Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 37,156
- 55,651
Kama Iran hawatalegeza masharti ya upatikanaji wa mafuta, tunakoelekea siku 60 zijazo magari yetu tutayageuza kuwa mabanda ya mifugo tu.
Safari ya kutoka sehemu moja kwenda kwingine itakuwa changamoto.
Thamani ya pesa itashuka na vitu kupanda bei kutokana na uhaba wa upatikanaji wa bidhaa husika.
Sasa ni nini kifanyike ili kunusuru hii hali?
Nipo huku kijijini namlisha punda wangu ili aje anisitiri huko baadaye kwa usafiri.
Safari ya kutoka sehemu moja kwenda kwingine itakuwa changamoto.
Thamani ya pesa itashuka na vitu kupanda bei kutokana na uhaba wa upatikanaji wa bidhaa husika.
Sasa ni nini kifanyike ili kunusuru hii hali?
Nipo huku kijijini namlisha punda wangu ili aje anisitiri huko baadaye kwa usafiri.