Nawasalimu Kwa Jina La JMT.
Katika teuzi mpya zilizofanywa na Mheshimiwa Raisi Mama Samia Suluhu Hassan ni kupangua safu za baadhi ya wakuu wa mikoa.
Mabadiliko yaliyonistua ni kuondolewa kwa RC Abubakar Kunenge katika jiji hili la MaRaha. Jiji letu la Dar es Salaam.
Hakuna ubishi RC wa Dar anabeba taswira ya nchi kwa maana ya idadi ya wakazi, uchumi na shughuli nyingi za Maendeleo.
Kwahiyo mabadiliko yaliyofanywa ni kushushwa ngazi (demotion) kwa RC Kunenge. Bahati mbaya hatuna investigative journalists nchini ambao wakichimba kujua sababu ya demotion.
Sasa nini kilisababisha ghafla bin vuu RC Kunenge atolewe Dar mara moja na nafasi yake kuchukuliwa na RC Amosi Makala.
Je kuna mahusiano yoyote kuondolewa kwa RC Kunenge na ukaribu wake wa hivi karibuni na mfanyabiashara mmoja maarufu hapa nchini ambaye makampuni yake yamekua yakituhumiwa kwa kashfa za rushwa na kukwepa kodi kwa miaka mingi.
Kuna uwezekano wazee wa kijitonyama walinusa hatari na kumpa taarifa Mama?
Mama hataki kashfa kwenye utawala wake.
Katika teuzi mpya zilizofanywa na Mheshimiwa Raisi Mama Samia Suluhu Hassan ni kupangua safu za baadhi ya wakuu wa mikoa.
Mabadiliko yaliyonistua ni kuondolewa kwa RC Abubakar Kunenge katika jiji hili la MaRaha. Jiji letu la Dar es Salaam.
Hakuna ubishi RC wa Dar anabeba taswira ya nchi kwa maana ya idadi ya wakazi, uchumi na shughuli nyingi za Maendeleo.
Kwahiyo mabadiliko yaliyofanywa ni kushushwa ngazi (demotion) kwa RC Kunenge. Bahati mbaya hatuna investigative journalists nchini ambao wakichimba kujua sababu ya demotion.
Sasa nini kilisababisha ghafla bin vuu RC Kunenge atolewe Dar mara moja na nafasi yake kuchukuliwa na RC Amosi Makala.
Je kuna mahusiano yoyote kuondolewa kwa RC Kunenge na ukaribu wake wa hivi karibuni na mfanyabiashara mmoja maarufu hapa nchini ambaye makampuni yake yamekua yakituhumiwa kwa kashfa za rushwa na kukwepa kodi kwa miaka mingi.
Kuna uwezekano wazee wa kijitonyama walinusa hatari na kumpa taarifa Mama?
Mama hataki kashfa kwenye utawala wake.