mtwa mkulu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2013
- 8,585
- 11,260
kifo kinakikumba chama chako CHADEMA
Mimi sijaona viti vikibadilishwa zaidi ya 'ziara za kushtukiza' zinazofanywa na Magufuli na mawaziri wake huko Dar utadhani serikali hii ni ya Dar peke yake.Huku mikoani hakuna kilichobadilika ufisadi uko palepale na maisha yanazidi kuwa magumu kuliko hata kabla ya uchaguzi.