choupa moting
JF-Expert Member
- Dec 27, 2016
- 1,508
- 2,554
Shanga kazi yke ni kushangaa
Kwani eve na wewe unavaa shanga?....tafadhali naomba kujua...kwa sababu sipendi wanawake wenye shamba...ni uchafu tuNa ni vema wanaume wawe wanatembea na mishipi ili shanga zikikatika wafunge tena kabla ya kuendelea na kamchezo....
Sio Mimi........labda wanaume wengineShanga ni pambo la kumvutia mme kama mapambo mengine ya mmke, ni km kidani na vikuku vya miguu na bangili, hivo zinaleta mvuto. Wanaume wengi wakiona au kushika kiuno cha mmke chenye shanga wanashtuka mara kwenye maeneo yao ya kiume.
Evelyn Salt kidogi nianguke !nilikua natembea dah !wewe kichwa chako sikiwezi !yaan had machozi dah.....shanga ni tofauti kidogo unatakiwa uchezee hadi zikatike!!!!!!!!
kwakweli na mm shanga hapana !mayb cheni !tena iwe gold sio silverKwani eve na wewe unavaa shanga?....tafadhali naomba kujua...kwa sababu sipendi wanawake wenye shamba...ni uchafu tu
Mbona kama tunaendana thatha......ntakununulia iyo ya thilva...kwakweli na mm shanga hapana !mayb cheni !tena iwe gold sio silver
ha ha ha thread ya zamani sikumbuki hata nliandika nini ha ha ha ha ngoja nisomeEvelyn Salt kidogi nianguke !nilikua natembea dah !wewe kichwa chako sikiwezi !yaan had machozi dah
Kuvutia gari ikikwama!Habari zenu wana jamii! Ninaomba kujua nini hasa dhumuni la mwanamke kuvaa shanga? Je wakati wa majambozi nini mwanamme anapaswa kufanya au kuzichezea vipi hizo shanga? Kama kuna ujuzi wowote au siri yoyote juu shanga kwa upande wa mwanamme naomba nijuzeni jamani.Asante.
Ni kuelekea uchumi wa katiMhhhhhh, sijui nazeeka sasa, hii MIDOMO mbona siku hizi tunaipa majukumu mazito hivi? Ngoja niendelee kutafakari, inawezekana umri wangu umeshindwa kucope na hii sayansi na teknolojia!