Nini kifanyike Wizara ya Viwanda na Biashara?

Nini kifanyike Wizara ya Viwanda na Biashara?

Mimi sijaelewa mtazamo wa mkuu kwenye wizara hii kwa saabu kamtumbua waziri na kumpandisha mtendaji wake kampeleka TRA, bado nna kizunguzung hapa
Nafikiri yuko wazi ukitafakari kidogo
1. Kuvutia wawekezaji
2. Kulinda na kuimarisha biashara
3. Kutafuta masoko
4. Kusimamia mapato na mkusanyo
5. Kujenga maxingira muafaka
6. Kuondoa urasimu na manyanyaso

Ili kufikia hayo yampasa kufanya haya
1. Ubunifu sio business as usual
2. Afanye mabadiliko makubwa pale wizarani
2. Asikae ofcn bali aende field kila siku
3. Asikilize wadau kama JPM alivofanya
4. Kila Wilaya atakayokanyaga akutane nao..
4. Awatumie sana TISS asiamini wabongo
5. Akae na maofisa kuaddress challenges.
5. Awe mkali kusimamia utekelezaji
6. Amshirikishe mkuu kama Lukuvi
 
Ni wizara muhimu sana katika nchi kama ingekuwa ni timu ya mpira tungesema ndio namba 6, maana ukivuruga viwanda na biashara wizara nyingine na taasisi za serikali haziwezi kujiendesha kutokana na ukweli kwamba makusanyo ya kodi yakikwama kutokana na biashara kutokuwa nzuri uchumi unayumba.

Ni mara ya tatu JPM anabadili waziri, lakini nini hasa ni tatizo? Waziri mpya Bwana Bashungwa ambaye nae ni mwanajamvi mwenzetu hapa JF anatakiwa afahamu na kubadili kitu gani?
Awe anafahamu viwanda vinavyofanya kazi. Kama hafahamu, na hana exposure hiyo, atafute watu wenye hizo qualifications kufanya nao kazi na kumshauri. Hizo ni hatua za kwanza tu. Huwezi kuwa waziri wa viwanda kama hujawahi kushuhudia namna vinavyo operate. Pia TRA ni issue. Kuwepo na system moja. Mfano marekani unafungua biashara, unaweza kuomba leo kesho una leseni nk.
 
Akiweza akatembee nje huko kwenye maviwanda ya ukweli na aone jinsi mambo ya viwango yanavyofanyiwa kazi nk
 
Ni wizara muhimu sana katika nchi kama ingekuwa ni timu ya mpira tungesema ndio namba 6, maana ukivuruga viwanda na biashara wizara nyingine na taasisi za serikali haziwezi kujiendesha kutokana na ukweli kwamba makusanyo ya kodi yakikwama kutokana na biashara kutokuwa nzuri uchumi unayumba.

Ni mara ya tatu JPM anabadili waziri, lakini nini hasa ni tatizo? Waziri mpya Bwana Bashungwa ambaye nae ni mwanajamvi mwenzetu hapa JF anatakiwa afahamu na kubadili kitu gani?
Kuna mengi sana yanaweza kufanyika...
kwa uchache nimeandika hapa leo na huko nyuma tumewahi kushauri... unaweza kupata link kwa inbox pia kama utakuwa interested kumshauri Mhe. Waziri anategemea kuapishwa leo



https://www.jamiiforums.com/threads...tegic-economic-intelligence-sijaiona.1589597/
 
Ni wizara muhimu sana katika nchi kama ingekuwa ni timu ya mpira tungesema ndio namba 6, maana ukivuruga viwanda na biashara wizara nyingine na taasisi za serikali haziwezi kujiendesha kutokana na ukweli kwamba makusanyo ya kodi yakikwama kutokana na biashara kutokuwa nzuri uchumi unayumba.

