Nini hatma ya katibu mkuu wa Nishati na Madini?

Nini hatma ya katibu mkuu wa Nishati na Madini?

kujiuzuru kwenyewe ni admission of guilty kinachotakiwa kufanyika sasa ni kwa DPP KUMBURUZA MHUSIKA MAHAKAMANI kwa maana ushahidi wa barua yake unatosha kuonyesha his intention to bribe public officials which is criminal offence under
tanzania anti corruption acts.
 
David Jairo kaamua kuachia ngazi
Is it man!!!

atapewa bank ya wakulima au bank ya kilimo cha power tiller kuwa mkurugenzi.........tumewazoea hawa!!

halafu mwenyekiti wa ccm bado anakula cake ya birthday kwa madiba??

Haya nayo Mizengo Pinda atasema ni maamuzi magumu!!!
 
Atakuwa kapewa barua ya kufukuzwa kazi, kama ni kujiuzulu angetoa uamuzi mapema!
 
Aisee............. alisema hadi rais aje, sasa sijui katumiwa sms juuu kwa juu na vasco au vipi

Aisee.....
 
hosea atataka tumpelekee ushahidi ndompeleke mahakamani?atasema ushahidi hana
 
kwa dhana ya uwajibikaji, Ngeleja na shotii lazima waachie ngazi....
 
Kaachia au kafukuzwa, hukumsikia Pinda jana?

inawezekana amemwahi mkuu wa kaya kwa kujiuzulu kabla ajaonyeshwa mlango lakini isiishie hapo tu inabidi afikishwe
mahakamani ili iwe fundisho kwa wengine .
 
Nitamshangaa sana Hosea atakaposema Ushahidi hana.....Manake nayeye huwa ana matatizo makubwa ktk ubongo wake.....Vitu vilivyo wazi anasema ushahidi hana.
 
Back
Top Bottom