jiwekuu770
JF-Expert Member
- Feb 12, 2015
- 2,247
- 1,635
Habar JF,
Hope mpo, hapo mlipo salama.
Mwanzoni mwa miaka ya 60s ndipo nchi nyingi zilianza au kujipatia uhuru, ikifuatiwa na miungano kadhaa ikiwemo muungano ulioleta Tanzania
Miaka 10 baadae harakati nyingine za kuunganisha Tanzania na Comoro zilianzaa
Tanzania + comoro =Tanzacom
Tanzacom ndo nchi ambayo ingezaliwa
Lakini this time mambo hayakwenda vizuri !! Hakuna huo muungano
Comoro si sehemu ya Tanzania kama ilivyobidi iwe
Je, nini kilikwamisha Tanzacom kuzaliwa?
Hope mpo, hapo mlipo salama.
Mwanzoni mwa miaka ya 60s ndipo nchi nyingi zilianza au kujipatia uhuru, ikifuatiwa na miungano kadhaa ikiwemo muungano ulioleta Tanzania
Miaka 10 baadae harakati nyingine za kuunganisha Tanzania na Comoro zilianzaa
Tanzania + comoro =Tanzacom
Tanzacom ndo nchi ambayo ingezaliwa
Lakini this time mambo hayakwenda vizuri !! Hakuna huo muungano
Comoro si sehemu ya Tanzania kama ilivyobidi iwe
Je, nini kilikwamisha Tanzacom kuzaliwa?