Ni mara ya tatu JPM anabadili waziri, lakini nini hasa ni tatizo? Waziri mpya Bwana Bashungwa ambaye nae ni mwanajamvi mwenzetu hapa JF anatakiwa afahamu na kubadili kitu gani?
kinacho wafelisha viongozi wengi wa kiafirika au na wafirika kwa ujumla ni kitu kidogo sana. lack of professionalism. niposema professionalism simanishi kuwa na degree au PHD bali maana yangu ni kwamba mtu hata kama umeishia la saba unaweza ukajijegea tabia za kuwa professional na ukafanikiwa katika mambo yako na ukaajiri watu wenye madegree kutoka vyuo maarufu duniani kama Harvard au cambridge university. wizara ya viwanda na biashara ili ifanikiwe lazima wizara zote ziwe zina system ya utawala wenye weledi wa kutosha. na ili wizara zote zifanye vizuri lazima utenganishe siasa na taaruma. yaani siasa ziwe kwenye kapu lake na taaluma kwenye kapu lake makapu hayo mawili ya kaaye mbali ya sigusane kabisa. mfano watu waajiriwe kwa vigezo vya uwezo na ujuzi sio mambo ya kuteuliwa tu kwa vigezo vya uaminifu kwa chama na serikali. Tanzania kinacho kwamisha maendeleo ni kwamba watu walio kalia nafasi za kufanya maamuzi ya kitaifa sio the best qualified for the positions but they have the positions because they have good connections to the powerful politicians. bila kubadilisha hii style ya kuteuwa na kutenguwa bila check and balance ya uteuwaji na utenguwaji tutaishia kusubili noa kwa kila mtazania.
 
Suala hili ni la kisera na kisheria zaidi kama tuko serious. Hakuna science ni rahisi sana inatakiwa kufanyika vitu viwili au vitatu basi. jambo la kwanza muhimu sana ni mwekezaji yoyote kupata kibali katika wiki moja max na hakuna fees ni bure kabisa ondoa vikwazo vyote na utiriri wa vibali, ni one stop au hata ikiwezekana leo unaomba kesho unafungua hii itafanya direct investment kubwa sana na kuondoa vishawishi vya rushwa na kuweka mazingira ya biashara ya kirafiki sana. Sasa tutajiuliza Serikali itafaidika na nini? faida kubwa kwa serikali ni kuwa watu wengi watapata ajira na watalipa tax na product zitalipiwa VAT wingi wa bidhaa ukubwa wa VAT maisha safi.
 
Kuna mengi sana yanaweza kufanyika...
kwa uchache nimeandika hapa leo na huko nyuma tumewahi kushauri... unaweza kupata link kwa inbox pia kama utakuwa interested kumshauri Mhe. Waziri anategemea kuapishwa leo



https://www.jamiiforums.com/threads...tegic-economic-intelligence-sijaiona.1589597/

Hii safi sana
 
Nafikiri yuko wazi ukitafakari kidogo
1. Kuvutia wawekezaji
2. Kulinda na kuimarisha biashara
3. Kutafuta masoko
4. Kusimamia mapato na mkusanyo
5. Kujenga maxingira muafaka
6. Kuondoa urasimu na manyanyaso

Ili kufikia hayo yampasa kufanya haya
1. Ubunifu sio business as usual
2. Afanye mabadiliko makubwa pale wizarani
2. Asikae ofcn bali aende field kila siku
3. Asikilize wadau kama JPM alivofanya
4. Kila Wilaya atakayokanyaga akutane nao..
4. Awatumie sana TISS asiamini wabongo
5. Akae na maofisa kuaddress challenges.
5. Awe mkali kusimamia utekelezaji
6. Amshirikishe mkuu kama Lukuvi
Naamini 90 % ya hoja hizi mkuu amezirudia..
Hii inathibitisha kuwa wabongo wanamuelewa mkuu tatizo ni udhaifu wao ambapo chanzo kikuu kazi za mazoea
 
Bora ajitumbue yeye awe waziri wizara hiyo urais ampe mpwa wake doto ama?
 
Atahangaika sana asipate majibu ,tatizo liko kwake mwenyewe ,one-man show aruhusu delegation of power .
 
Hii wizara inalaumiwa bure tatizo ni mfumo uliopo hauwapi fursa hao wahusika kufaham/kushughulikia kikamilifu mambo ya viwanda.

Mambo mengi yanayohusu viwanda (mengi ya yale yaliyolalamikiwa na wafanyabiashara) yanashughulikiwa na taasisi nyingine mbalimbali ambazo kiutendaji haziripoti moja kwa moja kwa wizara hiyo mfano kuna mambo yanayohusu kodi na ushuru mbalimbali (TRA/Tamisemi), mazingira (makam wa rais/nemc), vibali vya kazi (mambo ya ndani/uhamiaji), usalama kazi (wizara ya kazi)nk.
 
