Nini interest halisi ya Bill gates nchini Tanzania ?

Nini interest halisi ya Bill gates nchini Tanzania ?

Wote twafahamu kuwa huyu mkuu ni moja ya watu wakalimu zaidi duniani (philanthropist) na kutolea huko kwa wenzetu kunawajengea heshima kubwa kwenye jamii .

Lakini huyu naona kama recently amezidisha haipiti miezi miwili tunamuona arusha ,natamani kumuhusisha na madini lakini BIG NO ,hafanyi shughuli hizo,mtu tajiri wa pili duniani atembelee nchi masikini mara kwa mara wakati nature ya biashara yake hufana penye nchi zenye maendeleo zaidi.

Sambamba na hilo kumekuwa na wimbi la watu mashuhuri kuitembelea sana Tanzania mfano bill clinton na mkewe huwa wanakuja kimya kimya mara nyingi ,Pia kule sumbawanga Anord schwazneger anakisiwa haipiti miezi mitatu hajaja.

Jamani kunani ?

Ongezea na George Bush, na wengi tu maaarufu ,unaweza wakuuta huko mbuguni kimya kimya.
Sababu Ni Amani na utulivu , hali ya hewa na vivutio vya asili vya kipekee.

Sema hii Kibiti , Rufiji inaweza ikaharibu kabisa. Tumnamuomba kamanda Siro aka zeeka mkono.
 
Lengo lake ni katika kuendeleza hiki kinachoitwa 'New World Order'. Yeye amejikita kueneza mbegu zinazoitwa genetically modified organism (GMO) . Hizi mbegu zina madhara makubwa ili kujua zaidi pitia mtandaoni utaona.

Watengenezaji wakubwa wa hizi mbegu ni kampuni ya Monsanto ya Marekani. Kwa kueneza mbegu hizi Afrika, wakulima wote watakuwa watumwa wa monsanto maana mbegu za GMO zaidi ya kuwa na athari za kiafya, pia huharibu udongo.

Bill Gates ni tishio kwa Afrika ila Waafrika wengi hawajielewi.
....Hebu nisaidie haya: GMO seeds zinataka every season ununue mbegu mpya na siyo uvune mazao na utumie tena kama mbegu. Kwa kuwa mimi huwa ninalima, kwa kutumia hybrid seeds, mfano maize ekari moja ni kama 8kgs @ kg 4000 to 5000. Hivyo wakulima zaidi ya 80 percent wanatumia local breed. Ningependa kujua namna watakavyoweza ku afford GMO seeds.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu sikatai ujio wake ila naibua tu mjadala wa tahadhari hata ukoloni ulianza kuja kwa gia ya kusambaza dini,utafiti,...
kama sikosei ameshakuja kipindi cha jk kimyakimya,hata 2015 mkewe wke alikua arusha then simanjiro kusaidia jamii ya wamasai kuacha ukeketaji kwa watoto wa kike...hii ya mwaka huu ccm lumumba hawana kazi zaidi ya kupiga vuvuzela kua kaja kutoa msaada wa 700bn.
siku zote hela za misaada kutoka kwake hupitia usaid kusaidia sana upande wa afya na lishe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bill Gates ametengeneza hela mpaka hela zimemzidi uzito. Katika portfolio yake moja ya investment ilibidi avunje rekodi kwani ledger lilikuwa halina nafasi ya kuandikanamba zote za hela zake,ikabdi wa design ledger jipya lenye nafasi zaidi kuweka kuandika tarakimu za Bill Gates tu.

Ana hela mpaka tatizo lake kubwa sasa nijinsi gani ya kugawa hizohela in the most efficient way, hili ndilo tatizo linalomnyima usingizi Bill Gates kwa sasa mpaka kaomba msaada wa Warren Buffet kumsaidia kugawa hela zake.

Na zaidi ya kutoa hela tu, ana interest ya kutaka kujua miradi anayosaidia inaendeleaje.

Kwa hiyo si ajabu akawa anafuatilia zaidi miradi anayosaidia inaendaje.

Kufuatilia huku ni zaidi ya hela.

Kuna watu wanamhusisha Bill Gates na mipango ya nchi Magharibi ya "population control" kwenye hizi nchi zetu, lakini inakuwa vigumu kuamini mtu anayesaidia kutoa chanjo kibao na kupigana na magonjwa kama Malaria ana motive ya population control, kama angekuwa na motive hiyo kwa nini asaidie sekta ya afya kuzuia watu wasife?
Ila inazue watu wasiendelee kuzaliana kwa kupitia family plan alishafadhili ununuzi wa dawa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna vyanzo vingi vya habari, tumia muda wako kujielimisha.
Hata mie nilikuwa natafuta sababu inayomleta huyu jamaa bongo sasa hapo nimepata kufahamu, na kwa taarifa tu ya wasoelewa hizi GMO, MOSANTO zinapigwa sana vita Ulaya na Merikani.
Naona jamaa analeta ili kuwamaliza waafrika wasojielewa hii ni hatari sana, huyo anafaa apingwe na wote.
 
hiyo inaitwa the hierarchy of needs ni theory iliyowekwa na mtu wa kawaida kama wewe ila ikakubalika na wasomi wengi haipaswi kutumika kubaka ubongo wetu,hizo stage kuna mtu anazaliwa akikua anaamua kuwa padri kwake hapitii baadhi ,hata kam anataka kusaidia kwa nn msisitizo wake upo sana tanzania wakati kwao ameacha masikini kuliko hawa ,tizama picha hizi
nadharia za mwanasaikolojia na filosofia ABRAHAM MASLOW
 
Anafanya utafiti kwanini wabongo ni masikini na wajinga
Wabongo au wewe ndio maskini na mjinga..labda na familia na ukoo....kwa sabb mtu mwenye akili hawez kuwa na mawazo hasi namna hii
 
....Hebu nisaidie haya: GMO seeds zinataka every season ununue mbegu mpya na siyo uvune mazao na utumie tena kama mbegu. Kwa kuwa mimi huwa ninalima, kwa kutumia hybrid seeds, mfano maize ekari moja ni kama 8kgs @ kg 4000 to 5000. Hivyo wakulima zaidi ya 80 percent wanatumia local breed. Ningependa kujua namna watakavyoweza ku afford GMO seeds.

