Nini interest halisi ya Bill gates nchini Tanzania ?

Nini interest halisi ya Bill gates nchini Tanzania ?

Lengo lake ni katika kuendeleza hiki kinachoitwa 'New World Order'. Yeye amejikita kueneza mbegu zinazoitwa genetically modified organism (GMO) . Hizi mbegu zina madhara makubwa ili kujua zaidi pitia mtandaoni utaona.

Watengenezaji wakubwa wa hizi mbegu ni kampuni ya Monsanto ya Marekani. Kwa kueneza mbegu hizi Afrika, wakulima wote watakuwa watumwa wa monsanto maana mbegu za GMO zaidi ya kuwa na athari za kiafya, pia huharibu udongo.

Bill Gates ni tishio kwa Afrika ila Waafrika wengi hawajielewi.
Uwezo wako wa kufikiri ndo umefikia hapo?????

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wote twafahamu kuwa huyu mkuu ni moja ya watu wakalimu zaidi duniani (philanthropist) na kutolea huko kwa wenzetu kunawajengea heshima kubwa kwenye jamii .

Lakini huyu naona kama recently amezidisha haipiti miezi miwili tunamuona arusha ,natamani kumuhusisha na madini lakini BIG NO ,hafanyi shughuli hizo,mtu tajiri wa pili duniani atembelee nchi masikini mara kwa mara wakati nature ya biashara yake hufana penye nchi zenye maendeleo zaidi.

Sambamba na hilo kumekuwa na wimbi la watu mashuhuri kuitembelea sana Tanzania mfano bill clinton na mkewe huwa wanakuja kimya kimya mara nyingi ,Pia kule sumbawanga Anord schwazneger anakisiwa haipiti miezi mitatu hajaja.

Jamani kunani ?

Bill Gates ametengeneza hela mpaka hela zimemzidi uzito. Katika portfolio yake moja ya investment ilibidi avunje rekodi kwani ledger lilikuwa halina nafasi ya kuandikanamba zote za hela zake,ikabdi wa design ledger jipya lenye nafasi zaidi kuweka kuandika tarakimu za Bill Gates tu.

Ana hela mpaka tatizo lake kubwa sasa nijinsi gani ya kugawa hizohela in the most efficient way, hili ndilo tatizo linalomnyima usingizi Bill Gates kwa sasa mpaka kaomba msaada wa Warren Buffet kumsaidia kugawa hela zake.

Na zaidi ya kutoa hela tu, ana interest ya kutaka kujua miradi anayosaidia inaendeleaje.

Kwa hiyo si ajabu akawa anafuatilia zaidi miradi anayosaidia inaendaje.

Kufuatilia huku ni zaidi ya hela.

Kuna watu wanamhusisha Bill Gates na mipango ya nchi Magharibi ya "population control" kwenye hizi nchi zetu, lakini inakuwa vigumu kuamini mtu anayesaidia kutoa chanjo kibao na kupigana na magonjwa kama Malaria ana motive ya population control, kama angekuwa na motive hiyo kwa nini asaidie sekta ya afya kuzuia watu wasife?
 
Why is the Gates foundation investing in GM giant Monsanto?

Wednesday 29 September 2010 13.27 BST

The Bill and Melinda Gates Foundation, which is sponsoring the Guardian's Global development site is being heavily criticised in Africa and the US for getting into bed not just with notorious GM company Monsanto, but also with agribusiness commodity giant Cargill.

Trouble began when a US financial website published the foundation's annual investment portfolio, which showed it had bought 500,000 Monsanto shares worth around $23m. This was a substantial increase in the last six months and while it is just small change for Bill and Melinda, it has been enough to let loose their fiercest critics.

Seattle-based Agra Watch - a project of the Community Alliance for Global Justice- was outraged. "Monsanto has a history of blatant disregard for the interests and well being of small farmers around the world… [This] casts serious doubt on the foundation's heavy funding of agricultural development in Africa," it thundered.

