Nini interest halisi ya Bill gates nchini Tanzania ?

Nini interest halisi ya Bill gates nchini Tanzania ?

no free lunch!
BilliGates
Amekuja inawezekana tu kwakuwa pesa yake ndio inayomfanya aje.
Mtu akiwa na pesa hitaji lake la kwanza ni uhakika wa kupata chakula.
Pesa ikiongezeka linakuja hotaji la pili ambalo ni kujilinda na mazingira yake, hapo anatafuta pa kulala penye usalama,
nguo nzuri, nk.
Pesa ikiongezeka binadamu anaanza kufikia hatua ya hitaji la tatu la zoezi la kuanza kuweka akiba ili arahisishe maisha yake kama kujenga nyumba au kununua gari hapo baadae nk.
Pesa ikiongezeka binadamu anaingia hatua ya nne ya kutaka kujulikana na watu kuwa anazo, hapo wale wapenzi wa Ngwasuma utamwona mtu anajiita Papa Nyamihela kazi yake ni kumwaga pesa jukwaani na na kupenda kusifiwa.
Kwa watu wa dini mtu ananza kutoa sadaka kubwakubwa na kugharimia safari za mchungaji au Shehe ktk kuimarisha dini yake. Watu wengi wanaanza kuwekeza katika miradi ya biashara wakifika katika hatua hii.
Pesa ikiongezeka sasa mtu anaingia katika hatua ya tano ya kuzigawa pesa zake kwa jamii yote anayoona inafaa.
Huyu mtu sasa anaifikia hatua ya kutaka kutambuliwa kimataifa na analindwa na serikari.
Analindwa na kufuatiliwa na serikari kwasababu asije akarubuniwa na waharifu na akaamua kuwafadhiri na kusababisha usimbufu mkubwa.
Anaweza akaunda jeshi la uasi na akaipindua serikari hivyo kila nchi anayoenda anakuwa anafuatiliwa na kulindwa ma nchi husika.
Hitaji hili la tano ni la mwisho kwa mwanadamu, hapa kazi yake ni kuunda taasisi za kutoa misaada kwa jamii.
Bill and Merinda Gates na Roockfera foundations, ni moja ya taasisi za matajiri zinazojihusisha kusadia jamii duniani.

BillGates amekuja kutimiza hitaji hili la tano la mtu mwenye pesa nyingi sana.
 
BilliGates
Amekuja inawezekana tu kwakuwa pesa yake ndio inayomfanya aje.
Mtu akiwa na pesa hitaji lake la kwanza ni uhakika wa kupata chakula.
Pesa ikiongezeka linakuja hotaji la pili ambalo ni kujilinda na mazingira yake, hapo anatafuta pa kulala penye usalama,
nguo nzuri, nk.
Pesa ikiongezeka binadamu anaanza kufikia hatua ya hitaji la tatu la zoezi la kuanza kuweka akiba ili arahisishe maisha yake kama kujenga nyumba au kununua gari hapo baadae nk.
Pesa ikiongezeka binadamu anaingia hatua ya nne ya kutaka kujulikana na watu kuwa anazo, hapo wale wapenzi wa Ngwasuma utamwona mtu anajiita Papa Nyamihela kazi yake ni kumwaga pesa jukwaani na na kupenda kusifiwa.
Kwa watu wa dini mtu ananza kutoa sadaka kubwakubwa na kugharimia safari za mchungaji au Shehe ktk kuimarisha dini yake. Watu wengi wanaanza kuwekeza katika miradi ya biashara wakifika katika hatua hii.
Pesa ikiongezeka sasa mtu anaingia katika hatua ya tano ya kuzigawa pesa zake kwa jamii yote anayoona inafaa.
Huyu mtu sasa anaifikia hatua ya kutaka kutambuliwa kimataifa na analindwa na serikari.
Analindwa na kufuatiliwa na serikari kwasababu asije akarubuniwa na waharifu na akaamua kuwafadhiri na kusababisha usimbufu mkubwa.
Anaweza akaunda jeshi la uasi na akaipindua serikari hivyo kila nchi anayoenda anakuwa anafuatiliwa na kulindwa ma nchi husika.
Hitaji hili la tano ni la mwisho kwa mwanadamu, hapa kazi yake ni kuunda taasisi za kutoa misaada kwa jamii.
Bill and Merinda Gates na Roockfera foundations, ni moja ya taasisi za matajiri zinazojihusisha kusadia jamii duniani.

