Nini kimeikumba chama changu CHADEMA?

Nini kimeikumba chama changu CHADEMA?

lakini kwa Tamaduni za CHADEMA si unajua tuko moshi likizo!! Unataka tukiuke tamaduni zetu?? Unataka laana ww
 
Mimi sijaona viti vikibadilishwa zaidi ya 'ziara za kushtukiza' zinazofanywa na Magufuli na mawaziri wake huko Dar utadhani serikali hii ni ya Dar peke yake.Huku mikoani hakuna kilichobadilika ufisadi uko palepale na maisha yanazidi kuwa magumu kuliko hata kabla ya uchaguzi.

Kuna baadhi ya wilaya na halmashauri wanakwepa majukumu Yao badala yake wananyanyasa raia.raia hawaruhusiwi kufanya biashara wala kuona kisa kipindupindu ili tu wamfurahishe magu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom