Judi wa Kishua
JF-Expert Member
- Apr 15, 2012
- 1,241
- 1,472
- Thread starter
- #21
Mimi sijaona viti vikibadilishwa zaidi ya 'ziara za kushtukiza' zinazofanywa na Magufuli na mawaziri wake huko Dar utadhani serikali hii ni ya Dar peke yake.Huku mikoani hakuna kilichobadilika ufisadi uko palepale na maisha yanazidi kuwa magumu kuliko hata kabla ya uchaguzi.
Kuongeza makusanyo ya kodi sio mabadiliko?
Kurudisha nidhamu kwenye kazi sio mabadiliko?
Kuwajibishwa wazembe sio mabadiliko?
Wanafunzi kupata elimu bure sio mabadiliko?