Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,752
- 7,876
...mdanganye uwongo unaofanania na ukweli!are you serious or you are kidding?
...george_porjie, kama huamini, mwambie tu ukweli mamspapu kuwa yeye si mzuri kama Carol, au kanenepa utadhani sumo, au hajitumi kama Anna, au nguo hazimpendezi kama Rose... uone vurumai lake!
Soma 3 Kids alivyokunwa na Comments za Belinda...
Mwonyeshe yuko peke yake moyoni mwako au kimapenzi hata kama unamdanganya.
Ujue jinsi ya kumridhisha kimapenzi haswaaa
Appreciate vitu vizuri anavyofanya,kama kapendeza kimavazi msifie nk.
Uwe msikivu anapokuambia kitu yani uonyeshe kujali hata kama unamwona anapenda kulalamika.
NB: Sidhani kama kuna kanuni moja kwa wanawake wote,utakayekutana nae kimapenzi na kumjua vizuri ni rahisi kujua umfanyie nini afurahi.Jamani Belinda umenikuna sana na maelezo yako ni kweli kabisa hakuna mwanamke asiependa kufanyiwa hayo mie mwenyewe mmoja wao Aluuuuuu hapo sawa kabisaaa!!!!!!!!!!