Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,092
- 53,568
Dar express ni brand kubwa sana kwenye tasnia ya usafirishaji Tanzania.
Ime-set standards nyingi kwenye usafirishaji hasa kwa kanda ya kaskazini ambao zimeigwa na mabasi mengine kwenda mikoa mingine.
Sasa hivi wana magari yamechakaa mno, hakuna maintainance. Pale highway pamechoka sana.
Nimekuwa naitumia hii kampuni kwa zaidi ya miaka 10 sasa. Naamini kuna wadau ambao ni loyal customers wa hii kampuni bado wanaendelea kuitumia.
Najiuliza nini kimeikumba hii kampuni? Mfikishieni ujumbe mwenye kampuni, afanye juu chini hii kampuni isife kabisa.
Naamini kuna siku Dar express itarudi kwenye ubora tuliouzoea.
Ime-set standards nyingi kwenye usafirishaji hasa kwa kanda ya kaskazini ambao zimeigwa na mabasi mengine kwenda mikoa mingine.
Sasa hivi wana magari yamechakaa mno, hakuna maintainance. Pale highway pamechoka sana.
Nimekuwa naitumia hii kampuni kwa zaidi ya miaka 10 sasa. Naamini kuna wadau ambao ni loyal customers wa hii kampuni bado wanaendelea kuitumia.
Najiuliza nini kimeikumba hii kampuni? Mfikishieni ujumbe mwenye kampuni, afanye juu chini hii kampuni isife kabisa.
Naamini kuna siku Dar express itarudi kwenye ubora tuliouzoea.

