, nasikia hata kukubalika kuwa prof pale ni kazi kubwa sana.
kuna jamaa pale coet nasikia alikuwa prof huko ulaya lkn alivykuja pale wakamkazia kuwa hakidhi viwango. Labda urasimu wa uprofeseshwaji nao unachangia. Kwani hakuna utamaduni wa kukuza kizazi kipya kichukue nafazi za nao wanaoenda siasani au serikalini.
Kuboresha majengo na facilities za kufundishia, ila kikubwa hii tabia ya kuteua maprof na madokta kwenda kupiga domo majukwaani humo ikomeshwe!nini kifanyike mkuu, warudi kwenye viwango vya ubora licha ya colleges kama MUHAS,MUCE,UCLAS na wenda pengine IJMC kujitoa.
Philosophy usipokuwa na sikio la 3 utabaki kufikiri ni story na kucheka mwanzo mwishoila huyo rwaitama nasikia story nyingi kuliko kufundisha. Lakini wenda hizo stori zilikuwa zinafungua vijana bongo.
Yuko simple anaongea na kila mtu, kama humjui huwezi kudhani ni PHD.
Point hii...huyo jamaa wanamuita Dr na siyo prof nilushawai skia kadhia yake. Nafkiri yupo pale makeniksi coet. Lakini udsm wana hizo mambo sana. Unaweza pata masters nje lkini ukija wanakwambia hawaitambui mpka sijui uitetee sijui ufanye vitu gani ilishawau kumkuta assistance lecturer mmoja palevipi, nasikia hata kukubalika kuwa prof pale ni kazi kubwa sana.
kuna jamaa pale coet nasikia alikuwa prof huko ulaya lkn alivykuja pale wakamkazia kuwa hakidhi viwango. Labda urasimu wa uprofeseshwaji nao unachangia. Kwani hakuna utamaduni wa kukuza kizazi kipya kichukue nafazi za nao wanaoenda siasani au serikalini.
I menat DUCE. Sorry.we jamaa hivi, Kuna tofauti kati ya MUCE na Mkwawa?
Mkwawa na muce ni vitu viwili tofauti ?
Poor reason kunguru wewe
Hakukuwa na sababu ya kumuita kunguru... We ungeweka reasoning zako, ili sisi tulinganishe na kutoka na jibu nani ni kunguru... KWA ULIVYOFANYA, KUNGURU ANAONEKANA WAZI
Ubora wa chuo unatokana na projects, research na shughuli recognizable wanazozifanya.Chuo cha UD, baada ya kuvunjwa vunjwa na kutoa matawi mengi kimepoteza uwezo wa kushika nafasi zake za juu katika rankings hizo. Sio kwamba ubora wake wa kitaaluma umepungua. La hasha.
UD ya zamani ilikuwa inajumuisha colleges nyingi kama vile Ardhi, Muhimbili, CoET, Mkwawa, MUCE nk.
Poor reason kunguru wewe
Kuboresha majengo na facilities za kufundishia, ila kikubwa hii tabia ya kuteua maprof na madokta kwenda kupiga domo majukwaani humo ikomeshwe!
Mkwawa na muce ni vitu viwili tofauti ?Chuo cha UD, baada ya kuvunjwa vunjwa na kutoa matawi mengi kimepoteza uwezo wa kushika nafasi zake za juu katika rankings hizo. Sio kwamba ubora wake wa kitaaluma umepungua. La hasha.
UD ya zamani ilikuwa inajumuisha colleges nyingi kama vile Ardhi, Muhimbili, CoET, Mkwawa, MUCE nk.
Ahahh!hahahhahahahKama chuo kinahangaika na watoa taarifa za nyufa za majengo yake na kuwasimamisha wanafunzi kwa maelekezo ya walioko juu huo ubora utatokea kwenye nini
Wakati wenzao wanafanya tafiti za kitaaluma wao wapo busy kuchunguza nani anampinga na kumkosoa Rais wamfukuze. Chuo chenyewe ndio mtaji wa wanasiasa wa hovyo waliokosa misimamo.
Kama Kabudi, Mpango, Kitila, Muhongo, Luoga, Maboko, Mgaya, Ndalichako, Tulia....njoo kwa wahitimu wake Rais, Mwigulu, Lipumba, Chenge wanatokea hapo, ni chizi tu ndio anaweza kukiweka top 3
ahahahahhahahhah huyu jamaa mkorofi sanaKama chuo kinahangaika na watoa taarifa za nyufa za majengo yake na kuwasimamisha wanafunzi kwa maelekezo ya walioko juu huo ubora utatokea kwenye nini
Wakati wenzao wanafanya tafiti za kitaaluma wao wapo busy kuchunguza nani anampinga na kumkosoa Rais wamfukuze. Chuo chenyewe ndio mtaji wa wanasiasa wa hovyo waliokosa misimamo.
Kama Kabudi, Mpango, Kitila, Muhongo, Luoga, Maboko, Mgaya, Ndalichako, Tulia....njoo kwa wahitimu wake Rais, Mwigulu, Lipumba, Chenge wanatokea hapo, ni chizi tu ndio anaweza kukiweka top 3