Mzungu aliletwa aongoze managemen ya muhimbili wachaga wa muhimbili.muhas na walioko wizara ya afya walimfukuza kama mbwa ona sasa hospitali inavyokufa
Undu;
Mleta mada anazungumzia mengine weye mwenye kijiba cha moyo tiyari umeshaleta ukabila. Kweli upuuzi hauna utu. Sema kama ni hao wachaga wako walimuua Dr. Masau usibabaike. Kama ni mzungu alifukuzwa ka mbwa nawaunga mkono hao wachaga kwani Tz tunao viongozi wazuri tu.
Unajua huyo mzungu qualified analipwa ngapi kule kwao?? Iweje aje kupoteza mda wake hapa Tz?? Hana sifa huyo ndo maana hao wachaga wako wakamtimua.
Mnaenda kuleta kina Maximo kuja kulamba fedha yetu huku kina Kibaden hamuwasaidii kuongeza ufundi. Uzalendo umeenda wapi jamani?? Hizo pesa za kulipia mabingwa feki si muwapeleke wazalendo huko kwao wakajifunze warudi kuja fanya mengi kwetu? Angalia kina Dr Winani. Umeona wanayo yafanya huku kwetu baada ya kukataa kuishi huko ughaibuni??