BillGates amekuja kutimiza hitaji hili la tano la mtu mwenye pesa nyingi sana.
hiyo inaitwa the hierarchy of needs ni theory iliyowekwa na mtu wa kawaida kama wewe ila ikakubalika na wasomi wengi haipaswi kutumika kubaka ubongo wetu,hizo stage kuna mtu anazaliwa akikua anaamua kuwa padri kwake hapitii baadhi ,hata kam anataka kusaidia kwa nn msisitizo wake upo sana tanzania wakati kwao ameacha masikini kuliko hawa ,tizama picha hizi
 

Attachments

  • go 1.jpg
    go 1.jpg
    19.1 KB · Views: 39
  • go 2.jpg
    go 2.jpg
    8.2 KB · Views: 40
  • go 3.jpg
    go 3.jpg
    36.4 KB · Views: 40
hiyo inaitwa the hierarchy of needs ni theory iliyowekwa na mtu wa kawaida kama wewe ila ikakubalika na wasomi wengi haipaswi kutumika kubaka ubongo wetu,hizo stage kuna mtu anazaliwa akikua anaamua kuwa padri kwake hapitii baadhi ,hata kam anataka kusaidia kwa nn msisitizo wake upo sana tanzania wakati kwao ameacha masikini kuliko hawa ,tizama picha hizi
Umenifurahisha sana Mkuu, ivi hapa kuna dhambi gani kuja kusaidia maskini wa Tanzania haswa ?
Huko kwao kesha saidia sana na anahitaji kuvuka mipaka kwenda kusaidia anako ona kunampendeza.
Ivi mtu akienda kuoa mke ktk kabila la mbali anamaanisha hakuna wachumba wazuri katika kabila lake ?
Mambo ya usaidizi yanaongozwa na mapenzi ya mtu na yanaweza kudondokea popote bila kuhitajika sababu za msingi.
Jambo lingine ni uhakika wa pesa yake kutumika vizuri ili kufikia kusudia la tajiri.
Hii kemeakemea ya Rushwa na ufisadi katika awamu hii ya tano inawezekana kabisa imemshawishi huyu tajiri kuja na kutoa misaada hapa nchini kwetu.
Jambo jingine hii nchi imetulia na haina vurugu za mapigano ya machafuko ktk jamii na kuna vivutio vya utalii. Hivyo anaona ni salama kutembea na kutalii pia.
Jambo jingine huenda ni siri yake ndo maana alianza kufika katika mkoa wa Tanga.
Wenyewe wanauita mkoa wao kwa huo herufi moja tu "ta"

Nadhani atarudi tena "ta"
 
Huyu jamaa muda mwingi anatembelea miradi ya taasisi yake dunia nzima.
Hakuna interest zaid ya afya mbovu na umasikini wetu.
Unadhani hayo matrillion atayapeleka wapi?
Nadhani ayapeleke kwa wamarekani wenzake kama huyu
 

