Lengo kubwa lilikuwa ni ku pre-empty findings za kamati teule ya bunge kuhusu Jairo.
Mind you huo mkutano na wazee wa DSM ulikuwa Ad-hoc (uliitiswa ghafra). Hiyo ni baada
kua kamepata taarifa kuwa kamati ya bunge imeikaanga Ikulu na vipenzi vyake Luhanjo na Jairo.
Common sense inatuambia kwamba kama hiyo hotuba angaliitoa baada ya findings za kamati
teule ya bunge, CDM wangekuwa vindicated kuhusu hoja ya Rais kuteua, tume, kutoa hadidu
za rejao, maoni kuwakilishwa kwake kwanza kabla ya kutangazwa. Kwani tume teule ya Bunge
imetuonesha pasipo na shaka wateule wa Rais wanawajibika kwa Rais, sio kwa masilahi ya wananchi,
a case study ni hiyo CAG Utaoh alivyojaribu kuficha ukweli ili kumlinda Jairo na Ikulu.
Rais kuteua wajumbe wa tume ya katiba na maoni kuwakilishwa kwake kwanza ni KOSA kubwa ambalo
sisi watanzania wa kizazi hiki tutalijutia maisha yetu yote, hata CDM wakiingia madarakani. Na hakuna
fursa nyingine ya kutengeneza tena katiba mpya in 50 years to come.