But it got worse. South Africa-based watchdog the African Centre for Biosafetythen found that the foundation was teaming up with Cargill in a $10m project to "develop the soya value chain" in Mozambique and elsewhere. Who knows what this corporate-speak really means, but in all probability it heralds the big time introduction of GM soya in southern Africa.

The two incidents raise a host of questions for the foundation. Few people doubt that GM has a place in Africa, but is Gates being hopelessly naïve by backing two of the world's most aggressive agri-giants? There is, after all, genuine concern at governmental and community level that the United State's model of extensive hi-tech farming is inappropriate for most of Africa and should not be foist on the poorest farmers in the name of "feeding the world".

The fact is that Cargill is a faceless agri-giant that controls most of the world's food commodities and Monsanto has been blundering around poor Asian countries for a decade giving itself and the US a lousy name for corporate bullying. Does Gates know it is in danger of being caught up in their reputations, or does the foundation actually share their corporate vision of farming and intend to work with them more in future?

The foundation has never been upfront about its vision for agriculture in the world's poorest countries, nor the role of controversial technologies like GM. But perhaps it could start the debate here?

In the meantime, it could tell us how many of its senior agricultural staff used to work for Monsanto or Cargill?

Why is the Gates foundation investing in GM giant Monsanto? | John Vidal
Mmh.!!
 
Mkuu sikatai ujio wake ila naibua tu mjadala wa tahadhari hata ukoloni ulianza kuja kwa gia ya kusambaza dini,utafiti,...
Ungetafta references za kutosha Ku proof facts zako kwamba ni wa(new world order )Asilimia 60 ya pesa zake anadonate kwenye shughuli za kijamii sana uhusani maswala ya afya.

Mfano mzuri kati ya watu wanao donate asilimia kuwa kwenye NGO kama Amref ni billgate na yy ndie aliye andikiwa proposal ya Amref kwa nchi hzo kama 3au 4 HV akapitisha pesa hyo shughuli zinaendelea.

Tusiwaze sana maswala ya uchawi sjui ushetani. Maana hzo no barriers za maendeleo.

Kwann yeye hakukataa kutembea kwa miguu ,et Kisa Tanga kuna majini anaweza kukanyanga au kula wali maharage kwamba yanaweza kuwa na dawa za kichawi??


Kwa hvyo utaona kbsa kwamba sisi kufanikiwa ni kazi ngumu sana maaana still tunaujinga flani wa kipuuzi sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bill gates amekuja kulipa pesa za makinikia indirectly...mzungu nimzungu ,,, usitegemee wazungu kukubali waziwazi kwamba "tunalipa" ,,hapa jamaa amekuja kurudisha kiasi fulan cha pesa za makinikia kwanjia ya msaada !!. And that's how things work!!.
 
Upeo wako mdogo mno usiingilie vitu usivyovijua. Wewe endelea kuwa brain-dead tu.
Mm au wewe ?? maana unaweka assumption zako tu ukizani na wao wana akili za kijinga kiasi hcho.MTU kaja kwa nia nzuri vijitu haitaki Mara atakuwa amekuja na yake Hugo Mara sjui Nn tu ushenzi ushenzi tu.Wasipo kuja napo utasikia eeh nchi yetu wameisusia hawaji Mara HV Mara vle pumbavu sana kuona jitu zina linaongea ujinga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mm au wewe ?? maana unaweka assumption zako tu ukizani na wao wana akili za kijinga kiasi hcho.MTU kaja kwa nia nzuri vijitu haitaki Mara atakuwa amekuja na yake Hugo Mara sjui Nn tu ushenzi ushenzi tu.Wasipo kuja napo utasikia eeh nchi yetu wameisusia hawaji Mara HV Mara vle pumbavu sana kuona jitu zina linaongea ujinga.

Sent using Jamii Forums mobile app

Acha kuninukuu kama hauna hoja za msingi, kama unataka kuongea upuuzi nenda kaongee na wazazi wako.
 
