Nini kifanyike Wizara ya Viwanda na Biashara?

Nini kifanyike Wizara ya Viwanda na Biashara?

Kama Unataka Kwenda Mbinguni Fanya Kazi, Sisi Tutakusumiza Tupo Millions 55 Unadhani Tutashindwa
Hata Huyo Mungu Atakusamehe Uingie Mbinguni
 
Jibu la kipuuzi kabisa hili. "Hamfanyi kazi kwa mazoea, mbina mmembakisha hapo hapo, anafanya nini!
Unazinduka usingizini, unakuja kubwaka tu hapa hata hujui unachokisoma na kukijibu!

Haya ndio kutofanya kazi kwa 'mazoea' kwenu?

Wewe hakuna unalolijua , aisee, hata huo mfano uliotoa hauna mantiki kabisa.
Nimekujibu hivi kwa sababu hukuelewa nilichoandika wakati unan'quote'. Hata sijui ni kwa nini umeamua kuni'quote' kwa sababu hukuelewa kabisa niliandika nini.
Baada ya kunifyatukia, bado unayoandika hayaleti maana yoyote katika kueleza msingi ya mada.
Tatizo weye ni Mbwakachoka tu huna jipya. Eleza watz ni nini kifanyike umsaidie wazo mkuu sio kutembeza maneno kwa wachangiaji.
 
Back
Top Bottom