Nini hatma ya TCU baada ya kauli ya Rais Magufuli?

Una uhakika kazi ya TCU ni kudahili wanafunzi wa chuo kikuu tu?
 
Kichwa maji kasome tena kazi ya ya TCU... kazi ya TCU ni kusimamia, kucheki,kukagua ubora wa elimu na sifa za wanafunzi elimu ya juu na pamoja na kuhakikisha ubora wa elimu ya juu unazingatiwa..
Kazi ya kufanya udahili ni ya vyuo sio TCU.
 
hongeren MODS kwa ku modoa tolea langu hatma ya tcu safi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…