BilliGates
Amekuja inawezekana tu kwakuwa pesa yake ndio inayomfanya aje.
Mtu akiwa na pesa hitaji lake la kwanza ni uhakika wa kupata chakula.
Pesa ikiongezeka linakuja hotaji la pili ambalo ni kujilinda na mazingira yake, hapo anatafuta pa kulala penye usalama,
nguo nzuri, nk.
Pesa ikiongezeka binadamu anaanza kufikia hatua ya hitaji la tatu la zoezi la kuanza kuweka akiba ili arahisishe maisha yake kama kujenga nyumba au kununua gari hapo baadae nk.
Pesa ikiongezeka binadamu anaingia hatua ya nne ya kutaka kujulikana na watu kuwa anazo, hapo wale wapenzi wa Ngwasuma utamwona mtu anajiita Papa Nyamihela kazi yake ni kumwaga pesa jukwaani na na kupenda kusifiwa.
Kwa watu wa dini mtu ananza kutoa sadaka kubwakubwa na kugharimia safari za mchungaji au Shehe ktk kuimarisha dini yake. Watu wengi wanaanza kuwekeza katika miradi ya biashara wakifika katika hatua hii.
Pesa ikiongezeka sasa mtu anaingia katika hatua ya tano ya kuzigawa pesa zake kwa jamii yote anayoona inafaa.
Huyu mtu sasa anaifikia hatua ya kutaka kutambuliwa kimataifa na analindwa na serikari.
Analindwa na kufuatiliwa na serikari kwasababu asije akarubuniwa na waharifu na akaamua kuwafadhiri na kusababisha usimbufu mkubwa.
Anaweza akaunda jeshi la uasi na akaipindua serikari hivyo kila nchi anayoenda anakuwa anafuatiliwa na kulindwa ma nchi husika.
Hitaji hili la tano ni la mwisho kwa mwanadamu, hapa kazi yake ni kuunda taasisi za kutoa misaada kwa jamii.
Bill and Merinda Gates na Roockfera foundations, ni moja ya taasisi za matajiri zinazojihusisha kusadia jamii duniani.

BillGates amekuja kutimiza hitaji hili la tano la mtu mwenye pesa nyingi sana.

Good response
 
Lengo lake ni katika kuendeleza hiki kinachoitwa 'New World Order'. Yeye amejikita kueneza mbegu zinazoitwa genetically modified organism (GMO) . Hizi mbegu zina madhara makubwa ili kujua zaidi pitia mtandaoni utaona.

Watengenezaji wakubwa wa hizi mbegu ni kampuni ya Monsanto ya Marekani. Kwa kueneza mbegu hizi Afrika, wakulima wote watakuwa watumwa wa monsanto maana mbegu za GMO zaidi ya kuwa na athari za kiafya, pia huharibu udongo.

Bill Gates ni tishio kwa Afrika ila Waafrika wengi hawajielewi.

nitajie gmo zina madhara gani ki afya. unafikiri wana wanasayansi wametumia ma billion ya pesa ku research na ku produce izo mbegu ili tu waharibu afya za waafrica? haileti maana kabisa. kuna njia nyingi tu za kutuletea madhara ya ki afya bila kutumia pesa nyingi.
ukweli ni kwamba bill gates anaeneza hizo mbegu kwasababu anaamini zitasaidia sana wakulima wa nchi maskini kutokana na uwezo wa kuota kwenye udongo wa kawaida na havumilia hali ya ukame tatizo letu hata tukibebwa hatubebeki. mtu anataka kutusaidia tunasema ni tishio. bill gates ni kati ya matajiri ambao wameisaidia sana africa hasa kwenye kupambana na magonjwa kama malaria na ukimwi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nitajie gmo zina madhara gani ki afya. unafikiri wana wanasayansi wametumia ma billion ya pesa ku research na ku produce izo mbegu ili tu waharibu afya za waafrica? haileti maana kabisa. kuna njia nyingi tu za kutuletea madhara ya ki afya bila kutumia pesa nyingi.
ukweli ni kwamba bill gates anaeneza hizo mbegu kwasababu anaamini zitasaidia sana wakulima wa nchi maskini kutokana na uwezo wa kuota kwenye udongo wa kawaida na havumilia hali ya ukame tatizo letu hata tukibebwa hatubebeki. mtu anataka kutusaidia tunasema ni tishio. bill gates ni kati ya matajiri ambao wameisaidia sana africa hasa kwenye kupambana na magonjwa kama malaria na ukimwi

Sent using Jamii Forums mobile app

Kuna vyanzo vingi vya habari, tumia muda wako kujielimisha.
 
