bukoba boy
JF-Expert Member
- Jan 15, 2015
- 5,371
- 3,946
- Thread starter
- #41
Mbowe kabet kwa Lowassa this time,isipowork inabidi awajibike kwa uamuzi huo ambao umeibadili Chadema kuwa chama tofauti,badala ya kuwa kinara wa mapambano ya ufisadi Chadema imewakumbatia sasa mafisadi.
Ni ngumu kwa Mbowe kama mwenyekiti kuongoza tena Chama kitakachokemea ufisadi, ndio maana ni vyema kuja na timu mpya,Tindu Lissu na Mnyika wangefaa kuongoza timu hiyo.
Wazo zuri mkuu,kamari aliocheza mbowe ni ya hatari kubwa sana ingawa moja ya theory of distribution in economics inasema the higher the risk,the higher the returns.