Attachments

  • go 1.jpg
    go 1.jpg
    19.1 KB · Views: 47
Umenifurahisha sana Mkuu, ivi hapa kuna dhambi gani kuja kusaidia maskini wa Tanzania haswa ?
Huko kwao kesha saidia sana na anahitaji kuvuka mipaka kwenda kusaidia anako ona kunampendeza.
Ivi mtu akienda kuoa mke ktk kabila la mbali anamaanisha hakuna wachumba wazuri katika kabila lake ?
Mambo ya usaidizi yanaongozwa na mapenzi ya mtu na yanaweza kudondokea popote bila kuhitajika sababu za msingi.
Jambo lingine ni uhakika wa pesa yake kutumika vizuri ili kufikia kusudia la tajiri.
Hii kemeakemea ya Rushwa na ufisadi katika awamu hii ya tano inawezekana kabisa imemshawishi huyu tajiri kuja na kutoa misaada hapa nchini kwetu.
Jambo jingine hii nchi imetulia na haina vurugu za mapigano ya machafuko ktk jamii na kuna vivutio vya utalii. Hivyo anaona ni salama kutembea na kutalii pia.
Jambo jingine huenda ni siri yake ndo maana alianza kufika katika mkoa wa Tanga.
Wenyewe wanauita mkoa wao kwa huo herufi moja tu "ta"

Nadhani atarudi tena "ta"
Kusaidia watu ni jambo jema ila historia inaonesha hakujawahi patikana msaada wa bure duniani ila huwa baadhi inachelewa kujua malipo yake ,am just a royal citizen smelling smthng fishyy
 
Umenifurahisha eti kule sumbawanga haipiti miezi mitatu hajaja uwiiii so wanaaaaa.............looooh noumaaaa mkuuuu
 
Mkuu umejuaje haya mambo hebu tudadavulie kwa marefu na mapanaaaa yakee
 
Lengo lake ni katika kuendeleza hiki kinachoitwa 'New World Order'. Yeye amejikita kueneza mbegu zinazoitwa genetically modified organism (GMO) . Hizi mbegu zina madhara makubwa ili kujua zaidi pitia mtandaoni utaona.

Watengenezaji wakubwa wa hizi mbegu ni kampuni ya Monsanto ya Marekani. Kwa kueneza mbegu hizi Afrika, wakulima wote watakuwa watumwa wa monsanto maana mbegu za GMO zaidi ya kuwa na athari za kiafya, pia huharibu udongo.

Bill Gates ni tishio kwa Afrika ila Waafrika wengi hawajielewi.
Tuelimishe zaidi chief....
 
Ngoja tuone yule kwenye shahada ya uzamili akiusika kwenye miradi yake hakika kutakua na majengo ya mda mrefu ambayo yanahitaji mbinu kuyatambua
 
Huyu jamaa kwa utajiri alionao ukilinganisha na umri wake ni vitu inversely so anachokifanya ni kuangalia sehemu yenye utawala bora na kupeleka kiasi cha hela zake ili zilete mabadiliko chanya na siyo vingine.
Mkiendelea kumfikiria negative mtakuwa mnamkosea sana kwani hata kama ni kuharibiwa ubongo kupitia GMO mbona hata kwenye chanjo wangetupata tu kirahisi?
Labda wameona chanjo haziwatoshi
 
Hamna kitu kibaya kama Umasikini. Masikini ana mawazo negatively kwa kila kitu Hoo Mara ukila mayai ya kizungu unakuwa shoga Mara ukinywa maziwa ya ng'ombe wa kizungu unakuwa ivi Mara vile ni uwezo mdogo wetu sisi masikini katika kung'amua vitu vya duniani apa. Leo hii maziwa ya ng'ombe wa kisasa ndio mkombozi na mayai ya kuku wa kisasa ndio mkombozi tuache mawazo ya kimasikini. Leo hii kuja kwa simu kuna kipindi watu walikuwa wanasema inaleta kansa lakini mwisho wa siku tunatumia. Kila kitu kina faida na hasara apa duniani, cha Msingi kuwekeza katika utafiti na kupunguza mawazo mgando.
Wewe kilaza kweli unakili kila kitu kina madhara ila unamuita anaetilia mashaka mayai ya kizungu, una akili kweli wewe.

Sent From My Nokia Ya Tochi
 
Tuelimishe zaidi chief....

Why is the Gates foundation investing in GM giant Monsanto?

Wednesday 29 September 2010 13.27 BST

The Bill and Melinda Gates Foundation, which is sponsoring the Guardian's Global development site is being heavily criticised in Africa and the US for getting into bed not just with notorious GM company Monsanto, but also with agribusiness commodity giant Cargill.

