Nini hatma ya kuhitimu KOZI HII?

Idrisa1510

JF-Expert Member
Oct 2, 2018
252
350
Msaada wa maelezo. Nimechaguliwa chuo kikuu Dodoma kwa kuchukua Bachelor of science with education.

Sasa sielewi baada ya kuhitimu nitakua mwalimu (pure teacher) au kuna sehemu nyingine nitafit. Na je chuoni nitasoma masomo yapi?


A-level nilichukua PCB na kufaulu kwa C flat. Ndoto zangu ilikua kusomea masuala ya afya ingawaje hatma yangu imeishia hapo.

Mwenye welewa juu ya suala hilo anipatie msaada wa maelezo.
 
1ya tisa umekosa course ya afya mkuu hata nursing john,bugando na kwingineko??..hapo naona utakuwa mwalimu by profession
 
Mi ni advance bado lakin experience nayo
.
Hiyo ndio mwisho wake hapo tu kuwa mwalimu wa saynsi kwa masomo ambay utachagua kam phy au biols either chem
 
Msaada wa maelezo. Nimechaguliwa chuo kikuu Dodoma kwa kuchukua Bachelor of science with education.

Sasa sielewi baada ya kuhitimu nitakua mwalimu (pure teacher) au kuna sehemu nyingine nitafit. Na je chuoni nitasoma masomo yapi?


A-level nilichukua PCB na kufaulu kwa C flat. Ndoto zangu ilikua kusomea masuala ya afya ingawaje hatma yangu imeishia hapo.

Mwenye welewa juu ya suala hilo anipatie msaada wa maelezo.
Unakuwa mwalimu pure wa Science katika masomo mawili utakayochagua ukijiunga chuoni.
Lakini kwanini uaply kitu usichokifahamu?
 
Niliweka kujaza nafac ambayo haikupaswa ibaki waz
Uamuzi ni wako kusoma education au kwenda chuo kuomba kuhama course japo inahitaji uvumilivu mana kuna procedures nyingi za kufata.
But inawezekana ukabadili course iliyopo ktk chuo husika lakini ni lazima uwe na sifa za kutosheleza kuhamia course husika.
Kila la kheir kijana.
 
Uamuzi ni wako kusoma education au kwenda chuo kuomba kuhama course japo inahitaji uvumilivu mana kuna procedures nyingi za kufata.
But inawezekana ukabadili course iliyopo ktk chuo husika lakini ni lazima uwe na sifa za kutosheleza kuhamia course husika.
Kila la kheir kijana.
Shukrani
 
Msaada wa maelezo. Nimechaguliwa chuo kikuu Dodoma kwa kuchukua Bachelor of science with education.

Sasa sielewi baada ya kuhitimu nitakua mwalimu (pure teacher) au kuna sehemu nyingine nitafit. Na je chuoni nitasoma masomo yapi?


A-level nilichukua PCB na kufaulu kwa C flat. Ndoto zangu ilikua kusomea masuala ya afya ingawaje hatma yangu imeishia hapo.

Mwenye welewa juu ya suala hilo anipatie msaada wa maelezo.
Ukweli kila asomae PCB ndoto zake nikuwa Doctor inapogoma mtu anaamua kuangalia kwingineko na hata kama huelewi.
Hapo kijana utakuwa mwalimu wa science.
 
Msaada wa maelezo. Nimechaguliwa chuo kikuu Dodoma kwa kuchukua Bachelor of science with education.

Sasa sielewi baada ya kuhitimu nitakua mwalimu (pure teacher) au kuna sehemu nyingine nitafit. Na je chuoni nitasoma masomo yapi?


A-level nilichukua PCB na kufaulu kwa C flat. Ndoto zangu ilikua kusomea masuala ya afya ingawaje hatma yangu imeishia hapo.

Mwenye welewa juu ya suala hilo anipatie msaada wa maelezo.
Ukikubali kuisoma hiyo cozi utaishia kuwa cheap labour

Nenda chuo kapambane ubadilishe course ikishindikana ni bora uhairishe mwaka hadi mwakani uapply course nyingine ya maana na sio ualimu

Nawashangaa sana vijana wa sasa kuchagua kusoma ualimu, ukihitimu hapo utaishia kuwa mwalimu wa tuition dogo
 
Msaada wa maelezo. Nimechaguliwa chuo kikuu Dodoma kwa kuchukua Bachelor of science with education.

Sasa sielewi baada ya kuhitimu nitakua mwalimu (pure teacher) au kuna sehemu nyingine nitafit. Na je chuoni nitasoma masomo yapi?


A-level nilichukua PCB na kufaulu kwa C flat. Ndoto zangu ilikua kusomea masuala ya afya ingawaje hatma yangu imeishia hapo.

Mwenye welewa juu ya suala hilo anipatie msaada wa maelezo.
Imaskini mbaya sana. Ungekuwa na pesa ugesoma course unayotaka chuo chochote
 
Ukikubali kuisoma hiyo cozi utaishia kuwa cheap labour

Nenda chuo kapambane ubadilishe course ikishindikana ni bora uhairishe mwaka hadi mwakani uapply course nyingine ya maana na sio ualimu

Nawashangaa sana vijana wa sasa kuchagua kusoma ualimu, ukihitimu hapo utaishia kuwa mwalimu wa tuition dogo
Uwalim africa hovyo
 
Back
Top Bottom