Kuna vyanzo vingi vya habari, tumia muda wako kujielimisha.
Tatizo hizo mbegu hazina uasili wa kimaumbile ya uhalisia (nature)
Hizo mbegu zimetengenezwa maabara, hivyo pamoja na ubora wake wa kumea na kustawi vizuri zina athari kwa afya ya ninadamu.
Mtu anayekula kuku wa kizungu wanaokuzwa kwa mwezi mmoja, afya yake itakuwa tofauti na mtu anayekula kuku wa kienyeji asiyekuzwa kwa madawa ya maabara na aliyekua kiasili kwa muda wa mwaka mmoja hadi kutumiwa kama mlo.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo hizo mbegu hazina uasili wa kimaumbile ya uhalisia (nature)
Hizo mbegu zimetengenezwa maabara, hivyo pamoja na ubora wake wa kumea na kustawi vizuri zina athari kwa afya ya ninadamu.
Mtu anayekula kuku wa kizungu wanaokuzwa kwa mwezi mmoja, afya yake itakuwa tofauti na mtu anayekula kuku wa kienyeji asiyekuzwa kwa madawa ya maabara na aliyekua kiasili kwa muda wa mwaka mmoja hadi kutumiwa kama mlo.


Sent using Jamii Forums mobile app

Kuna watu wakidanganywa na hao wanaojiita wanasayansi basi hawataki hata kutumia akili zao. Hizi takataka zote watu wanazolishwa ndio chanzo cha magonjwa kama saratani kuongezeka.
 
Mzungu akitaka kutuua, anatuua mapema bila kuitaji gharama kubwa tatizo lililopo apa Tanzania. Asilimia kubwa ya watu hata mahospitalini amuendi wengi wanawaachia wake zao nendeni hospital [emoji541]. Kama ungejua ninachoongea ukiwa hospital mtoto anapozaliwa mpaka anakuwa karibia asilimia kubwa ya chanjo wanazopata watoto ni misaaada kutoka kwa wazungu kwa iyo kama wakitaka kutuua ni dakika sifuri. Wanakuchoma Dawa ambayo ni chanjo ambayo baada ya miaka 20 unakuwa tasa, shughuli kwisha mpaka tuje tushituke kashapunguza idadi ya watu kwa kiwango kikubwa Sana. Izi water [emoji97] treatment wanaweka sumu ambayo baada ya muda wa miaka 20 unakufa au wanaweka mionzi mingi katika izi system za simu zinaharibu Ubongo wote. Kwa iyo mzungu akikutafuta akukosi hata chemne
 
Interests zake ni kuwasaidia maskini kama sisi. Huwa nacheka pale lofa anapolalamika kwamba jirani yake tajiri anamroga.... ili iweje?
 
[HASHTAG]#population[/HASHTAG] control au hamjui katika karne hii idadi ya watu duniani imeongezeka zaidi ya miaka 2000 nyuma na tukiendelea style hii dunia itself destruct...sasa bwana tajiri anajitahidi njia mbalimbali kuitibu dunia kwa kupunguza masikini wazaa hivyo..kwa 1.GMO seeds hiyo hata mataifa ya ULAYA yanajua
2.chanjo nchi kama Nigeria na south Africa washazikataa sana hizo chanjo
3.Contraceptives dah hapa ndo sijui nyota ya kijani bra bra condom
4.disease hapo tuna kina mjomba aids,sijui anthrax,kina wore Yale magonjwa ya laboratory
6.homosexuality ongeza idadi ya mashoga kupunguza watoto
Ah ah maybe its just me am paranoid au unaweza take your time researching..[emoji216][emoji216][emoji216][emoji216][emoji216][emoji216]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: 314
Back
Top Bottom