Trouble began when a US financial website published the foundation's annual investment portfolio, which showed it had bought 500,000 Monsanto shares worth around $23m. This was a substantial increase in the last six months and while it is just small change for Bill and Melinda, it has been enough to let loose their fiercest critics.

Seattle-based Agra Watch - a project of the Community Alliance for Global Justice- was outraged. "Monsanto has a history of blatant disregard for the interests and well being of small farmers around the world… [This] casts serious doubt on the foundation's heavy funding of agricultural development in Africa," it thundered.

But it got worse. South Africa-based watchdog the African Centre for Biosafetythen found that the foundation was teaming up with Cargill in a $10m project to "develop the soya value chain" in Mozambique and elsewhere. Who knows what this corporate-speak really means, but in all probability it heralds the big time introduction of GM soya in southern Africa.

The two incidents raise a host of questions for the foundation. Few people doubt that GM has a place in Africa, but is Gates being hopelessly naïve by backing two of the world's most aggressive agri-giants? There is, after all, genuine concern at governmental and community level that the United State's model of extensive hi-tech farming is inappropriate for most of Africa and should not be foist on the poorest farmers in the name of "feeding the world".

The fact is that Cargill is a faceless agri-giant that controls most of the world's food commodities and Monsanto has been blundering around poor Asian countries for a decade giving itself and the US a lousy name for corporate bullying. Does Gates know it is in danger of being caught up in their reputations, or does the foundation actually share their corporate vision of farming and intend to work with them more in future?

The foundation has never been upfront about its vision for agriculture in the world's poorest countries, nor the role of controversial technologies like GM. But perhaps it could start the debate here?

In the meantime, it could tell us how many of its senior agricultural staff used to work for Monsanto or Cargill?

Why is the Gates foundation investing in GM giant Monsanto? | John Vidal
 
Tuelimishe zaidi chief....

Monsanto, US, & Gates Foundation pressure Kenya to reverse GMO ban
Published time: 5 Jan, 2016 18:25

Kenya may soon allow the use of genetically-modified cotton and maize seeds following pressure from agribusiness giant Monsanto, USAID, and the Bill and Melinda Gates Foundation.
The growing African nation banned imports of GMO products in 2012, but a recent application by Monsanto’s Kenyan subsidiary could open the door to the controversial "seeds".

Last year, Kenyans took to the streets to protest the potential change.

Monsanto’s modified cotton seeds produce insecticides to poison butterflies and moths.

Dr Charles Waturu, director of the Kenya Agricultural Research Institute (KARI), claims the Monsanto technology is the only solution, even though a recent Spanish study found Monsanto’s seed MON810 does not increase yields or reduce damage compared to natural maize.

Hillary Clinton, as US Secretary of State, visited KARI’s facilities in 2009. At the time, the activist watchdog group GM Watch highlighted the failure of the US$6 million USAID-Monsanto-KARI GMO sweet potato project.

GM seeds can negatively affect soil and often flood markets, making it difficult for small farmers to keep up. Hybrid seeds are more difficult to germinate leading to increased costs for farmers.

The Water Efficient Maize for Africa (WEMA) is "a public/private partnership, led by the Kenyan-based African Agricultural Technology Foundation (AATF) and funded by the Bill and Melinda Gates Foundation, Howard G. Buffett Foundation, and USAID".

AATF, "a partnership between USAID, the Rockefeller Foundation, Monsanto, Dupont/Pioneer, Dow Agrosciences, Syngenta, and Aventis" and funded by the UK's Department for International Development (DFID), has lobbied for the use of GMO in Kenya.

In 2008, AATF received US$47 million from the Gates Foundation, which has been criticized by global activists for pushing a “big agribusiness” approach to African farming.

Seattle-based AGRA Watch was founded following concerns about the Foundation's influence and lack of transparency in Africa, as well as its close ties with Monsanto and USAID.

Monsanto, US, & Gates Foundation pressure Kenya to reverse GMO ban
 
Back
Top Bottom