Nini Kimeikumba UDSM? Universities bora afrika 2018

Nini Kimeikumba UDSM? Universities bora afrika 2018

Chuo cha UD, baada ya kuvunjwa vunjwa na kutoa matawi mengi kimepoteza uwezo wa kushika nafasi zake za juu katika rankings hizo. Sio kwamba ubora wake wa kitaaluma umepungua. La hasha.
UD ya zamani ilikuwa inajumuisha colleges nyingi kama vile Ardhi, Muhimbili, CoET, Mkwawa, DUCE nk.
 
Chuo cha UD, baada ya kuvunjwa vunjwa na kutoa matawi mengi kimepoteza uwezo wa kushika nafasi zake za juu katika rankings hizo. Sio kwamba ubora wake wa kitaaluma umepungua. La hasha.
UD ya zamani ilikuwa inajumuisha colleges nyingi kama vile Ardhi, Muhimbili, CoET, Mkwawa, MUCE nk.
hii sababu hutolewa mara nyingi.
Unaweza kufafanua zaidi. ukubwa VS ubora.
 
Kama chuo kinahangaika na watoa taarifa za nyufa za majengo yake na kuwasimamisha wanafunzi kwa maelekezo ya walioko juu huo ubora utatokea kwenye nini
Wakati wenzao wanafanya tafiti za kitaaluma wao wapo busy kuchunguza nani anampinga na kumkosoa Rais wamfukuze. Chuo chenyewe ndio mtaji wa wanasiasa wa hovyo waliokosa misimamo.
Kama Kabudi, Mpango, Kitila, Muhongo, Luoga, Maboko, Mgaya, Ndalichako, Tulia....njoo kwa wahitimu wake Rais, Mwigulu, Lipumba, Chenge wanatokea hapo, ni chizi tu ndio anaweza kukiweka top 3
 
Miaka ya nyuma chuo hiki kilikuwa kikisifika hadi kuingia 10 bora
Mwaka huu kimekuwa cha 36 kati ya vyuo 200.
Ukiondoa Nairobi university na american university in Cairo, vingine vyote ni kutoka SOUTH AFRIKA kwenye 10 bora.

Top 200 Universities in Africa | 2018 African University Ranking
Dodoma cha 65, SUA 67,Muhimbili 123.
mojawapo ya sifa za ranking kuwa juu ni uwepo wa maprofesa wengi. jamaa kachukua maprofesa karibia wote pale wamebaki madoctor tu. hadi inatia huruma. profesa badala ya kufundisha anaenda kuwa mwanasiasa.
 
mojawapo ya sifa za ranking kuwa juu ni uwepo wa maprofesa wengi. jamaa kachukua maprofesa karibia wote pale wamebaki madoctor tu. hadi inatia huruma. profesa badala ya kufundisha anaenda kuwa mwanasiasa.
vipi, nasikia hata kukubalika kuwa prof pale ni kazi kubwa sana.
kuna jamaa pale coet nasikia alikuwa prof huko ulaya lkn alivykuja pale wakamkazia kuwa hakidhi viwango. Labda urasimu wa uprofeseshwaji nao unachangia. Kwani hakuna utamaduni wa kukuza kizazi kipya kichukue nafazi za nao wanaoenda siasani au serikalini.
 
vipi, nasikia hata kukubalika kuwa prof pale ni kazi kubwa sana.
kuna jamaa pale coet nasikia alikuwa prof huko ulaya lkn alivykuja pale wakamkazia kuwa hakidhi viwango. Labda urasimu wa uprofeseshwaji nao unachangia. Kwani hakuna utamaduni wa kukuza kizazi kipya kichukue nafazi za nao wanaoenda siasani au serikalini.
you are right, ajabu yake mtu anayekwambia hujakidhi viwango, umemzidi akili na welevu mbali sana. udsm tatizo kubwa ni hilo wanaamini wao tu ndio bora na wako juu sana kiviwango, wanabania wenzao. nilisoma udsm, masters nilienda kusoma ulaya, nikaona utofauti wa akili mazingira ya kusoma, urafiki na waalimu na kutobaniana, aisee udsm wajinga sana na walitutesa sana.
 
you are right, ajabu yake mtu anayekwambia hujakidhi viwango, umemzidi akili na welevu mbali sana. udsm tatizo kubwa ni hilo wanaamini wao tu ndio bora na wako juu sana kiviwango, wanabania wenzao. nilisoma udsm, masters nilienda kusoma ulaya, nikaona utofauti wa akili mazingira ya kusoma, urafiki na waalimu na kutobaniana, aisee udsm wajinga sana na walitutesa sana.
nini kifanyike mkuu, warudi kwenye viwango vya ubora licha ya colleges kama MUHAS,MUCE,UCLAS na wenda pengine IJMC kujitoa.
 
Chuo cha UD, baada ya kuvunjwa vunjwa na kutoa matawi mengi kimepoteza uwezo wa kushika nafasi zake za juu katika rankings hizo. Sio kwamba ubora wake wa kitaaluma umepungua. La hasha.
UD ya zamani ilikuwa inajumuisha colleges nyingi kama vile Ardhi, Muhimbili, CoET, Mkwawa, MUCE nk.
we jamaa hivi, Kuna tofauti kati ya MUCE na Mkwawa?
 
Siasa zimekuja kuleta shida UDSM. Ile mijadala ya kusisimua iletwayo na vijana walioivishwa elimu kutoka wahadhiri nguli kama Prof. Barely, Dr Lwaitama hamna tena
ila huyo rwaitama nasikia story nyingi kuliko kufundisha. Lakini wenda hizo stori zilikuwa zinafungua vijana bongo.
Yuko simple anaongea na kila mtu, kama humjui huwezi kudhani ni PHD.
 
Back
Top Bottom