Nini interest halisi ya Bill gates nchini Tanzania ?

Nini interest halisi ya Bill gates nchini Tanzania ?

Msiingie kichwa kichwa kuwaamini sana hao watu, wana agenda nyingi zilizojificha
 
Shughuli za Bill & Melinda Gates zimekuwepo Nchini zaman kidogo, sawa na za Clinton foundation ingawa za Bill zilianza

Kuonekana kwake leo,na kutoa pesa hizo leo sio kuwa ndo anaanza na wala hicho sio kias kikubwa alichotoa, kuna hela nyingi zaid na mirad mikubwa zaid ameshafadhili nchini

Kwa wanaojua wanakwambia conversation ya maduka ya dawa barid kuja kuwa maduka ya dawa muhimu ilikuwa ni kwa ufadhili wake na ni ulikuwa mradi mkubwa sana ukiwahusisha TFDA gnaw phamacy council

Kama ana interest za ndan zaid hatujui lakini so far anajitangaza kama anafocus kupambana na matatizo ya jamii ktk Elimu,Afya na Chakula
 
....Hebu nisaidie haya: GMO seeds zinataka every season ununue mbegu mpya na siyo uvune mazao na utumie tena kama mbegu. Kwa kuwa mimi huwa ninalima, kwa kutumia hybrid seeds, mfano maize ekari moja ni kama 8kgs @ kg 4000 to 5000. Hivyo wakulima zaidi ya 80 percent wanatumia local breed. Ningependa kujua namna watakavyoweza ku afford GMO seeds.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa ndo penye shida, eventually mbegu za asili zitatoweka na kutufanya kuwa tegemezi kwa hizo mbegu zao. Hawakawii kukwambia ukubali ushoga ili upewe mbegu kwa ajili ya wakulima wako
 
Hizi ardhi ambazo Magufuli anazirudisha saivi? Wewe ni taahira sababu hujui kama kuwa na ardhi bila kuitumia kupata kipato ni sawa na huna chochote?

Umaskini ninaoungolea ni kukosa clean and safe water, decent shelter, great health services, reliable food, clothing and good accessories for lighting and cooking which most of people living under the poverty line in Tanzania can't afford so would you compare the situation with American poor people? Unawaza kutokea sewage Chamber
huo ni imasikini kwa viwango vya mabwana zako wazungu,bibi yangu shamba ana koroboi na anakula na afya nzuri kuliko homeless wako huko marekani han hata pa kulima
 
Hizi ardhi ambazo Magufuli anazirudisha saivi? Wewe ni taahira sababu hujui kama kuwa na ardhi bila kuitumia kupata kipato ni sawa na huna chochote?

Umaskini ninaoungolea ni kukosa clean and safe water, decent shelter, great health services, reliable food, clothing and good accessories for lighting and cooking which most of people living under the poverty line in Tanzania can't afford so would you compare the situation with American poor people? Unawaza kutokea sewage Chamber
huo ni imasikini kwa viwango vya mabwana zako wazungu,bibi yangu shamba ana koroboi na anakula na afya nzuri kuliko homeless wako huko marekani han hata pa kulima
 
Lengo lake ni katika kuendeleza hiki kinachoitwa 'New World Order'. Yeye amejikita kueneza mbegu zinazoitwa genetically modified organism (GMO) . Hizi mbegu zina madhara makubwa ili kujua zaidi pitia mtandaoni utaona.

Watengenezaji wakubwa wa hizi mbegu ni kampuni ya Monsanto ya Marekani. Kwa kueneza mbegu hizi Afrika, wakulima wote watakuwa watumwa wa monsanto maana mbegu za GMO zaidi ya kuwa na athari za kiafya, pia huharibu udongo.

Bill Gates ni tishio kwa Afrika ila Waafrika wengi hawajielewi.
Nimesoma, nikashawishika bila shaka kabisa kuwa ww ni wa upande uleee
 
KUWEKA KUMBUKUMBU ZAKO SAHIHI: Huyo ulie mtaja kama Anorld Schwazneger si yeye! Najua unamzungumzia mzungu mmiliki wa Hotel Lupita iliyoko KM 64 kutoka mjini Namanyere, ni anamuonekano kama wa Schwazneger ila si yeye! Alipachikwa jina na wanakijiji tu! Btw Hotel Lupita ni one of the most expensive in the Southen Highland..ilikua $800 per night!
Asante mkuu nitafatilia zaidi kwani mtililiko wako waweza kuwa ukweli
 
This is how they want u to think bill gates is just a decoy hizo chanjo na mbegu zinazotengenezwa kwa mfumo wa GMO ndo zina balaa huko ndani
GMO zina uzuri na ubaya wake, inategemea ana support GMO zipi.

Hii kampeni ya kwamba GMO zote ni mbaya ni kuli oversimplify suala complex sana.

Kwamfano, ukiniambia unaniletea mbegu za GMO ambazo zitanifanya kila mwaka ninunue mbegu kwako (mbegu zako za mpunga nikipanda, nitakachovuna ni mpunga wa kula tu, siwezi kuufanya uwe mbegu tena) hapo nitakataa katakata.Kwa sababu unataka kunifanya niwe mteja wako na mtumwa daima.Mbegu hii itaenda ku dominate mpaka nikose mbegu ya asili ambayoinaweza kunifanya nisikutegemee katika kupanda.