Sent using Jamii Forums mobile app

Hizi mbegu za GMO unatakiwa kununua kila msimu, unakuwa mtumwa wa Monsanto. Zaidi ya kuleta madhara makubwa kiafya pia zinaharibu udongo.

Bill Gates ni wakala wa kuwaingiza watu utumwani kwa kulazimishia mbegu hizi. Katika pesa alizotoa kuna kiasi kikubwa kitaenda kwenye kilimo kupromoti GMO.

Kwa kuwa Waafrika wengi tunatumia mahindi kwa wingi, nguvu kubwa ya GMO imeelekezwa kwenye mahindi.

Monsanto in Gates’ Clothing? The Emperor’s New GMOs

If you had any doubts about where the Bill and Melinda Gates Foundation is really placing its bets, AGRA Watch’s recent announcement of the Foundation’s investment of $23.1 million in 500,000 shares of Monsanto stock should put them to rest. Genetic engineering: full speed ahead.

If you are one of those people who believes the axiom that Monsanto is the farmer’s friend (and the corollary, that its climate-ready, bio-fortified GMOs can save the world from hunger) you will not be surprised, disappointed, or find any conflict of interest in this investment.

But if you are part of the growing population who gets their information about GMOs from scientists who are not beholden to corporate funding, has a problem with anti-trustissues, or is getting queasy about the increasing monopoly power of philanthropy capital... it’s time to say the Emperor has no clothes.

Under the guise of “sustainability” the Foundation has been spearheading a multi-billion dollar effort to transform African into a GMO-friendly continent. The public relations flagship for this effort is the Alliance for a Green Revolution in Africa (AGRA), a massive Green Revolution project. Up to now AGRA spokespeople have been slippery, and frankly, contradictory about their stance on GMOs.

The first Director of AGRA was Gary Toenniessen, a career program officer for Rockefeller Foundation. He said AGRA was not ruling out GMOs and if and when they were introduced it would be with all the appropriate “safeguards.” After AGRA was criticized for not having any Africans, Kofi Anan was named Chairman in 2007. He first said GMOs were out of the picture, the next day he recapitulated. Last Spring, Joe DeVries, who runs the AGRA seed program was asked by a Worldwatch blogger if they were engaging in genetic engineering. “Read our lips,” said Joe DeVries. “We are not promoting or funding research for GMOs (genetically modified organisms)...” In fact, in Kenya alone AGRA has used funds from the Gates Foundation to write grants for research in genetically modified agriculture. Nearly 80% of Gates’ funding in Kenya involves biotech and there have been over $100 million in grants to organizations connected to Monsanto. In 2008, some 30% of the Foundation’s agricultural development funds went to promoting or developing genetically modified seeds (See Ending Africa’s Hunger)..

More to the point is that—as Monsanto and Gates are fully aware—to establish a healthy GMO industry one first needs a strong conventional breeding program in place: labs, experiment stations, agronomists, extensionists, molecular biologists... and farmer’s seeds. All of which Gates, Rockefeller, Monsanto and AGRA are actively lining up.

They also need the power of U.S. government funding. That is where the U.S. Agency for International Development and the Casey-Lugar come in. USAID is now headed up by former Gates employee Rajiv Shah. The Casey-Lugar Global Food Security act ties foreign aid to GMOs. When the Gates Foundation places a bet, they like to hold all the cards.

Africa’s seeds are a potential windfall investment for Monsanto. Regardless of the philanthropic side of its intentions, cloaked in the sheep’s clothing of AGRA, the Gates Foundation is moving stealthily opening African seed market to global corporations. When the research, extension, and U.S. foreign aid is all in place Monsanto will swoop in for the feast.

Monsanto in Gates' Clothing? The Emperor's New GMOs | HuffPost
 
Kama ulikua hujui kuna madini ya sriki ambayo yana tengeneza chip za kompyuta nimadini ghari sana inasemekana yamepatikana tanzania huenda ndio kilicho mleta tusubili kuona

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bill ana akili sana lakini kikubwa kinachomkera ni kushindwa kujua kwanini akili yetu ni tofauti na wao? hivyo anajaribu kufanya utafiti ambao utasaidia kutengeneza software ya kututoa hapa tulipokwama
 
Huyu jamaa kwa utajiri alionao ukilinganisha na umri wake ni vitu inversely so anachokifanya ni kuangalia sehemu yenye utawala bora na kupeleka kiasi cha hela zake ili zilete mabadiliko chanya na siyo vingine.
Mkiendelea kumfikiria negative mtakuwa mnamkosea sana kwani hata kama ni kuharibiwa ubongo kupitia GMO mbona hata kwenye chanjo wangetupata tu kirahisi?

Utawala bora [emoji15][emoji15][emoji15]
 
hiyo inaitwa the hierarchy of needs ni theory iliyowekwa na mtu wa kawaida kama wewe ila ikakubalika na wasomi wengi haipaswi kutumika kubaka ubongo wetu,hizo stage kuna mtu anazaliwa akikua anaamua kuwa padri kwake hapitii baadhi ,hata kam anataka kusaidia kwa nn msisitizo wake upo sana tanzania wakati kwao ameacha masikini kuliko hawa ,tizama picha hizi
Marekani kuna masikini!!!!

Kumbeee!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom