Mtumaini Mungu
JF-Expert Member
- Aug 3, 2021
- 879
- 1,061
Sifa na Utukufu ni Mali ya Mungu wetu, Naliinua na kulitukuza Jina lako sasa na hata milele.
Moja kwa mbili kwenye mada, Wadau wa elimu, afya na vyuo vya utabibu na Nacte, ninawauliza je, ni Nini hatima ya vijana wa Utabibu mwaka wa pili (Nta level 5) kwa mwaka 2021? Maana Nta 4 na 6 wote wamepata matokeo yao.
Vijana hawa ndio wanatakiwa wamalize NTA LEVEL 6 (DIPLOMA) mwaka huu 2021/2022, ili watuhudumie.
Moja kwa mbili kwenye mada, Wadau wa elimu, afya na vyuo vya utabibu na Nacte, ninawauliza je, ni Nini hatima ya vijana wa Utabibu mwaka wa pili (Nta level 5) kwa mwaka 2021? Maana Nta 4 na 6 wote wamepata matokeo yao.
Vijana hawa ndio wanatakiwa wamalize NTA LEVEL 6 (DIPLOMA) mwaka huu 2021/2022, ili watuhudumie.