Nini kilichowapata Wikileaks.

Nini kilichowapata Wikileaks.

tofyo

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2013
Posts
2,759
Reaction score
768
Mtandao pendwa wa Wikileaks jana umefungwa rasmi na serikali ya Ecuodor.
Hii inaonyesha wazi kwamba Marekani maji yamezidi unga.
 
Hujui kuanzia majuzi kashfa dhidi ya mgombea urais wa Marekani zilianza kutolewa, namaanisha udhaifu na sababu za Hiraly Clinton kutofaa kuwa Rais wa Marekani. Lakini hiyo hata baada ya Wikileaks kutoweka bado Wikileaks inatoa ripoti zake.
 
Back
Top Bottom