Lakini ukiniambia unaniletea mbegu ya GMO ambayo nikivuna naweza kupanda tena, na inastahimili ukame na wadudu, na imechunguzwa vya kutosha kuona kama inamadhara na ikakutwa haina madhara, sioni tatizola GMO hii.

Bill Gates kama alikuwa na haja ya ku dominate dunia angeweza kufanya hivyo vizuri zaidi kwa kutumia computers kuliko kutumia GMO.
 
Bill Gate anatumia loophole ya kufadhili/kutoa misaada kwa shughuli za kimaendeleo kama kilimo, afya nk sasa kwa kupitia humo ndani ana agenda zake kama hiyo ya GMO Mosanto.
Ukisema atumie computer zake hapo si akigundulika atapoteza kibiashara na sababu watu hawata kubali upuuzi wa kujimaliza kwa kununua computer ambazo si salama kwao so njia rahisi ni hii hii ya kudai kusaidia kwa misaada.
 
Hamna kitu kibaya kama Umasikini. Masikini ana mawazo negatively kwa kila kitu Hoo Mara ukila mayai ya kizungu unakuwa shoga Mara ukinywa maziwa ya ng'ombe wa kizungu unakuwa ivi Mara vile ni uwezo mdogo wetu sisi masikini katika kung'amua vitu vya duniani apa. Leo hii maziwa ya ng'ombe wa kisasa ndio mkombozi na mayai ya kuku wa kisasa ndio mkombozi tuache mawazo ya kimasikini. Leo hii kuja kwa simu kuna kipindi watu walikuwa wanasema inaleta kansa lakini mwisho wa siku tunatumia. Kila kitu kina faida na hasara apa duniani, cha Msingi kuwekeza katika utafiti na kupunguza mawazo mgando.
Fact in fact
 
Wote twafahamu kuwa huyu mkuu ni moja ya watu wakalimu zaidi duniani (philanthropist) na kutolea huko kwa wenzetu kunawajengea heshima kubwa kwenye jamii .

Lakini huyu naona kama recently amezidisha haipiti miezi miwili tunamuona arusha ,natamani kumuhusisha na madini lakini BIG NO ,hafanyi shughuli hizo,mtu tajiri wa pili duniani atembelee nchi masikini mara kwa mara wakati nature ya biashara yake hufana penye nchi zenye maendeleo zaidi.

Sambamba na hilo kumekuwa na wimbi la watu mashuhuri kuitembelea sana Tanzania mfano bill clinton na mkewe huwa wanakuja kimya kimya mara nyingi ,Pia kule sumbawanga Anord schwazneger anakisiwa haipiti miezi mitatu hajaja.

Jamani kunani ?
Nchi yenye matatizomengi ni kivutio cha matajiri wanaotaka kutengeneza jina kwamba wamesaidia watu masikini sana.
 
Lengo lake ni katika kuendeleza hiki kinachoitwa 'New World Order'. Yeye amejikita kueneza mbegu zinazoitwa genetically modified organism (GMO) . Hizi mbegu zina madhara makubwa ili kujua zaidi pitia mtandaoni utaona.

Watengenezaji wakubwa wa hizi mbegu ni kampuni ya Monsanto ya Marekani. Kwa kueneza mbegu hizi Afrika, wakulima wote watakuwa watumwa wa monsanto maana mbegu za GMO zaidi ya kuwa na athari za kiafya, pia huharibu udongo.

Bill Gates ni tishio kwa Afrika ila Waafrika wengi hawajielewi.
Sasa mkimuona si mumpige mawe? Au mabodaboda wamzingire wamvalishe tairi wampige kiberiti
 
Wote twafahamu kuwa huyu mkuu ni moja ya watu wakalimu zaidi duniani (philanthropist) na kutolea huko kwa wenzetu kunawajengea heshima kubwa kwenye jamii .

Lakini huyu naona kama recently amezidisha haipiti miezi miwili tunamuona arusha ,natamani kumuhusisha na madini lakini BIG NO ,hafanyi shughuli hizo,mtu tajiri wa pili duniani atembelee nchi masikini mara kwa mara wakati nature ya biashara yake hufana penye nchi zenye maendeleo zaidi.

Sambamba na hilo kumekuwa na wimbi la watu mashuhuri kuitembelea sana Tanzania mfano bill clinton na mkewe huwa wanakuja kimya kimya mara nyingi ,Pia kule sumbawanga Anord schwazneger anakisiwa haipiti miezi mitatu hajaja.

Jamani kunani ?
Inawezekana ni kweli ana interests kwakuwa wenzetu what you see is not what you get/ what you think they are doing is not what is really happening.
Ila kumbuka Bilgates alistaafu na microsoft kwa sasa anaisimamia mtu mwingine yeye yuko busy na taasisi yake ya Bill and melinda Gates inayotoa misaada mbalimbali kila kona ya dunia
 
Back
Top Bottom