Mpigania haki
Member
- Apr 10, 2011
- 53
- 16
Muafaka ndo hivyo umepatikana ni hatua moja mbele..bt je unadhan ni nini hatma ya ripot alotoa lema kwa spika wa bunge na ikizingatiwa mpaka leo maamuz hayajatolewa km ni pinda au lema ndo atakayefuta kauli,je unadhan nini kitafuata hapo?