Kwa nini hapewi wizara huyo mzoefu?
Hatufanyi kazi kwa mazoea. Waliofanya kwa mazoea ndio hao, hata kujua kiwanda kipo mji gani hajui. Nadhani mteule mpya asikurupuke bali akae abuni kitu kipya. Mfano;
Hiyo biashara ya korosho airudishie wenyewe walionyang'anywa. Njia nzuri ya kuingilia swala hilo ilikuwa, Kuwawezesha wazalendo kununua korosho kwa uhakika halafu awadhoofishe kangomba. Biashara ya wakulima ingepaa na uzalishaji upae. Huku soko likiwa wazi bila kuingiliwa.
Sasa yeye abuni mbinu mbadala kwani vile viwanda bado vipo Mtwara vya kubangua
 
Ni wizara muhimu sana katika nchi kama ingekuwa ni timu ya mpira tungesema ndio namba 6, maana ukivuruga viwanda na biashara wizara nyingine na taasisi za serikali haziwezi kujiendesha kutokana na ukweli kwamba makusanyo ya kodi yakikwama kutokana na biashara kutokuwa nzuri uchumi unayumba.

Ni mara ya tatu JPM anabadili waziri, lakini nini hasa ni tatizo? Waziri mpya Bwana Bashungwa ambaye nae ni mwanajamvi mwenzetu hapa JF anatakiwa afahamu na kubadili kitu gani?
Aibadilishe itoke kuwa revenue collector na kuwa mhimizaji wa biashara,mshauri wa wafanya biashara,muelimishaji wa mbinu za biashara,kuangalie tozo mbalimbali,kuangalia masoko,kubuni biashara,na kuwatetea kwa hali na Mali wafanya biashara,nenda kwenye Halmashauri karibu zote kazi za maafisa biashara ni kukusanya ushuru wa halmashauri hizo tu basi.
 
ka mtendaji ndo anaufahamu wa kitu husika waziri anakuwa ka geresha. bora waziri nae wawe wanaweka mtu mwenye taaluma husika ili hata akibanwa aminyike kihalali tofauti na hivi unakuta waziri hajui hata aanzie wapi amalizikie wapi, kunahaja ya waziri awekwe akiwa na utaalamu na ufahamu wa sekta husika ili kupunguza haya ya mkenge na kuwa ofisini tu
 
Hatufanyi kazi kwa mazoea. Waliofanya kwa mazoea ndio hao, hata kujua kiwanda kipo mji gani hajui. Nadhani mteule mpya asikurupuke bali akae abuni kitu kipya. Mfano;
Jibu la kipuuzi kabisa hili. "Hamfanyi kazi kwa mazoea, mbina mmembakisha hapo hapo, anafanya nini!
Unazinduka usingizini, unakuja kubwaka tu hapa hata hujui unachokisoma na kukijibu!

Haya ndio kutofanya kazi kwa 'mazoea' kwenu?

Wewe hakuna unalolijua , aisee, hata huo mfano uliotoa hauna mantiki kabisa.
Nimekujibu hivi kwa sababu hukuelewa nilichoandika wakati unan'quote'. Hata sijui ni kwa nini umeamua kuni'quote' kwa sababu hukuelewa kabisa niliandika nini.
Baada ya kunifyatukia, bado unayoandika hayaleti maana yoyote katika kueleza msingi ya mada.
 
Hivi kumbe Jf hadi leo bado kuna watu wagumu kuusoma mchezo.
Kwa sasa hakuna chochotr kigeni ambacho JPM anategemea waziri mpya akifanye.
Inawezekana kabisa aliyepita anamapungufu, hili sikatai, lakini na rais naye anajua kabisa kwa huu mwaka mmoja uliobaki huyu waziri mpya hawezi kufanya lolote ambalo lisingefanyika bila yeye.
Huu uteuzi ni ili kitafuta kichaka cha kujifichia, apate cha kuongea na watu wa kuwashushia lawana siku akiwa anajitetea kwa nini kashindwa kutekeleza ahadi/sera ambazo zipo chini ya hii wizara nyeti.
Wachache wataelewa hilo.
 
Back
Top Bottom